Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Ontario jamani hapo kwenye mifuko hapo ndio nachanganyikiwa kabisa embu niambie nawapa hadi mifuko 37 kwa kuku 500 ndio maana sioni faida kabisa
Kwenye ufugaji wa kuku kuna kitu kinaitwa Conceptual Framework hii inatumika sana kwenye ufugaji kuku la sivyo hutaona kitu.
 
Mkuu naomba kujua zaidi inachukua mda gani vitunguu maji kwanzia kulima mpaka kuvuna,na changamoto zake hasa magonjwa..kwa ufupi tu..pole kwa usumbufu
 
Mkuu ONTARIO Pole na majukumu, najua upo busy but bado nasubiri reply ya haya maswali yangu muhimu. Ahsante
 
Ontario hongera sana kwa kujikita kwenye ujasiriamali.

Najua una ventures nyingi sana, swali langu ni unamanage vipi?

Pia ningependa kujua ratiba yako kuanzia unavyoamka mpaka unavyolala... (unaamka saa ngap, mpaka muda unaolala, weekends unazitumia vipi). Huwa naamini sana mtu anavyotumia muda wake inachangia sana katika mafanikio yake.

ONTARIO
 
Kwema wakuu apa ndani nashukulu Mungu ametuweka wazima hadi saiv...nimeanza kufatili nyuzi za Jamaa apa ONTARIO tatu mfululizo sana sana ya FOREX MARKET ndoiliyo nifanya nijiunge JF na nimeanza Ku take action kwakuanza kusoma vitabu..pia nimdau mkubwa wa kilimo kwaiyo nilikuwa naomba nisaidie mwongozo wa project ya DRIP IRRIGATION nimeanza kuandika nimefika Sehem nashidwa kuendelea kuandika kutokana na sababu mbalimbali haswa nimebanwa na masomo najiandaa na UE nipo mwaka wa mwisho natushukuru sana nikipata Majibu na sample ya iyo project au vitu vinavo itajika .. mashamba nisha pata, haswa na tagemea kutumia kisima, nishajua gharama ya kisima na kampuni ya kuchimba kisima nishapta contact zao nishaongea nao maongezi ya mwanzo so shida yangu nikuwa na project plan inayo eleweka kuhusu drip irrigation ili ninavo anza mchakato wa kusaka pesa na Ku implement nijue nafanya kitu gani NATEGEMEA KUPATA MAJIBU TOKA KWAKO KAMA UTAPENDELEA MAZUNGUMZO ZAIDI NITASHUKULU NISHA KUTUMIA MP ...JUAKUWA NYUZI ZAKO ZIMENIFANYA NIJIUNGE NA JF MWANZONI NILIKUWA NAONA JF NIUPUUZI NA UWONGO SASA NIMEJUA JF KUNAWATU WAMAANA natanguliza shukrani mkuu
 
Hakuna mtu duniani atakupa feed formula hata ufanyaje boss, hapa nisikufiche. Sawa na Cocacola kutoa formula ya vinywaji vyake.

Kuku 500 hawatakiwi kula zaidi ya mifuko 26 ya kilo 50
Means kwa kuku 1000 ni kama mifuko 52, hivi bei ya chakula cha starter na finisher kwa broiler huwa zinatofautiana? And basically kuku mmoja kwa siku inabidi ale gram ngapi za chakula?
 
mkuu

nilikuwa nakuheshimu sana lakini kwa hili umejishusha sana! Picha nikwa ajili ya kielelezo tu!
Hahahaaa wewe ndo Ontario? kumbe unakili kwamba sio bali ni za kuelezea tu?
Sasa kosa langu liko wapi? Hahaaaa
 
Mkuu Ndebile unaposema picha ni kama kielelezo unamaanisha sio picha halisi za mradi wa jamaa? Kama ndio unamaanisha hivyo mbona yeye juu amefafanua kwa uzuri kabisa kwa picha toka anaanza na mpaka alipofikia sasa au nimekuelewa vibaya?? na mkuu Chasha Poultry Farm unamaanisha kuwa mkuu ONTARIO ametuongopea unaposema picha sio za mradi wake? Mbona kuna picha kaweka hapa zipo hata kwenye interview yake? Ningeweka link ila kutoka na muhusika anaomba privacy siwezi kuiweka hapa au na wewe nimekuelewa ndivyo sivyo mkuu????
 
Hizo picha za Kuku wakiwa handani baadhi sio zako mkuu kama unabisha nikuletee ushahidi hapa
ukisikia mataahira wa Tanzania ndio wewe yaani unajidhihirisha kiasi gani ulivyo mpumbavu,Muongo na una lengo la kukatisha tamaa.
Muda mwingine jifunze kuficha ujinga wako
 
du nimehamasika na kilimo ,ngoja na mimi nianze kutafuta mashamba nilime
 
Asante Ontario na wadau wengine kwa hii elimu munayoitoa humu.
Nitachangia kwenye suala la ufugaji kuku ingawa mimi si mfugaji, ila mama yangu aliwahi kufuga.

Kwenye chakula; wengi wanaulizia formula ya kutengeneza chakula. Yeye alikuwa ananunua then anachanganya anachanganya humo vitu kama pumba za mahindi, mashudu, damu ya ng'ombe iliyokauka, maziwa ya unga na vitamins. Sikumbuki vipimo but kwa mfuko mmoja wa kununua alitoa mifuko mitatu, na kuku walikua wana afya nzuri anauza kuanzia wiki ya 5.5 au 6.
Ninachokumbuka wakati huo walikuwa wakina mama wengi ndio wafugaji na walishirikiana sana, hata hizo formula za kuchanganya chakula walipeana bure na kusaidiana masoko.

Kingine alikuwa anahakikisha ana batch kama 3 za kuku wa umri tofauti: say kuku wa wiki 5, wengine wana wiki 3 na hapo ashaagiza vifaranga wengine. Kwa jinsi hiyo kila baada ya wiki 2 au 3 in kuku wa kuuza.

MAsoko:Enzi hizo kulikuwa nakuna super markets so alikuwa anauzia Mahoteli, na jamaa wa masoko ya Kisutu, Kinondoni walikuwa wanakuja wanachukua kutoka bandani huhitaji hata kuwachinja. Nadhani kwa sasa mambo yamebadilika...ila hata wauza chips ni wateja wazuri au hizi pubs.

Natamani nigeweza kufuga maana ni biashara nzuri ila nilipo siwezi so nikaona ni-share kidogo ninachofahamu.
 
Boss naomba kufahamu unauzaje muhogo wako. Unauuza wenyewe ama products zake?
 
Habari kwa MTU yeyote mwenye interest ya kufuga kuku Nina banda tegeta masaiti nakodisha,banda na vyombo vyangu vya kuku na machine ya kunyonyoa manyoa.mwenye interest ya kufuga kuku anakaribisha kuona.whatssap 0786057996 for pics and details zaidi.
 
Mkuu vp kuhusu soko la kuku wa kienyeji breed za hapa nyumbani na kuroiler pia huko kwenye mahotel, restaurant na bars. Mm nataka kuwasambazia huko huko walipo na usafiri ninao? Can u connect me?
 
Nadhani inategemea sana na uelewa wa mambo wa mtu husika pia, hasa uwezo mzuri wa kufikiri, ubunifu na namna ya kukabiliana na changamoto positively.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…