Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

First ile crown kupitwa vile...tukumbuke kuwa ile crown ni kwa ajili ya JDM..japan domestic market where speed iko limited to 180kph...gari yoyote yenye hp 200 petrol saloon ama kipotapo inaeza toboa 220kph ..crown pale ilikuwa inaeza zidi ila ina limiter


Afu wabongo pia hadi umwambie et gari ina speedo flan ila haiwezi fika mtagombana hadi kesho..ni ngumu kuelewa..nishawah bishana na mtu nikampa mfano toyo akasema inafika 140😁 bajaj nayo anasema inafika 80kph kisa ina dash hio..ukimuuliza anakwambia walioweka sio wajinga
Wenye Crown na wanaojua gari wanatambua kuwa kwenye mnyooko ndani ya dakika tu Crown inakuwa imeumaliza mwendo. Inadevela kwenye 180-190 haiendi zaidi na.chuma inatulia vizuri kwenye lami.

Yani kipande cha Mlimani mpaka Ubungo tu pasipokuwa na mushkeli hasa usiku unamaliza 180kph kwenye crown ila kwa Polo ya 1300cc huwezi fika hio speed ukijitahidi sana utaiptia Riverside au Mabibo hostel. Hapo ndio tofauti ya Horsepower inapoonekana.
 
Mjerumani unamjua unamsikia?
Route ndefu nakupa hata ka prado j150 1GD FTV ...ile gari ni nikichaa niliwahi ishuhudia moja STL naiona kwanzia mbali namna inanepa kwenye road iko machafu balaa ilipiga sehemu lami ni mbovu ikatoka na kipande cha lami afu like hamna kilichotokea jamaa akapotea...2min later ikaja brevis pale pale daaa kidogo safari yao iishie pale pale...achana na gari kubwa asee
 
Mjerumani anatengeneza vyuma hasa, ila kwa miundo mbinu yetu sio sehemu yake, Mjapani ndio ndugu yetu kabisa. Sioni Mantiki ya kushindanisha Germani machine na Mjapani kwa barabara zetu hizi. Watu wanaoweza kutupa jibu zuri ni wale wenye miundo mbinu mizuri na wameweza ku experience gari za Mjapani zenye level mmoja na mjerumani.
 
Naendelea kujifunza kitu...

Polo na Golf seems wana kitu[emoji39]
 
Back
Top Bottom