Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

Huyo ni mdogo kuna Kaka yake Volkswalgen GOLF GTI (260KM/H) yule LC 200 V8 kwenye lami kakutana na mwamba

View attachment 1602211
View attachment 1602213
Siifagilii hio lc200 sana

Ila drag race sehemu pamenyooka utaiacha vizuri bila kipingamizi ..ila kama mnatoka mkoa to mkoa panda shuka bamsi, mara kipande cha lami hakipo ndo utajua lc200 ni kitu gani

Itakuchapa kwenye total score huwezi toboa mbele yake route ndefu
 
Siifagilii hio lc200 sana

Ila drag race sehemu pamenyooka utaiacha vizuri bila kipingamizi ..ila kama mnatoka mkoa to mkoa panda shuka bamsi, mara kipande cha lami hakipo ndo utajua lc200 ni kitu gani

Itakuchapa kwenye total score huwezi toboa mbele yake route ndefu
Mjerumani unamjua unamsikia?
 
In fact inategemea,If it was Golf GTI inaweza kuwa na speed kubwa ikiwa kwenye peak kuliko kuliko Crown,Mark x etc based on speed range.But for Polo I don't think so. 😁 😁 😁
Mkuu kuna fact ya power to weight ratio pia.

Naona kama crown ni nzito kuliko polo Gti, lakini kuchanganya Crown never dis appoint.
 
Ila Mjapan mnamuonea..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au vile sheria za nchi yake top speed ni180 basi ndiyo mnamchukulia poa..[emoji1787][emoji1787]

Hivi mnaijua vizuri gari inaitwa Nissan fuga lenye VQ 35 au Toyota Crown lenye 2GR.

Hapo sijagusa Nissan GTR..


Sent using Jamii Forums mobile app



Crown Kubwa Jinga, Mjapan anaweka Engine kubwa zisizo na maana,
Sasa akifikia 180km/hr baada ya hapo hana kitu mjerumani anamuomba njia tu!
 
Polo MK4 ina engine za petrol 8 zenye ukubwa kuanzia 1200cc mpk 1800cc zinazotoa HP kati ya 55 mpk 150.

Polo MK4 ina engine za diesel 4 zenye ukubwa kuanzia 1400cc mpk 1900cc zinazotoa HP kati ya 70 mpk 130.

Mark x 1st gen. wana Engine za Petrol 3 zinazo range kuanzia 2500cc mpk 3000cc zinazotoa Hp kati ya 212 mpk 315.

Crown S180 wana Engine za Petrol 3 zenye ukubwa wa kuanzia 2500cc mpk 3500 zinazotoa hp 212 mpk 314 hp,wkt crown S170 zina engine za petrol 5 kuanzia cc 2500 mpk 3000cc zinazotoa HP Kati ya 197 mpk 280.

Sasa hapo Polo itakatizia wapi jomba?

Nasubiri facts zako boss.
Roli linahorse power ngapi!?, Linaweza kukimbizana na crown?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Anha, thanks kwa facts za namba pia. Naongea kwa experience boss wangu...mimi once nlidrive mark x (ya rafiki yangu) tulikua tunaelekea Iringa tu apo and my friend yeye alikua anaendesha Polo yake tu safi. Time tunarudi we had to exchange the cars basi hata na mimi nifeel something inside that German toy. Believe me or not me nlimtangulia for 1 hour before kaka.

Anyway, i can say labda inategemeana na who is behind the wheel. But for the two comparisons i'd always go for Polo VW.
Kaka upo sahihi sana, Volks polo au golf nyingi zinaenda speed 220 =- 260 nyingine mpaka 300 kph. We na crown yako 180 kph unamkataje huyo mtu
 
Yani kama una crown au mark x usifuatane na Golf utapata hasira zile gari nikitu kingine
Sio kila mark x ina 180kph mkuu, hiyo hapo ni 260 inatakunyoosha tu
Screenshot_20220408-143327_Chrome.jpg
 
Mjapani gari mdogo kama sedan, kazi limit 180 km/h, labda kwa matoleo ya SUV naona anasogea mpaka 260km/h

