babadullah
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 508
- 319
Asante kwa ushauriKwa biashara ya tigopesa atulie kwanza atafte mtaji....maana ukiw na mtaji uchwara utakuta hela zote zpo kwenye cm n mkonon huna ht 100....!!so kwa kuanzia tyu aanze na hyo ya vocha za kurusha plus n kusajili laini....then kidogo kidogo ukiona mtaji unatosha utasogea zaidi...!!
Kwa ishu ya kusajili hakikisha una smartphone yenye Android version kubwa na pia kamera iwe nzuri....
N wazo zuri hii itampa nafasi ya kuuza hata mitandao mengne..!!ila kwa faida zaidi....ajiunge tigirusha na voda fasta kwa mitandao ya voda na tigo....Kwa vocha JIUNGE na mobstock
Kila siku akawa na wastani wa wateja ishirini wanaotoa elfu tano kwa siku.. kwa kamisheni hiyo mpaka mwisho wa mwezi inakuwa ndefu
Mpe ushauri wa kufanya kazi nyingine sio unamwambia aache bila njia mbadala na wazo lake
10000 faida 500? hapana ni 5000 faida 500Ni nzuri kama utajituma.vocha ya 10000 faida ni 500au 600,laini pia inategemea na maeneo uliyopo.kimsingi inalipa ili juhudi zako ndio mtaji mkubwa
Unajiungaje?Line moja unatumia kuuza vocha aina zote Tanzania hii.
Na kuuza vifurushi vyote vya Tigo.
Pia unauza na luku kupitia line hiyo hiyo.
Shukran sana mkuu. Nimepata mwanga pa kuanziaVocha mfano ya HALOTEL ukichukua PCs 11000 za buku buku unauziwa 925 Jumla ya PCs hizo ni 10175000TZS. Hiyo ukitaka nitakupa namba za watakaokuuzia kwa being iyo. Ukitaka kuchanganya za 2000,500,&5000 ni wewe tu kulingana na mahitaji ya solo lako.
Pia airtel na voda wao Ukienda kwa wale voda shop ama airtel shop wanaweza wakakuuzia kwa 930 kama muongeaji sana kama MIE ila watakuuzia kwa 935 kwa ile alfu moja sasa unazidisha ama kugawa ila thamani yake Iko ivyo ivyo.
Hawa ukichukua mzigo Wa kuanzia 5M mkuu watakuuzia. Togo sijawahi ziuza mana eneo nililo kuwa nauzia Tigo haishiki kabisa.
Inataoka sana ila ujue Milioni kumi plus unapata faida ya laki moja ila ukimaliza mzigo Wa Milioni 20 kwa siku Uko njema sana mzazi
Umemuona mtu anauza na bei unaijua, ungeanza na huyo jamaa kumuuliza angekuambia kila kitu.Wakuu ni wakati mwingine tena:
Vocha hizi tunazotumia kuongeza salio kwa ajili ya mawasiliano kwenye mitandao mbalimbali, matumizi yake yameenea sana sasa hasa karne hii.
Hii inanifanya nione biashara ya kuuza vocha za jumla kuwa inaweza kuwa ni yenye kutoka sanaa na outturn yake ikawa ya kuridhisha.
Kwa mfano kuna jamaa fulani pale maeneo ya Temeke anauza vocha kwa jumla wateja wamepanga mstari kusubiri huduma.
Yeye anauza:-
500 kwa 475 Tsh .
1000 kwa 950 Tsh.
Sijajua upande mwingine wa shillingi. Yeye ananunuaje na anazipata wapi hapa Dsm na utaratibu umekaajee. Hebu nipate mawazo yenu wakubwa.
Mna maoni gani katika hili?
Asanteni sana wakuu.
View attachment 1474098View attachment 1474099