Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Unataka kuniuliza nini PM mkuu ambacho ukiniuliza hapa hautaelewa. Boss, ni watu wachache sana watapoteza muda wao kuwatoa ushauri wa kibiashara bure, hiyo tu ni msaada tosha achilia mbali motivation ya bure.

Mimi nawalipa Awethu incubation $1800 kwaajili ya consultation pekee, na kila nikiwahitaji mimi ndio nawafata Afrika Kusini. Here am doing all this for free my boss.
Kweli mkuu you deserve !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kwa mafanikio ulio fikia hadi sasa.
-Ningependa kukuuliza juu ya soko ya bidhaa zako za shambani huwa unapata kwa namna gani?
-Pia ningeshukuru sana kama ungenisaidia soko la pilipili,nimepanda heka 1 ,ya pili pili na zime stawi kwl nipo mchumo wa kwanza ila naona soko limekuwa changa moto kidogo nitashukuru kama kuna uwezokano wa kunipatia soko lake,[HASHTAG]#pilipili[/HASHTAG] mbuzi..
Contact me: 0766767539
[HASHTAG]#ontario[/HASHTAG]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks kwa ushauri boss.

Mimi naamini kitu kimoja, labda tunaeza kutofautiana kidogo. Ni hivi - kila mtu alibarikiwa since day 1, na kila mtu alipewa nguvu na mamlaka ya kufanya kile akitakacho kama hakimkwazi Mungu.

Biblia kitabu cha Luka 10-19 inasema "Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na ng'e, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru". Hii inaonesha kila mtu alipewa amri ya kupambana na obstacles zote, ni kwamba tu kuna wengine wanaishia kati kwa sababu zao binafsi wala sio kwamba hawakubarikiwa.

Again, giving back to community sijaanza leo.
Well said
 
Hongera sana kwa mafanikio ulio fikia hadi sasa.
-Ningependa kukuuliza juu ya soko ya bidhaa zako za shambani huwa unapata kwa namna gani?
-Pia ningeshukuru sana kama ungenisaidia soko la pilipili,nimepanda heka 1 ,ya pili pili na zime stawi kwl nipo mchumo wa kwanza ila naona soko limekuwa changa moto kidogo nitashukuru kama kuna uwezokano wa kunipatia soko lake,[HASHTAG]#pilipili[/HASHTAG] mbuzi..
Contact me: 0766767539
[HASHTAG]#ontario[/HASHTAG]



Sent using Jamii Forums mobile app
Chief next time kabla hujalima hakikisha unafanya utafiti Wa masoko Wa zao husika yaan mpk unaanza kulima ushajua utauza wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msemo wazungu wanasema "No one is busy, it's just a matter of priorities".

Niseme tu wazi, kuRun biashara ukiwa umeajiriwa ni changamoto kubwa sana sana. Unajua biashara yoyote inakuja na risks nyingi, na unapokua mbali na biashara yako, basi unaongeza risk juu ya risk ambazo hauzimanage wewe kama wewe. Mimi nikiwa nasoma chuo ilikua rahisi, as you know elimu yetu chuo haiko tight sana, inakupa muda mwingi wa kua free... hata usipoattend lectures mchana usiku unaeza kesha na ukawa hauna utofauti na aliyeingia pindi.

Changamoto ilikuja kipindi cha field (sisi tunaita Practical training). But ilikua rahisi kudeal na hii situation, na inaweza kuwork hata kwako.

**Kuwa muwazi.
Kama mkataba wako unakuruhusu kumiliki biashara nje ya ofisi, basi usiwafiche waajiriwa wenzio, boss wako nk. Hii itakupa wewe advantage 1, endapo utakua na dharura basi wenzio hapo ofisini hawatakuwa na maswali mengi ya utata utata, so itakufanya ww uwe usijifeel insecured. Kama Boss wako ni mwelewa itakua rahisi zaidi kwako.

**Strong team.
Hapa ndio inabidi uweke nguvu nyingi zaidi. Kuwa na team makini kwenye biashara yako kwa kiasi fulani itaweza kufeel ile gap ya wewe kutokuwepo. Team ambayo kila mtu yupo accountable, integrity ya hali ya juu na watu wanaothamini unachofanya. Pia unaweza kuwapa motisha kwa kuwaahidi equity ktk kampuni. Mfn kuwaambia, kama biashara itatengeneza faida ya mil 10 kwa mwezi, basi nitawapa 20% kama bonus. Hii inawapa morale ya kupiga mzigo haswa.
Sure bro no one is busy
 
Kaka nahitaj sana kufanya ujasiliamali lakin kwa sasa nipo tu namtaji wa laki mbili na najaribu piga akili chakufanya lakin sijawah fika kwa conclusion kwamba nifanye nn? Plz unaweza nisaidia muongozo na mawazo nipo mwanza
 
Boss mimi binafsi niliacha kutumia vyakula vya kununua miaka mi3 iliyopita. Hao jamaa wanapiga profits kubwa sana, huku wewe wanakuacha na faida ndogo au ukatoka kapa kabisa endapo vifo vikiwa vingi.

