Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Naomba ushauri: Hati ya kiwanja ni ya mke wangu pekee au naweza kubadilisha majina?

Kwanza hati ya kiwanja haina mashahidi, sijui hapa unamaanisha mkataba wa mauziano au nini. Pili hati inabadilishwa majina kwa maana ya umiliki kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tatu wewe ni bwege na huhudhurii vikao. Tulishasema don’t trust a woman. Wanawake wengi hutumia wanaume ili kuvushwa kwenye mambo yao. Kwenye hili bado nafasi ipo, nenda nae taratibu mbadili umiliki, tumia sana akili asihisi tofauti, vinginevyo ndio utaharibu kila kitu. All the very best
Nashukuru sana kwa ushauri
 
Kwanza hati ya kiwanja haina mashahidi, sijui hapa unamaanisha mkataba wa mauziano au nini. Pili hati inabadilishwa majina kwa maana ya umiliki kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tatu wewe ni bwege na huhudhurii vikao. Tulishasema don’t trust a woman. Wanawake wengi hutumia wanaume ili kuvushwa kwenye mambo yao. Kwenye hili bado nafasi ipo, nenda nae taratibu mbadili umiliki, tumia sana akili asihisi tofauti, vinginevyo ndio utaharibu kila kitu. All the very best
Nashukuru kwa ushauri nitauzingatia
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Huo ni mkataba wa mauziano. Kwenye hati hakuna mashahidi wa namna hiyo.
Tafuteni hati halisi mtaweza kumiliki wote wawili.
 
Mnaambiwa msiioe watoto wa single mother mnashupaza shingo mtibue uone kitakachotokea hapo!
Kashakuonyesha Dharau angekuwa anakueshimu na kutambua wewe ndiyo kichwa cha familia angekuandika jina lako! Ila yupo na mshauri mama yake utamwambia Nini, endeleeni kuviziana!
 
Kama mna watoto huna haja Hata mkiachana watarithi watoto. Ignore na nunua kingine kiwe na majina yako, maana Hata ukifa atarithi yeye Kisha watoto wenu.
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Ngoja nikuulize uliyoona ni hati ya kiwanja au mkataba wa kununua kiwanja?
Hati ya kiwanja ndio inaandikwa kwa majina ya mr and mrs
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Mkeo anakuzid kipato
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Muaminishe kuwa hauna nia na hicho kiwanja alafu Kaa kimya. Baada ya mda mshawishi akukopeshe kiasi kikubwa cha pesa kisha lala mbele mkuu.

Huyo wife mmezaa naye mtoto??..
 
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Mkeo ni mbinafsi. Kubadili itakuwa ni mchakato, tafuta mwanasheria awaambie cha kufanya.
 
Hapo jibu ni moja tu, nenda ukauze kiwanja kisha unaemuuzia akuuzie tena upya ndio utaandika majina yako na majina yake

Yaan hapo huwezi kufuta jina kwenye hati limeshaandikwa mchakato ni kumuuzia mtu kisha yule akuuzie tena upya ndio unabadirisha majina mnaweka majina yenu wote, lakini sababu ni nini haswa mpaka unataka kufanya hivyo kwani mkeo haumwamini?
Mambo ya mauzo yataihusisha na tra katika capital gain, na kujikuta wanalipa pesa nyingi.
 
Nilivyoelewa ni kuwa mwanzo wifewako na wewe mlichanga then pesa ukampa yeye anunue kiwanja, then akanunua huko aliko akatafuta na hati ila akaona aandike jina lake tu
...
Baadae inaonekana mkakutana ukaona haina jina lako mkajadili akakubali jina lako pia liongezwe
...
Unachotaka kujua/ushauri ni kama inawezekana kuongeza jina ama la!
Jibu: inawezekana kikubwa tu mhusika ambae jina lipo kwenye hati awepo na akubali kusaini (kakubali tayari)
...
Hahaha ila next time wakuu makosa kama haya ni ya kuepuka ukichanga na mtu pesa kununua kitu fatilia nawewe upate umiliki wa hicho kitu
Huyu mleta mada anaonekana ni kijana ambaye alioa mwanamke msomi, mjanja, anayeijua hela na mwenye exposure hili wasaidizane maisha.... Na Sasa hivi ndio anakutana na upande WA pili wa mwanamke WA dizaini hiyo.
 
Huyu mleta mada anaonekana ni kijana ambaye alioa mwanamke msomi, mjanja, anayeijua hela na mwenye exposure hili wasaidizane maisha.... Na Sasa hivi ndio anakutana na upande WA pili wa mwanamke WA dizaini hiyo.
Hapana siyo msomi ni level yangu
 
Usije ukajenga nyumba kwenye icho kiwanja mzee itakuwa imekula kwako
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.

Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
 
Muaminishe kuwa hauna nia na hicho kiwanja alafu Kaa kimya. Baada ya mda mshawishi akukopeshe kiasi kikubwa cha pesa kisha lala mbele mkuu.

Huyo wife mmezaa naye mtoto??..
Yah tuna watoto wawili lkn wakati tunanunua kiwanja tulikua na mtoto mmoja
Usije ukajenga nyumba kwenye icho kiwanja mzee itakuwa imekula kwako
Sawa
 
Back
Top Bottom