Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Duh, classmate umekuwa mkatili sana leo 😂😂Minaona, umefunga ndoa na mke wa mwanaume mwingine.
Kwa leo naomba niishie gapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, classmate umekuwa mkatili sana leo 😂😂Minaona, umefunga ndoa na mke wa mwanaume mwingine.
Kwa leo naomba niishie gapa
Imegongwa mhuri ila pale juu imeandikwa hatiHiyo ni hati au karatasi ya Serikali za Mtaa?
Kumbuka ushamwambia amefanya makosa kama saba!!,sasa makosa ambayo jamaa kafanya,mke katumia kama fimbo kumchapia jamaa,hivyo imani ishatoweka ndo kaamka usingizini.!!Hapo jibu ni moja tu, nenda ukauze kiwanja kisha unaemuuzia akuuzie tena upya ndio utaandika majina yako na majina yake
Yaan hapo huwezi kufuta jina kwenye hati limeshaandikwa mchakato ni kumuuzia mtu kisha yule akuuzie tena upya ndio unabadirisha majina mnaweka majina yenu wote, lakini sababu ni nini haswa mpaka unataka kufanya hivyo kwani mkeo haumwamini?
SawaYes mnabadili vizuri tu bila tatizo.
AsanteMakosa ya kibinaadamu hayo pole mukubwa
Hati maana yake ni Title Deed inayotolewa na Kamishna wa Ardhi, zaidi ya hapo hiyo ni karatasi tu haina legal impact.Imegongwa mhuri ila pale juu imeandikwa hati
Muhuri wa nani?Imegongwa mhuri ila pale juu imeandikwa hati
SawaHati maana yake ni Title Deed inayotolewa na Kamishna wa Ardhi, zaidi ya hapo hiyo ni karatasi tu haina legal impact.
Serikali ya mtaaMuhuri wa nani?
Ni mkataba wa mauziano mkuu sio karatasi tu! Na ina legal effect.Hati maana yake ni Title Deed inayotolewa na Kamishna wa Ardhi, zaidi ya hapo hiyo ni karatasi tu haina legal impact.
Sawa nimekuelewaImekula kwako, unaishi na shetani mroho na mlafi.
Mwache ajivuruge zaidiKwa makosa hayo saba mpaka hapo hana kiwanja na akithubutu kudai hati ibadilishwe hana ndoa pia.
Umeona unavyojikorogaImegongwa mhuri ila pale juu imeandikwa hati
Kivp au siyo hatiUmeona unavyojikoroga
Wewe subiri huyo mwanamke kaweka huo mtego yeye anataka kutegua hajui nyuma yupo mama mkwe anamchora tu Mc PilipiliNi mkataba wa mauziano mkuu sio karatasi tu! Na ina legal effect.
Nakubaliana na wewe mtoa mada anachanganya TITLE DEED na mkataba wa kuuziana unsurveyed land.
Hio Hati ya Mauziano na ina Legal effect na haifutiki sasa wewe kurupuka likukute jamboKivp au siyo hati
Sawa mkuu nimepata muongozo nashukuruHio Hati ya Mauziano na ina Legal effect na haifutiki sasa wewe kurupuka likukute jambo
😀 😀 😀 dahWewe subiri huyo mwanamke kaweka huo mtego yeye anataka kutegua hajui nyuma yupo mama mkwe anamchora tu Mc Pilipili