Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Rumion

Gari za maana ni zipi?
 
DAR - Mwanza nimewakimbiza Sana na mashine Yangu sidhani nilikuwa nabishana na Prado, Nissan X trail nakumbuka raum,rush na IST niliwaumiza Sana walipokuwa wanafanya ligi...hii ndinga nikienda nayo mkoani ni kwenda wa speed 150 - 170 km/h
Tatizo ni kwamba wakati wewe unawaza mnashindana wenzio hawana mawazo hayo
 
Kuna siku nilienda kula na kuisahau kuizima.imekaa inawaka na A\C ndani kwa dk 45.kurudi nilishangaa sana.toka siku hiyo napenda kuhakikisha mara mbili mbili kama nimeizima.
 
Safi sana unatoa point kitaalam zaidi
 
Na je ni oil gani nzuri naweza kuitumia kwa aina hio ya gari?
 
Watalam kwema, mm ni mTumish wa umma and nipo mkoani. Kwa sasa natumia Passo na ni gari yangu ya 2 kumiliki nikitokea kwenye toyota oppa.

Nimependa passo sababu ya ulaji wa mafuta, confotability na pia ni pana sana ndani kuliko ist, ist hainesi kama passo. Shida ya passo miguu ya mbele otherwise ni gari nzuri sana.

Nataka nishift kwenda Toyota Rumion, nimefanya comparison na honda crosroad kwa mafundi kadhaa nikaambiwa rumion nzuri zaidi ya honda. Chaguo langu la kwanza ilikuwa honda, ila kwa usharuri wa mafundi nimehamasika rumion.

Najua humu kuna wachabuzi wazuri zaidi wa haya magari, mimi sijui hata kubadili tyre tu nitaita funi.

Naomba kupewa ushuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…