van_drakee
Member
- Sep 28, 2018
- 30
- 57
Fata huu ushauri Mzee ... Utakuja kushukuru baadaeMpaka hapa Hakuna aliyemshauri, mnamjadili, Honda sio Gari Baya Kwa kweli, Ila kweli maelezo yako wewe endelea Na Toyota tu, Na Toyota Kwa kweli nakushauri stay Kwa IST ruminion sina kabisa uzoefu nayo...
Mi ninaendesha passo nishatembea zaid ya km elf 60 sijabadili atfAchilia mbali hilo,kuna magari mengi sana ambayo hayaruhusu kubadilisha gearbox oil iliyokuja na gari lakini watu wanabadilisha ATF iliyokuja na gari kama hilo kila baada ya 5000KM na kuweka ATF fake.Kumiliki gari kwa rangi nyeusi ni changamoto kwelikweli!
Bro watu hatu nunui shep tunanunua gari ambayo ni economyHili gari lina shepu mbaya kinoma
Ubora ZiroSijatafta utofauti nimeuliza ubora wa gari
Nunua VespaBro watu hatu nunui shep tunanunua gari ambayo ni economy
Level za vespa nishavuka mkuu so level yangu ni magari but spendi nina gari nisafiri nipande bus sababu ya kuhofia wese, and kama naweza kuweka wese la laki nne kwa safari moja bora nipande ndege kuliko kudrive, so choice yangu ni gari ya cc 1500 kushukaN
Nunua Vespa
Mkuu fafanua hapa.Nakukimbusha tu na uzingatie hilo. Hiyo gari ukipata siku ya kumwaga transmission fluid au hydraulic uwe makini kutoweka za gari yoyote uliyozea. Uweke ya CVT version.
Hizo gari zina gear box ya mfumo wa CVT.
DAR - Mwanza nimewakimbiza Sana na mashine Yangu sidhani nilikuwa nabishana na Prado, Nissan X trail nakumbuka raum,rush na IST niliwaumiza Sana walipokuwa wanafanya ligi...hii ndinga nikienda nayo mkoani ni kwenda wa speed 150 - 170 km/h
View attachment 1769434
Wewe nakupa ractisSijamaanisha hivyo boss....
Pengine tafsiri imeenda mbali Mimi nilimaanisha jinsi nilivyotunishia misuli na Magari yenye uwezo Mkubwa
Nilikuwa nayo Rumion 2021.gari mzuka sana kwa spidi,mafuta inanusa.niliachana nayo sababu niliamia kwangu makazi mapya barabara mabonde na dongo jekundu kingolwira.DAR - Mwanza nimewakimbiza Sana na mashine Yangu sidhani nilikuwa nabishana na Prado, Nissan X trail nakumbuka raum,rush na IST niliwaumiza Sana walipokuwa wanafanya ligi...hii ndinga nikienda nayo mkoani ni kwenda wa speed 150 - 170 km/h
View attachment 1769434
Shida kubwa kubwa ya rumion ni barabara zetu za uswahilini. Yangu IPO mpaka Leo ila nipo kwenye mchakato wa kubadilishaNilikuwa nayo Rumion 2021.gari mzuka sana kwa spidi,mafuta inanusa.niliachana nayo sababu niliamia kwangu makazi mapya barabara mabonde na dongo jekundu kingolwira.
Ila uliivalia soxk.
Hili swali lilikaa kimtego mtegoKama gearbox ni ya kawaida itakuaje akiweka ya CVT