Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Kosa la kwanza
Kosa la pili(tukachanga tukananunua kiwanja) kosa la tatu huyo mwanamke anakumudu

Hiyo hela si ungemchangia tundu lisu akanywa Ata supu

👉Ushauri muachie kiwanja hicho nunua kingine jenga kimya kimya pangisha watu kula kodi kimaya kimya🥶acha upumbafu huyo ni mbinafsi mzee mwenzangu
 
Nilivyoelewa ni kuwa mwanzo wifewako na wewe mlichanga then pesa ukampa yeye anunue kiwanja, then akanunua huko aliko akatafuta na hati ila akaona aandike jina lake tu
...
Baadae inaonekana mkakutana ukaona haina jina lako mkajadili akakubali jina lako pia liongezwe
...
Unachotaka kujua/ushauri ni kama inawezekana kuongeza jina ama la!
Jibu: inawezekana kikubwa tu mhusika ambae jina lipo kwenye hati awepo na akubali kusaini (kakubali tayari)
...
Hahaha ila next time wakuu makosa kama haya ni ya kuepuka ukichanga na mtu pesa kununua kitu fatilia nawewe upate umiliki wa hicho kitu
Sawa asante
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
ingekuwa ni mimi ningebadili jina na kuandika la kwangu peke yangu. Yaani mwanamke aniambie tununue kiwanja kisha kwenye hati aweke jina lake wakati mimi ndo baba wa familia si dharau hizo? Kwani mpaka aweke jina lake anajiandaa na nini? Anataka akishajenga muachana? Kama hana mpango wa kuachana basi hapo kwenye hati likae jina lako au muuze icho kiwanja mnunue kingine muandikishe upya.
 
ingekuwa ni mimi ningebadili jina na kuandika la kwangu peke yangu. Yaani mwanamke aniambie tununue kiwanja kisha kwenye hati aweke jina lake wakati mimi ndo baba wa familia si dharau hizo? Kwani mpaka aweke jina lake anajiandaa na nini? Anataka akishajenga muachana? Kama hana mpango wa kuachana basi hapo kwenye hati likae jina lako au muuze icho kiwanja mnunue kingine muandikishe upya.
Haisadii hata ukiandika la kwako pekee wakija kukosana wanagawana pasuuuuu ama mme kukoswa
 
Yaani kwa masimulizi haya wewe ndo umeolewa na huyo mwanamke.Umeshafeli kitambo na bado tatizo hulioni😄😄😄


Bado hujasema!


#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
ingekuwa ni mimi ningebadili jina na kuandika la kwangu peke yangu. Yaani mwanamke aniambie tununue kiwanja kisha kwenye hati aweke jina lake wakati mimi ndo baba wa familia si dharau hizo? Kwani mpaka aweke jina lake anajiandaa na nini? Anataka akishajenga muachana? Kama hana mpango wa kuachana basi hapo kwenye hati likae jina lako au muuze icho kiwanja mnunue kingine muandikishe upya.
Sawa
 
Ulishawahi kubanwa na zipu kwenye kende!?
Huwa tunaondoa taratibu na kwa umakini mkubwa sana
Basi hili suala lako ni kama kuondoa zipu kwenye kende yani ni taratibu mno na kwa umakini mkubwa ili usiharibu
 
Hapo wenzako( mkeo na mamaake) wanakuchezea michezo ya kijasusi🤗

Kama unatumali twako twingine anza kukaa kitaalam.Hao washakuona zoba na ukikaa vibaya watakutanguliza🤝

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Mwachie tu mdada hakuna shida Mbona
 
Back
Top Bottom