Mfano mimi gharama ya chakula changu ni 47,000.
Ehee hapa pazuri unawezaje kufanikisha hili?
 
Salute Bosses!!

Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wote waliobahatika kusoma uzi wangu niliouweka hapa miezi kadhaa iliyopita na tukaShare ideas mbali mbali za kibiashara. Lkn zaidi nimefarijika sana kuwa uzi ule umewafumbua macho watu kadhaa, na kuna wengine kupitia uzi ule wametoka from their comfort zone na kuanza kufanya kitu.

Link ni hii kama hukuusoma: Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Utangulizi
Biashara yangu ya kwanza nilianza miaka mi4 iliyopita nikiwa chuo mwaka wa 1.View attachment 512741Kampuni yangu ya kwanza ikiwa na miezi 9.
View attachment 512742Kampuni yangu ikiwa na miaka mi2.
7599468930d2a34e3b5507deceb45dd0.jpg

View attachment 5127431 ya operations ya kampuni yangu. (Picha ya weekend hii). View attachment 512745Weekend hii.

Basically sikua na mtaji mzito sana, hapa hua nakosa kuaminiwa kila sehemu, mtaji wng wa kwanza ulikua ni posho tuliyokuwa tukipewa tukiwa JKT na chenji nilizobaki nazo kutoka advance. Nilianza kwa ufugaji wa kuku 50 wa broiler, lkn leo tunavyoongea kila mwezi nazalisha thousands of chickens na nimediversify mpk kuwekeza mashambani.
92038617915f6ea5908e55aea3a92a3f.jpg
Heka 6 za cabbage, drip irrigation.

Natengeneza chakula changu mwenyewe cha kuku, ambapo karibu 50% ya malighafi nazalisha mwenyewe kutoka kwenye mashamba yangu. Msibu huu, umekua wa neema sana, nina heka 48 za mahindi na 15 za mihogo, zote zikiwa miono.
b740178ed054a76287845949282d7ba7.jpg
Shamba langu la mahindi

Hapa kati vitu vingi sana sana sana vimetokea - nimefata tubiashara twingi twingi twa kunisogeza, nimepanda, nimeshuka, kusumbuana na mabenki, kuzurura ofisi za watu nk nk... but all I can say is 'the journey has been so boring & interesting at the same time'.

Kwasasa pia nina shares 25% kwenye kampuni ya technology niseme ICT. Ambapo naweza sema nimekuapo tangu wakati ikiwa bado ipo kwenye ideation phase mpk sasa kdg kuna mwanga unaonekana.

Nipo kwenye mchakato pia kua ktk kampuni yangu ya 3, a sort of partnership to be exact. Hii yote ni katika jitihada zangu za kutimiza malengo niliyojiwekea ya kuwa na vyanzo vya pesa kutoka makampuni 5 tofauti kabla sijatimiza miaka 25.

Mafanikio

Kusimama ktk ujasiriamali hadi leo hasa kwa nchi km TZ si jambo dogo, ni mafanikio makubwa sana, achilia mbali kukuza biashara from scratch.

Lkn nimeweza kutambulika kitaifa na kimataifa.
Ni ngumu sana kujiita mfanyabiashara makini kama TPSF hawakufahamu.
7ff02d5ceae13d2a0626d044f4e44a30.jpg
Nikiwa na mkurugenzi wa TPSF Dr. Simbeye

Nimepata awards 4 za kimataifa ktk biashara kutoka organisations mbali mbali ikiwemo Mastercard foundation.
f459cde9f8fbc5d7eb822423caf12b52.jpg
moja kati ya award niliyopata mwaka jana.

Nimekua featured kwenye media stations nyingi sana kitaifa na kimataifa. Mfano:
Forbes, CNN Africa, BBC World Service (outlook), BBC Africa, How we made it in Africa, Africa Successive Stories, The incubators Africa, SABC, Venture Africa, African Business Magazine nk nk. Nimefanya interviews nyingi sana zingine hata sikumbuki.

