mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Bongo tunasafari ndefu sanaHivyo combination amechaguliwa na mwalimu wake wa taaluma hapo shuleni sababu ana pass marks za masomo ya science na Arts zote
pamoja na pass ya math except physics ndio amekosa pass marks.
Nashauri aende atakuja kuwa mtu asiye julikana na utakuja kunishukuru badaeHabari wakuu
Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private
Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?
Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.
Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.
Natanguliza shukran
Kwa nini kaka unasema hivyo,natamani kusikia ushauri wako.Bongo tunasafari ndefu sana
Vya kusema nimeshauliwa na mwalimu wa Taaluma baada ya kuangalia mtoto anataka niniKwa nini kaka unasema hivyo,natamani kusikia ushauri wako.
Habari wakuu,
Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private
Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?
Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.
Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.
Natanguliza shukran
Surely, Kama wamepata opportunity ya kwenda chuo waende tuNaomba nikushauri kama kaka pia kama specialist wa kada Fulani, please please please achana na kwenda form give ni njia ya kizamani saaana Mimi binafsi wadodo zangu wa mwisho walifaulu vizuri ila sikuwapeleka ACSEE Bali niliwapekeka kuanza certificate then diploma then bachelor as we are speaking now they first year bachelor degree students.
How are the job opening in accordance with program taken?
This depends on family and issues nyingi saaana yaaani kusoma na kufanikiwa maisha ni njia mbili tofauti saaaaana then kusoma na kupata kazi na kuwa noble kwenye ulichokisomea ni njia tatu tofauti saaana ila Zina mahusiano makubwa saana na mmoja ni input ya mwenzane na mwenzaje ni outputs kwa ajili ya mwingi
hivyo
There is very strong relationship between kusoma kitu Fulani na kufanikiwa kwenye kitu ulichosomea.
Best regards.
muache aendelee na Advance hiyo course ni kimeoNaomba nikushauri kama kaka pia kama specialist wa kada Fulani, please please please achana na kwenda form give ni njia ya kizamani saaana Mimi binafsi wadodo zangu wa mwisho walifaulu vizuri ila sikuwapeleka ACSEE Bali niliwapekeka kuanza certificate then diploma then bachelor as we are speaking now they first year bachelor degree students.
How are the job opening in accordance with program taken?
This depends on family and issues nyingi saaana yaaani kusoma na kufanikiwa maisha ni njia mbili tofauti saaaaana then kusoma na kupata kazi na kuwa noble kwenye ulichokisomea ni njia tatu tofauti saaana ila Zina mahusiano makubwa saana na mmoja ni input ya mwenzane na mwenzaje ni outputs kwa ajili ya mwingi
hivyo
There is very strong relationship between kusoma kitu Fulani na kufanikiwa kwenye kitu ulichosomea.
Best regards.
Asante kwa ushauri nduguSurely, Kama wamepata opportunity ya kwenda chuo waende tu
Kwanza ajira za siku hizi wanabeba sana watu wenye cerificates na diploma
Kupanga ni kuchagua
Asante sana ndugu kwa ushauri nimekuelewa vizuri .!ubarikiwe.Kama una uwezo peleka mtoto kwa system yote ya Tanzania, for 1 to 6, watoto wa sasa ni wa dogo Sana, mwache alelewe miaka mingine 2 akiwa chini ya uangalizi.
Usikubali ku peleka huyo mtoto chuo na kupata uhuru wote wa chuo akiwa na huo umri ni hatari kwa binti yetu, please, please ndugu peleka mtoto wetu form five.
Hata kama hauna uwezo wewe jitahidi, atapata mkopo ataendelea huko mbele. Usiikatishe hii safari ya Shule ya mtoto kama una huo uwezo mpeleke secondary ya private.
Ndio maana nataka ushauri.Naomba mchango wakko wa mawazoUna mtihani sana...
anaweza akaenda chuo na pia ukienda kwenye website ya nacte wametoa ruhusa ya kubadili coarse kama haujaipenda hiyo waliokuchagulia sio lazima asome hiyo coarse anaweza kuibadili pia hata chaguo la chuo anaweza kubadili pia...Habari wakuu,
Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private
Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?
Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.
Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.
Natanguliza shukran
Acha kumdanganya mwenzio..!! Kila kozi kuna waliotoboa na walishindwa..!Kwanza hapo kwenye umri tu, naona hauna haja ya kumharakisha chuo. Tena kwa diploma. Muache aende advance. Kwa masomo yao kufaulu sio ishu akiamua kukaza.
Pili, hiyo course ya international relations & diplomacy sikudanganyi haina kazi! Sikuambii kujiajiri! Tena kwa diploma ndo kabisaa!
Mwache aende akasome Kurasini. Chuo kikuu hata kutokea kutasini atafika tu, tena huku akiwa na profession tayari. Huko form five say akifeli, bado anakuwa hana profession.Habari wakuu,
Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private
Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?
Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.
Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.
Natanguliza shukran
Ahahahahaha, wavaa suti nyeusiNashauri aende atakuja kuwa mtu asiye julikana na utakuja kunishukuru badae
najua wengi watakuambia kuwa hyo course haina market/ajira lakini usilolijua hicho chuo 70% wanakuwa wako selected na wahusika wa mambo fulani ya nchi na mpaka anachaguliwa kuja hapo ujue kuna pendekezo kutoka kwa mwalimu/walimu ambao wako taasisi fulani kuwa anafaa kuja kusoma hyo course hapo chuoni.Habari wakuu,
Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private
Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?
Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.
Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.
Natanguliza shukran