PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Prado, nissan X trail,harrier na pathfinderKama ipi na ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prado, nissan X trail,harrier na pathfinderKama ipi na ipi
Gari za maana ni zipi?Kitu kimoja ambacho watu wengi wenye vi baby woka hamkijui ni kwamba, watu wenye magari yenye "misuli" sio watu wa ligi. Wengi ni watu wenye hela zao, na hawana mpango wa kufa kizembe siku za hivi karibuni kwa ligi za kiboya.
Sasa wewe na ki passo chako, ki rumion sijui ki ist ukimuovateki mtu kama huyo barabarani, unakuja kujisifu hapa kwamba "umetunishiana misuli" na magari ya maana 😆😆 In short hutu tu baby woka twa kijapani hatuwezi kutunishiana msuli na gari yoyote ya maana, sema tu sio kila mtu anataka ligi barabarani.
Ya kwako yenye Sura mzuri ni ipi?Gari shoo ya mbele imekaa kama bichwa la kitimoto
Ulikuwa unajikimbiza mwenyewe. Cc1800 utatunishia gari gani yenye msuli?Sijamaanisha hivyo boss....
Pengine tafsiri imeenda mbali Mimi nilimaanisha jinsi nilivyotunishia misuli na Magari yenye uwezo Mkubwa
Prado sio gari yenye msuli?Ulikuwa unajikimbiza mwenyewe. Cc1800 utatunishia gari gani yenye msuli?
Ulikuwa unajifukuza mwenyewe. Hata IST huwa zinaipita VX ILA mwenye VX hayupo kwenye mashindano.Prado sio gari yenye msuli?
Tatizo ni kwamba wakati wewe unawaza mnashindana wenzio hawana mawazo hayoDAR - Mwanza nimewakimbiza Sana na mashine Yangu sidhani nilikuwa nabishana na Prado, Nissan X trail nakumbuka raum,rush na IST niliwaumiza Sana walipokuwa wanafanya ligi...hii ndinga nikienda nayo mkoani ni kwenda wa speed 150 - 170 km/h
Ulikuwa unajikimbiza mwenyewe. Cc1800 utatunishia gari gani yenye msuli?
Kwahiyo mada iwe closed 🔐Naona wazee wa vi baby walker mnajadiliana.
Safi sana unatoa point kitaalam zaidiKubadili gearbox oil sio tatizo as long as utaweka yenye standard inayotakiwa kwa gari husika. Kiusalama ni vema ukacheki na kubadili hizo vitu zote wewe mwenyewe.
Mfano, break pads na shoes, mafuta ya break, oil ya engine na gear box, coolant, thermostat inatakiwa ubadili nayo kama unamudu gharama ingawa sio lazima maana watu wengi huwa hawajui thermostat huwa zina muda wake wa kutumika sio forever part ile....
Na je ni oil gani nzuri naweza kuitumia kwa aina hio ya gari?Nazifahamu hizo gari sio kwa kusoma manual kwa kutazama presentation yake. Hizo oil za CVT ni specific kwa gari zenye huo mfumo wa transmission ya aina ya CVT.
Huu ni mfumo mpya wa gear box tofauti na ule tumezoea wa gear box yenye counter gear ndani yake.
Hii ina kitu kinaitwa CVT chain na pulleys mbili ambazo zinabalance power kulingana na unavyokanyaga.
Kama unamtu anayo hii gari jaribu kuichukua uiendeshe halafu sikilizia kama utasikia inabadili gear (ile kama inastuka hivi kutoka gear moja kwenda nyingine). Hiyo kitu katu hautasikia sababu hii haina mfumo wa gear zile za sequence bali inatumia mfumo wa Continuous variance.
Sasa wengi mkinunua hizi gari, specifically hii lumion, mnaweka ila hydraulic ya kawaida bila kuzingatia swala la utofauti. Na kama ulikuwa haujui tu kuna mafundi wengi tu hawajui hiyo kitu wanafanya kimazoea tu kuweka oil kimaozea, ukikutana na gari kama za NISSAN, zenye CVT haichelewi kukuletea sarakasi baada ya muda.
Hapa chini nakuwekea picha za kampuni tofauti tofauti uone zina hiyo transmission fluid ila watu huwa wananunua za kawaida na kuweka kwenye gari yenye cvt..... View attachment 1775964
Gari km buti la jejeGari Kama jeneza
confotability