Ila kwa masoko yake na viwanda vyake vya Europe / America ana gari zinafika mpaka 300km/h.
Hiyo ni sedan (mark x ) na ina 260kph mkuu.... Kuna video hapo nimeaatach unaweza ichungulia.... hizi mark x zenye 260kph ni special for hong Kong mkuu....
 
we iyache polo kabisa mkuu usiifananishe na magari mengine ile speed ni 220 sasa hawa wa mia 180 wanaongea nni
usikariri mzee, ukikutana na Mark X yenye bango la 260kph huyo Polo wako atakunishwa nazi tu. Tatizo mnamdharau mjapani sababu ya sheria yake ya 180KPH ila ukimpata mjapani wa European Market ni shida
 
usikariri mzee, ukikutana na Mark X yenye bango la 260kph huyo Polo wako atakunishwa nazi tu. Tatizo mnamdharau mjapani sababu ya sheria yake ya 180KPH ila ukimpata mjapani wa European Market ni shida
Toyota ana varieties, VW hana hicho kitu.
 
Wewe naona unahadithiwa na kukariri tu vitu.

Yeye ameongelea polo wewe unaongelea Golf GTI.,hakuna sehemu nimeongelea GTI hapa.GTI inakimbia kwny category ya gari za dizaini hio,nilishaweka hapa JF video ya GTI ikiiacha Crown iliyokua kwny 180km/h na nikamuuliza mdau mmoja humu mwenye GTI RRONDO namna hio GTI ilivyoiacha hio Crown akasema GTI inatembea lkn ilivyoiacha hio Crown sio kawaida,itakua hio GTI imefanyiwa remapping/tuned,hopefully unajua maana ya hicho nilichokisema hapo.

Khs bei,bei zake ni za kawaida tu acha kutisha watu.Nilishataka kuinunua GTI 2006 model(2.0 TFSI GTI manual) ambayo ndio common kwa hapa bongo,be forward walikua wanaiuza $3000,haya nenda kaangalie kodi ya GTI kule TRA uone kama ni pesa nyingi kiasi hicho.

GTI edition 30 2006 model ndio ilikua juu ya hapo kwny $5200.Niliacha nikanunua mazda rx -8 moded.

Ukisema Golf R bei zake hazishikiki hapo ni sawa kabisa.So hizo habari za kuambiwa eti bei ya kununua GTI unanunua harrier na chenchi inabaki ni story za kuhadithiwa tu.

Khs hii hoja yako ya 'Kama ile ya Golf nadhani modeli yake ya sasa itakuwa inacheza kwenye 320 top speed if not mistaken'

Hata model za miaka ya zamani huko za 'Golf GTI mk5' speedometer inasoma 300km/h,lkn haiwezi kuifikia hio top speed kamwe.

GTI top speed yake haiwezi kuzidi hata 250km/h,kuzidi hapo ni mpk ifanyiwe tuning na makorokoro kibao tena iwe heavy moded lkn ikiwa stock ni never ever. Inshort hakuna uwezekano wa gari yenye 200hp ikafikia top speed ya 320km/h.

Hii nilifanya testing mwenyewe kwa kutumia gti stock kwny rally Oldonyosambu,Arusha na nikajionea mwenyewe,hizo 320km/h ni marketing strategy na pia kwa watengenezaji wa magari ni gharama sana kwao kuweka kila model ya gari na speedometer ya tofauti wkt speedometer hio hio inaweza kuwekwa na kwny model nyingine.

Golf inakimbia lkn usi-exaggerate.
First ile crown kupitwa vile...tukumbuke kuwa ile crown ni kwa ajili ya JDM..japan domestic market where speed iko limited to 180kph...gari yoyote yenye hp 200 petrol saloon ama kipotapo inaeza toboa 220kph ..crown pale ilikuwa inaeza zidi ila ina limiter


Afu wabongo pia hadi umwambie et gari ina speedo flan ila haiwezi fika mtagombana hadi kesho..ni ngumu kuelewa..nishawah bishana na mtu nikampa mfano toyo akasema inafika 140😁 bajaj nayo anasema inafika 80kph kisa ina dash hio..ukimuuliza anakwambia walioweka sio wajinga
 
Back
Top Bottom