Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
- Thread starter
- #141
😀 😀 sawaKabadilishe fasta
Utakuja kulia😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 sawaKabadilishe fasta
Utakuja kulia😄
Nkulu wa nchito zingatia sana ushauri huuUsije ukajenga nyumba kwenye icho kiwanja mzee itakuwa imekula kwako
Mkope hela alafu mruke kuwa hakukupa. Hakika anakupa mkononi na sio kupitia Bank au Mobile MoneyYah tuna watoto wawili lkn wakati tunanunua kiwanja tulikua na mtoto mmoja
KweKosa lipo kwako mkuu cho chote cha familia hasa vitu vya maendeleo mwanaume unapaswa kuhusika % nyingi mke ni kidogo sana vya ndani tena jikoni tu
Mke sio mtu wa kumwamini hata nukta
Sawa nimeshaona dalili mbayaNkulu wa nchito zingatia sana ushauri huu
Mkope hela alafu mruke kuwa hakukupa. Hakika anakupa mkononi na sio kupitia Bank au Mobile Money
Upbringing yake ikoje? Kalelewa na single mother?? Au nyumban kwao mama ndio ana sauti kuliko baba yake?Hapana siyo msomi ni level yangu
Kalelewa na baba yake na mama yake toka tuoane hatujawahi ishi mda mrefu mda mrefu ambao tulikaa sana ni miezi miwili sasa saa hz tunaishi pamoja kila mmoja anagundua tabia ya mwenzake kwake nilichogundua ni mbinafsi na hili siyo kwangu hata kwa ndugu zake ni mbinafsiUpbringing yake ikoje? Kalelewa na single mother?? Au nyumban kwao mama ndio ana sauti kuliko baba yake?