24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,630
- 5,958
ahaa unamuita dogo wakati huo unakula ugali wa kengele OMG😀😀😀😀😀😀😀😀wapi nitapata mashamba ya kukodi ,eneo lenye rutuba na hali ya hewa nzuri hapa tzania?
all in all hongera sana dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaa unamuita dogo wakati huo unakula ugali wa kengele OMG😀😀😀😀😀😀😀😀wapi nitapata mashamba ya kukodi ,eneo lenye rutuba na hali ya hewa nzuri hapa tzania?
all in all hongera sana dogo
Nimeshaitoa mkuu!! Peace!Mkuu naomba uEdit post yako ya hapo juu, kwa kutoa hiyo quote. Kistaarabu tu boss. Am so much disappointed na upvmbavu wa watu.
Tena nilikosea kuandika alianza na 2.5,siyo 1.5
Haya mashamba yako wapi wakuu?Huwa wanakuja na speed wakijua we wakuja..wanaweza shusha mpaka laki
Never give up see on your mind it's done and it will happen in the real world.Asante sana mkuu unanipa moyo wa kuweza kurudi tena kwenye biashara hiyo
Ebu fafanua ndugu kat ya viaz na mbegu za viaz ukapata hasara ya milion 7Dah yaani unaposema kukutana na watu sahihi umenikumbusha wakati nilipoanza biashara ya viazi vya chips, jamaa alinifanyia uhuni akanipatia mbegu za viazi badala ya viazi vyenyewe, nikapata hasara ya 7M
Jamaa aliniwekea viazi vile vidogo vidogo wanavyotumia kama mbegu, kwa kuwa nilikuwa mgeni na nilipania kupata faida nzuri sababu kilikuwa kipindi cha sikukuu. Matokea yake nilikosa soko, vikaoza na baadhi nilikopesha sikulipwa mpaka leo!Ebu fafanua ndugu kat ya viaz na mbegu za viaz ukapata hasara ya milion 7
pole sana mkuu. Ila ndio kutafuta. binadam wanaharibu mipango kila sikuJamaa aliniwekea viazi vile vidogo vidogo wanavyotumia kama mbegu, kwa kuwa nilikuwa mgeni na nilipania kupata faida nzuri sababu kilikuwa kipindi cha sikukuu. Matokea yake nilikosa soko, vikaoza na baadhi nilikopesha sikulipwa mpaka leo!
Mkuu naweza kupata eka 10?Bei halisi ni laki moja hadi moja na nusu kwa heka."Huyu bwana" mwenye ekari 26 anataka laki mbili na nusu kwa ekari,labda ukinegotiate naye mtaelewana
Mkuu tafadhali naomba mawasiliano yako au yakeKwa mujibu wa mwenye Shamba ni elfu 60 kwa ekari,ila naamini unaweza pata kwa 40.ukibahatika hata 30
Wakuu na mm mnishtueUsijali mkuu
Mkuu ni pm na mm tafadhaliOngea tu na mwenye Shamba.kwa namba nilizo kupm
Pm zangu hujibu,lakini bwana Ontario yeye anabembelezwa akasome Pm,kweli dunia sio fair kwa makapuku...ndio maana siachi kucheza BIKO,ipo siku yangu tu!Ngoja nijaribuuu,,,halaf angalia pm yako
Mkuu .. kuku 100 kama una banda na vifaa vy chakula na maji, unaeza tumia gharama kiasi gani na faida yake ni kiasi gani kwa kuku wa nyama wa wiki 4?Tuko pamoja sana boss wangu. Keep being awesome!! Cheers.
Lini umetuma?Pm zangu hujibu,lakini bwana Ontario yeye anabembelezwa akasome Pm,kweli dunia sio fair kwa makapuku...ndio maana siachi kucheza BIKO,ipo siku yangu tu!
Yeees,mambo si ndio haya,...ngoja niresend,itakuwa moderator aliibania.Lini umetuma?
Mkuu nimekupa mawasiliano yake pmMkuu tafadhali naomba mawasiliano yako au yake