zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Alubati Chalamila una maswali ya mtego mtego, unataka usemeje wanaume tusiuze uduvi?Unamuamini mkeo? Kwa asilimia ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alubati Chalamila una maswali ya mtego mtego, unataka usemeje wanaume tusiuze uduvi?Unamuamini mkeo? Kwa asilimia ngapi?
Kos la pili ni KUMUAMINI MWANAMKE
Kosa la pili(tukachanga tukananunua kiwanja) kosa la tatu huyo mwanamke anakumuduKosa la kwanza
Sawa asanteNilivyoelewa ni kuwa mwanzo wifewako na wewe mlichanga then pesa ukampa yeye anunue kiwanja, then akanunua huko aliko akatafuta na hati ila akaona aandike jina lake tu
...
Baadae inaonekana mkakutana ukaona haina jina lako mkajadili akakubali jina lako pia liongezwe
...
Unachotaka kujua/ushauri ni kama inawezekana kuongeza jina ama la!
Jibu: inawezekana kikubwa tu mhusika ambae jina lipo kwenye hati awepo na akubali kusaini (kakubali tayari)
...
Hahaha ila next time wakuu makosa kama haya ni ya kuepuka ukichanga na mtu pesa kununua kitu fatilia nawewe upate umiliki wa hicho kitu
😀Mkuu
Makosa Mangapi Mpaka Sasa
Mleta Thread Kama Ni Ndugu Yako Unaweza Kumzaba Makofi Aone 🌟
Kwa jinsi ilivyo ni hati ya mauzianoNi hati miliki au hati ya mauziano?
😀 comeback ipo tena dk za jioniiiiDuh kwa makosa yote haya, sidhani kama kuna comeback 😀
ingekuwa ni mimi ningebadili jina na kuandika la kwangu peke yangu. Yaani mwanamke aniambie tununue kiwanja kisha kwenye hati aweke jina lake wakati mimi ndo baba wa familia si dharau hizo? Kwani mpaka aweke jina lake anajiandaa na nini? Anataka akishajenga muachana? Kama hana mpango wa kuachana basi hapo kwenye hati likae jina lako au muuze icho kiwanja mnunue kingine muandikishe upya.Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Atakataa vipi hata ukiandika jina lako bado chake kwa 97%?Yeye kakubali na ameshanipa hiyo hati
Haisadii hata ukiandika la kwako pekee wakija kukosana wanagawana pasuuuuu ama mme kukoswaingekuwa ni mimi ningebadili jina na kuandika la kwangu peke yangu. Yaani mwanamke aniambie tununue kiwanja kisha kwenye hati aweke jina lake wakati mimi ndo baba wa familia si dharau hizo? Kwani mpaka aweke jina lake anajiandaa na nini? Anataka akishajenga muachana? Kama hana mpango wa kuachana basi hapo kwenye hati likae jina lako au muuze icho kiwanja mnunue kingine muandikishe upya.
Maneno makali sanaYaani kwa masimulizi haya wewe ndo umeolewa na huyo mwanamke.Umeshafeli kitambo na bado tatizo hulioni😄😄😄
Bado hujasema!
#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
Sawaingekuwa ni mimi ningebadili jina na kuandika la kwangu peke yangu. Yaani mwanamke aniambie tununue kiwanja kisha kwenye hati aweke jina lake wakati mimi ndo baba wa familia si dharau hizo? Kwani mpaka aweke jina lake anajiandaa na nini? Anataka akishajenga muachana? Kama hana mpango wa kuachana basi hapo kwenye hati likae jina lako au muuze icho kiwanja mnunue kingine muandikishe upya.
kugawana pasu haina shida ila mwanamke kuweka jina lake peke yake ni tatzo kubwa. Kuishi na mwanamke inatakiwa uwe dikteta.Haisadii hata ukiandika la kwako pekee wakija kukosana wanagawana pasuuuuu ama mme kukoswa
Mwachie tu mdada hakuna shida MbonaWana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Achana nacho, ni mkeo huyo... Au huna imani nae ?Lakin hati kanipa kaniambia nikabadilishe