Nimepata fursa ya kualikwa kuzungumza ama kuattend conferences kubwa as an entrepreneur. Mfano mwaka jana nilizungumza kwenye conference kubwa sn duniani huko Washington DC na nikaalikwa VIP experience katika TEDx Michigan. Hapa Bongo pia nimeongea kwenye conference za kuandaa sera za kilimo mwaka 2016 na mwaka huu pia. Pia nimealikwa kwenye talks hizi za uhamasishaji mara kadhaa.

Pia mwaka jana nilialikwa kwenye conference kubwa sana ya kilimo hapo Nairobi, ambapo 1 ya wageni rasmi alikuepo Bill Gates. Hii ilikua mara yangu ya kwanza kumwamkia Dr. J. Kikwete in person.
0487861fa588f55648a9283c24e0a50f.jpg


Tangu nimeanza biashara nimezunguka nchi nyingi sana. Kitu kizuri zaidi ktk kutembea ni kukutana na watu, watu wa faida kama My business mentor Vusi Thembekwayo, Alex Okosi (CEO wa MTV Afriva), Prof. Thom Jayne, Richard Maponya, Chimamanda Ngozi, Ahmed Ahmad Alhendawi (UN secretary general's envoy on youth), Mo Dewji, Dr. Strive Masiyiwa (CEO Econet), Acha Leke (CEO McKinsey Afr), Dr. Fred Swaniker, Agnes Kalibata... hii list ni ndefu sana, sitaki nikuchoshe.

Mwisho

Katika kipindi hiki ambacho rate ya graduates wanaoingia mtaani ni kubwa kuliko uwezo wa serikali wa kuajiri, nahisi ujasiriamali ndio njia rahisi ya mtu kuingiza mkono kinywani, na kuacha kutegemea wazazi. Pia kuna ndugu zng wale 10,000 - kutokua na cheti si mwisho wako wa maisha.

Sasa nimeona ni jambo la kheri kama nitashare na wewe chochote ninachokifahamu kuhusu biashara. Pia naamini humu JF kuna watu wa kila calibre, so kwa kitu ambacho sitaweza kutoa ufafanuzi makini nakaribisha watu wengine watoe mawazo yao.

Nafahamu JF kuna watu wanaonifahamu either kwa kuniona/kunisoma kwa media ama kumeet in person, naomba ufiche identity yangu kama mimi nilivyoamua kuificha. Ni suala la kuheshimiana tu. The goal is to be successful not to be famous.

Karibuni sana. Nitajitahidi kujibu maswali yote kadri niwezavyo.

Salute!!

Muhimu
Sitoi mawasiliano, na wala sitojibu P.M
Kwa nini unaficha sura?hzo project zako mbona husemi ziko wapi una ishia kutuonyesha picha tu.
 
Salute Bosses!!

Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wote waliobahatika kusoma uzi wangu niliouweka hapa miezi kadhaa iliyopita na tukaShare ideas mbali mbali za kibiashara. Lkn zaidi nimefarijika sana kuwa uzi ule umewafumbua macho watu kadhaa, na kuna wengine kupitia uzi ule wametoka from their comfort zone na kuanza kufanya kitu.

Link ni hii kama hukuusoma: Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Utangulizi
Biashara yangu ya kwanza nilianza miaka mi4 iliyopita nikiwa chuo mwaka wa 1.View attachment 512741Kampuni yangu ya kwanza ikiwa na miezi 9.
View attachment 512742Kampuni yangu ikiwa na miaka mi2.
7599468930d2a34e3b5507deceb45dd0.jpg

View attachment 5127431 ya operations ya kampuni yangu. (Picha ya weekend hii). View attachment 512745Weekend hii.

Basically sikua na mtaji mzito sana, hapa hua nakosa kuaminiwa kila sehemu, mtaji wng wa kwanza ulikua ni posho tuliyokuwa tukipewa tukiwa JKT na chenji nilizobaki nazo kutoka advance. Nilianza kwa ufugaji wa kuku 50 wa broiler, lkn leo tunavyoongea kila mwezi nazalisha thousands of chickens na nimediversify mpk kuwekeza mashambani.
92038617915f6ea5908e55aea3a92a3f.jpg
Heka 6 za cabbage, drip irrigation.

Natengeneza chakula changu mwenyewe cha kuku, ambapo karibu 50% ya malighafi nazalisha mwenyewe kutoka kwenye mashamba yangu. Msibu huu, umekua wa neema sana, nina heka 48 za mahindi na 15 za mihogo, zote zikiwa miono.
b740178ed054a76287845949282d7ba7.jpg
Shamba langu la mahindi

Hapa kati vitu vingi sana sana sana vimetokea - nimefata tubiashara twingi twingi twa kunisogeza, nimepanda, nimeshuka, kusumbuana na mabenki, kuzurura ofisi za watu nk nk... but all I can say is 'the journey has been so boring & interesting at the same time'.

