Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkuru kwa ushauri mkuu ngoja nikaaguze nimekapenda sana na bei yake sio mkasi sanaKimbia harama ukaichukue. Germany cars zote ni durable no matters unaitesa vipi barabarani, Hautojutiaa. Gari inatembea hyo balaa. Kina crown, mark x sjui nanii...watakua wanaona vumbi tuu.
Vipi kuhusu spare zake mkuu na mafundi wapo?Hako karoho ka paka. Kama unaweza kanunue.
Zipo nyingi, mafundi wapo.Vipi kuhusu spare zake mkuu na mafundi wapo?
'Gari inatembea hyo balaa. Kina crown, mark x'.Kimbia harama ukaichukue. Germany cars zote ni durable no matters unaitesa vipi barabarani, Hautojutiaa. Gari inatembea hyo balaa. Kina crown, mark x sjui nanii...watakua wanaona vumbi tuu.
Wabongo haooo banaaa!!!'Gari inatembea hyo balaa. Kina crown, mark x'.
Hahah daah sometimes ni bora kukiri haujui kitu kuliko kuandika kitu usichokijua boss.
Am ready to be corrected bro, bring up facts na mimi nikupe boss.'Gari inatembea hyo balaa. Kina crown, mark x'.
Hahah daah sometimes ni bora kukiri haujui kitu kuliko kuandika kitu usichokijua boss.
Polo MK4 ina engine za petrol 8 zenye ukubwa kuanzia 1200cc mpk 1800cc zinazotoa HP kati ya 55 mpk 150.Am ready to be corrected bro, bring up facts na mimi nikupe boss.
Wabongo wakisikia tu kitu cha ujerumani wanajuaga ni mwendo wa mambio tu.Wabongo haooo banaaa!!!
Mkuu unaelekea upo deep kwenye haya maswala. Nitafurahi sana kama ungenichambulia VW Toureg maana nawaza kuikamata, japo ni nje ya mada.Polo MK4 ina engine za petrol 8 zenye ukubwa kuanzia 1200cc mpk 1800cc zinazotoa HP kati ya 55 mpk 150....
Anha, thanks kwa facts za namba pia. Naongea kwa experience boss wangu...mimi once nlidrive mark x (ya rafiki yangu) tulikua tunaelekea Iringa tu apo and my friend yeye alikua anaendesha Polo yake tu safi. Time tunarudi we had to exchange the cars basi hata na mimi nifeel something inside that German toy. Believe me or not me nlimtangulia for 1 hour before kaka.Polo MK4 ina engine za petrol 8 zenye ukubwa kuanzia 1200cc mpk 1800cc zinazotoa HP kati ya 55 mpk 150...