Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Mkuu kukiwa na ubishani kwa sheria zetu mwamba hana kitu. Sheria ya ndoa inaruhusu umiliki wa Mali binafsi kwa wanandoa.

Labda ingekua matrimonial home, sasa hapa mchango wake utakua ni nini ikiwa wife akisema ni kiwanja kanunua kwa pesa zake mwenyewe... kitendo cha yeye kumtumia pesa itakosa ushahidi kwamba alituma kwa ajili ya kununua kiwanja.
Haya mambo ni zaidi ya vile tumeyasoma Mkuu, amini nakwambia inawezekana kabisa. Nimefanya kesi 2 mwaka jana za mtindo huo huo tena baada ya mwanamke kudanganywa na kugoma kuhamisha umiliki uwe wa wawili.

Natamani yule mwanamama akate rufaa HC ili itoke precedence. 😂
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake

"........akasema tuchange hela tununue........."

☝️☝️ kosa la kwanza kubwa sana.

".........huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu........."

☝️☝️ kosa la pili .

Ila subiri ushauri wa wadau wenye uzoefu na kesi kama hizo.
 
Huyo mkeo remote ni mama yake,
Kabla ujajenga nyumba pamoja, jenga yako kimyakimya.
Nina uhakika alinunua viwanja viwili, wewe kakuonyesha kimoja, deed ya pili ipo kwa mama yake. Shtuka
wewe ni dhaifu sana
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Yale yale ya Mwandishi wa ITV na Radio One Ufoo Saro, Marehemu Mpenzi wake Mushi na Mama Mtu kumwagwa Ubongo na kuwa Historia sasa.
 
Huyo mkeo remote ni mama yake,
Kabla ujajenga nyumba pamoja, jenga yako kimyakimya.
Nina uhakika alinunua viwanja viwili, wewe kakuonyesha kimoja, deed ya pili ipo kwa mama yake. Shtuka
wewe ni dhaifu sana
Sawa
 
"........akasema tuchange hela tununue........."

☝️☝️ kosa la kwanza kubwa sana.

".........huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu........."

☝️☝️ kosa la pili .

Ila subiri ushauri wa wadau wenye uzoefu na kesi kama hizo.
Nashukuru kwa ushauri
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Kwanza hati ya kiwanja haina mashahidi, sijui hapa unamaanisha mkataba wa mauziano au nini. Pili hati inabadilishwa majina kwa maana ya umiliki kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tatu wewe ni bwege na huhudhurii vikao. Tulishasema don’t trust a woman. Wanawake wengi hutumia wanaume ili kuvushwa kwenye mambo yao. Kwenye hili bado nafasi ipo, nenda nae taratibu mbadili umiliki, tumia sana akili asihisi tofauti, vinginevyo ndio utaharibu kila kitu. All the very best
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Hebu eleza vizuri mkuu,ni hati ya kiwanja au karatasi ya mauziano?
 
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Kwa kilatini tunasema "Quod licet Iovi, non licet bovi"
Haya kisheria nenda kwa mkeo muombe ubadili jina la kiwanja , akikataa basi huna haki nacho!
😂😂
 
Back
Top Bottom