Kwasasa pia nina shares 25% kwenye kampuni ya technology niseme ICT. Ambapo naweza sema nimekuapo tangu wakati ikiwa bado ipo kwenye ideation phase mpk sasa kdg kuna mwanga unaonekana.

Nipo kwenye mchakato pia kua ktk kampuni yangu ya 3, a sort of partnership to be exact. Hii yote ni katika jitihada zangu za kutimiza malengo niliyojiwekea ya kuwa na vyanzo vya pesa kutoka makampuni 5 tofauti kabla sijatimiza miaka 25.

Mafanikio

Kusimama ktk ujasiriamali hadi leo hasa kwa nchi km TZ si jambo dogo, ni mafanikio makubwa sana, achilia mbali kukuza biashara from scratch.

Lkn nimeweza kutambulika kitaifa na kimataifa.
Ni ngumu sana kujiita mfanyabiashara makini kama TPSF hawakufahamu.
7ff02d5ceae13d2a0626d044f4e44a30.jpg
Nikiwa na mkurugenzi wa TPSF Dr. Simbeye

Nimepata awards 4 za kimataifa ktk biashara kutoka organisations mbali mbali ikiwemo Mastercard foundation.
f459cde9f8fbc5d7eb822423caf12b52.jpg
moja kati ya award niliyopata mwaka jana.

Nimekua featured kwenye media stations nyingi sana kitaifa na kimataifa. Mfano:
Forbes, CNN Africa, BBC World Service (outlook), BBC Africa, How we made it in Africa, Africa Successive Stories, The incubators Africa, SABC, Venture Africa, African Business Magazine nk nk. Nimefanya interviews nyingi sana zingine hata sikumbuki.

Nimepata fursa ya kualikwa kuzungumza ama kuattend conferences kubwa as an entrepreneur. Mfano mwaka jana nilizungumza kwenye conference kubwa sn duniani huko Washington DC na nikaalikwa VIP experience katika TEDx Michigan. Hapa Bongo pia nimeongea kwenye conference za kuandaa sera za kilimo mwaka 2016 na mwaka huu pia. Pia nimealikwa kwenye talks hizi za uhamasishaji mara kadhaa.

Pia mwaka jana nilialikwa kwenye conference kubwa sana ya kilimo hapo Nairobi, ambapo 1 ya wageni rasmi alikuepo Bill Gates. Hii ilikua mara yangu ya kwanza kumwamkia Dr. J. Kikwete in person.
0487861fa588f55648a9283c24e0a50f.jpg


Tangu nimeanza biashara nimezunguka nchi nyingi sana. Kitu kizuri zaidi ktk kutembea ni kukutana na watu, watu wa faida kama My business mentor Vusi Thembekwayo, Alex Okosi (CEO wa MTV Afriva), Prof. Thom Jayne, Richard Maponya, Chimamanda Ngozi, Ahmed Ahmad Alhendawi (UN secretary general's envoy on youth), Mo Dewji, Dr. Strive Masiyiwa (CEO Econet), Acha Leke (CEO McKinsey Afr), Dr. Fred Swaniker, Agnes Kalibata... hii list ni ndefu sana, sitaki nikuchoshe.

Mwisho

Katika kipindi hiki ambacho rate ya graduates wanaoingia mtaani ni kubwa kuliko uwezo wa serikali wa kuajiri, nahisi ujasiriamali ndio njia rahisi ya mtu kuingiza mkono kinywani, na kuacha kutegemea wazazi. Pia kuna ndugu zng wale 10,000 - kutokua na cheti si mwisho wako wa maisha.

Sasa nimeona ni jambo la kheri kama nitashare na wewe chochote ninachokifahamu kuhusu biashara. Pia naamini humu JF kuna watu wa kila calibre, so kwa kitu ambacho sitaweza kutoa ufafanuzi makini nakaribisha watu wengine watoe mawazo yao.

Nafahamu JF kuna watu wanaonifahamu either kwa kuniona/kunisoma kwa media ama kumeet in person, naomba ufiche identity yangu kama mimi nilivyoamua kuificha. Ni suala la kuheshimiana tu. The goal is to be successful not to be famous.

Karibuni sana. Nitajitahidi kujibu maswali yote kadri niwezavyo.

Salute!!

Muhimu
Sitoi mawasiliano, na wala sitojibu P.M
jamaa mtam sana kwenye kujieleza,udambwi dambwi kibao kumbe unatosa ndoano,wajinga wakazama kichwa kichwa ukawababua bila huruma😂😂😂
 
Back
Top Bottom