Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

daaah we dogo saafi saaana aisee nikija bongo nitakutfta mdogo wangu. Mimi nilikuwa na na nina experience saaana na vitunguu maji kwa miaka kama kumi hivi nimelima kitaaalam saana ila tatzo niligundua kuwa soko linazngua saaana saaana hapo bongo. ilifikia hatua nikaachaga kulima nikaenda kuwa dalali wa vitunguu huko mabibo hii yote ilikuwa ni mbinu ya kufanya research ya masoko ya vitunguu nilikaa miez minne nikaelewa saaana na baada ya hapo nilirudi shambani nikawa nalima kinyume na msimu. Hapo nilipata faida saaana. kuna kipind nilitembelea israel nikaona vitunguu swaum so nikapanga nikarud tz nikamwambia kakaangu tulime vitunguu swaum lakini jamaa akakataa akasema vinakubali maeneo ya baridi. wakat israel niliona vinalimwa open space jamani. sikukubaliana nae. nikajipanga nikalima ka shamba kangu ka nusu hekari nikatumia utaalamu waangu woote wa zao la kitunguu maji na nilisoma na nikaenda kuwatembelea baadhi ya wakulima huko mbeya nikajifunza nikaja kufanya kwa practical aisee amini usiamni kaka nilipiga gunia zangu kadhaa za vitunguu swaum tangu hapo nikawa mkulima mzuri saana wa vitunguu aisee. kwa hyo jamani msisikilize ya watu mimi home tz nalima had zabibu. kilimo kinalipa ila KILIMO AFRIKA BILA KUJUA SOKO NI SAWA NA KUPAKA RANGI UPEPO. Zaid ya Mbwa wa ulinzi wa kipolisi/kijeshi, mbuzi, bata mzinga na ng'ombe wa maziwa sijawah fuga. Mimi nimejifunza kuwa specific ktk jambo unalofanya. yaani amua nini unataka kufanya na ujikite huko. mimi nilijikita ktk vitunguu na hapo hunidanganyi lolote may be masoko ya nje ndio sijawah uzia huko na hapo ontario mdogo wangu utanisaidia nikija bongo. Nalima mbaazi, mpunga na ninasaga nyama na kutengeneza sausage pia na mikate. kwa hyo naenjoy, NIMESOMA FINANCIAL ENGINEERING lakin moyo wangu uko kwenye kilimo jamani. i miss home nikija nitakutfta mdogo wangu. nikusaidie forex (japo nimesimama kidogo).
Vipi uli endelea na kilimo mkuu 🤔 mapenz matam
 
Kaka Ongera Sana Mungu aendelee kukupigania kila nikisoma thread zako uwa naumia Sana najiona nimechelewa mno natamani ata nisimame Sasa hivi nifanye hiki na kile lkn too late, mbaya Zaid umekuwa mtu WA kutu-inspire tu kwa maneno nikikufata PM ata unielekeze wapi pa kuanzi unakua mgum.
All in all kaka kubali kubeba watu wachache ili huwe mwalimu watu tujisifu kufanikiwa kupitia mgongo wako.
Vipi saivi Mkuu umefikia hatua gani? Kupitia hizi threads
 
Moja ya watu ambao wakikosa kazi yakufanya wanaingia JF kurefresh nimimi ila nilichogundua wafanyabiashara wakubwa hawajui chochote kuhusu JF
 
Ontario Hongera sana nakupongeza kwa jitahada zako, any way vijana wengi wabongo sio waaminifu plus wavivu wanataka easy money hiyo tuachie wenyewe ,ndugu yangu unanipa ushauri gani nina eka 22 karibu na saadani mbuga ya wanyama nimeona muhogo mwingi njiani unatoka barabara hiyo ,natamni kufuga kuku wa mayai au hata kulima tatizo nipo abroad, unaweza kunisaidia vipi na kama hutojali unaweza kunipatia whatssapp yako ,mm nipo DXb
 
Ontario Hongera sana nakupongeza kwa jitahada zako, any way vijana wengi wabongo sio waaminifu plus wavivu wanataka easy money hiyo tuachie wenyewe ,ndugu yangu unanipa ushauri gani nina eka 22 karibu na saadani mbuga ya wanyama nimeona muhogo mwingi njiani unatoka barabara hiyo ,natamni kufuga kuku wa mayai au hata kulima tatizo nipo abroad, unaweza kunisaidia vipi na kama hutojali unaweza kunipatia whatssapp yako ,mm nipo DXb
Wewe utakuwa mgeni mjini eeh
 
Ontario Hongera sana nakupongeza kwa jitahada zako, any way vijana wengi wabongo sio waaminifu plus wavivu wanataka easy money hiyo tuachie wenyewe ,ndugu yangu unanipa ushauri gani nina eka 22 karibu na saadani mbuga ya wanyama nimeona muhogo mwingi njiani unatoka barabara hiyo ,natamni kufuga kuku wa mayai au hata kulima tatizo nipo abroad, unaweza kunisaidia vipi na kama hutojali unaweza kunipatia whatssapp yako ,mm nipo DXb
ONTARIO alishaacha kutumia hiyo ID siku nyingi sana.. Na wengi wanamfaham humu JF kwa mambo ya forex,, wewe umejiunga JF hiv karibuni au?????
 
Back
Top Bottom