Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Ndio mnaweza kabisa.
Kwanza hicho mlichonacho au alichonacho sio HATI bali ni mkataba/makubaliano tu. Nimesema sio hati kupitia hapo uliposema mashahidi, naamini itakuwa ni hivyo.
Sasa chakufanya hapo ni mtaandika makubaliano ya umiliki wa pamoja, sababu umesema mmechanga pamoja hiyo hela.
Sasa hapo tafuta wakili anayejua anachotakiwa kufanya ila wewe chakumwambia ni kuwa mnahitaji awaandikie makubaliano ya kumiliki pamoja, urampa stori yenu kisha yeye atajua namna ya kuyaweka vizuri yaeleweke kisheria.
Kisha hayo makubaliano yatasomwa pamoja na huo mkataba wa mkeo kununua hicho kiwanja.
Muhimu hakikisha mnaweka sahihi.zenu pamoja na dole gumba, ili kuepusha habari za sio mimi nili saini.
Kama upo Arusha tuwasiliane nikusaidie kuyaweka sawa Mkuu.
Kwanza hicho mlichonacho au alichonacho sio HATI bali ni mkataba/makubaliano tu. Nimesema sio hati kupitia hapo uliposema mashahidi, naamini itakuwa ni hivyo.
Sasa chakufanya hapo ni mtaandika makubaliano ya umiliki wa pamoja, sababu umesema mmechanga pamoja hiyo hela.
Sasa hapo tafuta wakili anayejua anachotakiwa kufanya ila wewe chakumwambia ni kuwa mnahitaji awaandikie makubaliano ya kumiliki pamoja, urampa stori yenu kisha yeye atajua namna ya kuyaweka vizuri yaeleweke kisheria.
Kisha hayo makubaliano yatasomwa pamoja na huo mkataba wa mkeo kununua hicho kiwanja.
Muhimu hakikisha mnaweka sahihi.zenu pamoja na dole gumba, ili kuepusha habari za sio mimi nili saini.
Kama upo Arusha tuwasiliane nikusaidie kuyaweka sawa Mkuu.