Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Ndio mnaweza kabisa.

Kwanza hicho mlichonacho au alichonacho sio HATI bali ni mkataba/makubaliano tu. Nimesema sio hati kupitia hapo uliposema mashahidi, naamini itakuwa ni hivyo.

Sasa chakufanya hapo ni mtaandika makubaliano ya umiliki wa pamoja, sababu umesema mmechanga pamoja hiyo hela.

Sasa hapo tafuta wakili anayejua anachotakiwa kufanya ila wewe chakumwambia ni kuwa mnahitaji awaandikie makubaliano ya kumiliki pamoja, urampa stori yenu kisha yeye atajua namna ya kuyaweka vizuri yaeleweke kisheria.

Kisha hayo makubaliano yatasomwa pamoja na huo mkataba wa mkeo kununua hicho kiwanja.

Muhimu hakikisha mnaweka sahihi.zenu pamoja na dole gumba, ili kuepusha habari za sio mimi nili saini.

Kama upo Arusha tuwasiliane nikusaidie kuyaweka sawa Mkuu.
 
Kiwanja kina hati (title deed)? Au mkataba tu wa mauziano?

P.s kwa vyovyote mkeo ana nia ovu. Yes mnaweza kubadili isomeke majina yenu wote wawili bila tatizo. Isikua yeye (wife) akubali maana hicho kiwanja ni Mali yake 💯
Naona mgogoro unaanzia hapa "isipokua yeye (wife) akubali maana hicho kiwanja ni Mali yake 💯"...
 
Ndio mnaweza kabisa.

Kwanza hicho mlichonacho au alichonacho sio HATI bali ni mkataba/makubaliano tu. Nimesema sio hati kupitia hapo uliposema mashahidi, naamini itakuwa ni hivyo.

Sasa chakufanya hapo ni mtaandika makubaliano ya umiliki wa pamoja, sababu umesema mmechanga pamoja hiyo hela.

Sasa hapo tafuta wakili anayejua anachotakiwa kufanya ila wewe chakumwambia ni kuwa mnahitaji awaandikie makubaliano ya kumiliki pamoja, urampa stori yenu kisha yeye atajua namna ya kuyaweka vizuri yaeleweke kisheria.

Kisha hayo makubaliano yatasomwa pamoja na huo mkataba wa mkeo kununua hicho kiwanja.

Muhimu hakikisha mnaweka sahihi.zenu pamoja na dole gumba, ili kuepusha habari za sio mimi nili saini.

Kama upo Arusha tuwasiliane nikusaidie kuyaweka sawa Mkuu.
Nipo Dar
 
Ndio mnaweza kabisa.

Kwanza hicho mlichonacho au alichonacho sio HATI bali ni mkataba/makubaliano tu. Nimesema sio hati kupitia hapo uliposema mashahidi, naamini itakuwa ni hivyo.

Sasa chakufanya hapo ni mtaandika makubaliano ya umiliki wa pamoja, sababu umesema mmechanga pamoja hiyo hela.

Sasa hapo tafuta wakili anayejua anachotakiwa kufanya ila wewe chakumwambia ni kuwa mnahitaji awaandikie makubaliano ya kumiliki pamoja, urampa stori yenu kisha yeye atajua namna ya kuyaweka vizuri yaeleweke kisheria.

Kisha hayo makubaliano yatasomwa pamoja na huo mkataba wa mkeo kununua hicho kiwanja.

Muhimu hakikisha mnaweka sahihi.zenu pamoja na dole gumba, ili kuepusha habari za sio mimi nili saini.

Kama upo Arusha tuwasiliane nikusaidie kuyaweka sawa Mkuu.
Fuata huu ushauri. Wakili nipo hapa kama kiwanja kipo dar es salaam/ pwani. At reasonable fee.
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu. Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Hiyo ni hati au karatasi ya Serikali za Mtaa?
 
Ndio mnaweza kabisa.

Kwanza hicho mlichonacho au alichonacho sio HATI bali ni mkataba/makubaliano tu. Nimesema sio hati kupitia hapo uliposema mashahidi, naamini itakuwa ni hivyo.

Sasa chakufanya hapo ni mtaandika makubaliano ya umiliki wa pamoja, sababu umesema mmechanga pamoja hiyo hela.

Sasa hapo tafuta wakili anayejua anachotakiwa kufanya ila wewe chakumwambia ni kuwa mnahitaji awaandikie makubaliano ya kumiliki pamoja, urampa stori yenu kisha yeye atajua namna ya kuyaweka vizuri yaeleweke kisheria.

Kisha hayo makubaliano yatasomwa pamoja na huo mkataba wa mkeo kununua hicho kiwanja.

Muhimu hakikisha mnaweka sahihi.zenu pamoja na dole gumba, ili kuepusha habari za sio mimi nili saini.

Kama upo Arusha tuwasiliane nikusaidie kuyaweka sawa Mkuu.
Wewe ni mwanasheria mkuu?
 
Back
Top Bottom