zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wewe jivuruge huo ni mtego sasa litakapofulumuka ndio utaelewa😀 😀 😀 dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jivuruge huo ni mtego sasa litakapofulumuka ndio utaelewa😀 😀 😀 dah
Kwa jumatatu ijayo utulivu (kupata ushauri) utategemea zaidi matokeo ya Simba na Yanga huko walikoendaSiku za kutoa ushauri ni jtatu na alhamisi mkuu, subiria.....
Bc niliokuwa nao ni mkataba shukran mkuuHuu ni mfano wa hati , hii ni ya kimila.Ulionyeshwa kama hii?? Au mkataba wa manunuzi??
View attachment 3197383
Kwanini wakati anaandika jina kwenye hati hakuuliza wewe kama baba na mume?Lakin hati kanipa kaniambia nikabadilishe
Inachanganya ndyo maana nikaja kuomba ushauriKwanini wakati anaandika jina kwenye hati hakuuliza wewe kama baba na mume?
😂😂😂😂😂😂😂akili yako wewe mimi nimeishindwa😂Siku za kutoa ushauri ni jtatu na alhamisi mkuu, subiria.....
Ulizingua kuanzia hapa.alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja
Mkuu kukiwa na ubishani kwa sheria zetu mwamba hana kitu. Sheria ya ndoa inaruhusu umiliki wa Mali binafsi kwa wanandoa.Inategemea Mkuu, kama hakuna ubishani na ikawa inaweza onekana haiwezi kuwa bla bla, hata ivyo kwakuwa ni wenza bado ni cha kwao wote sema wanapishana % tu
🤣🤣🤣🤣🤣Duh, classmate umekuwa mkatili sana leo 😂😂
Duh kwa makosa yote haya, sidhani kama kuna comeback 😀Kosa la sita
Hapo inatrgemea kama umemwqmbia na ajaleta tabu jadilianeni tuWana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu. Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Kwani mkeo humuamini?Hapo jibu ni moja tu, nenda ukauze kiwanja kisha unaemuuzia akuuzie tena upya ndio utaandika majina yako na majina yake
Yaan hapo huwezi kufuta jina kwenye hati limeshaandikwa mchakato ni kumuuzia mtu kisha yule akuuzie tena upya ndio unabadirisha majina mnaweka majina yenu wote, lakini sababu ni nini haswa mpaka unataka kufanya hivyo kwani mkeo haumwamini?
Alubati Chalamila kwani vipi mkuu?Kwani mkeo humuamini?
Kosa la kwanza.
MkuuAlubati Chalamila kwani vipi mkuu?
Unamuamini mkeo? Kwa asilimia ngapi?Alubati Chalamila kwani vipi mkuu?