Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Tafuta mwanamke wakudumu awe mkeo
 
Kuacha ni rahisi jikane nafsi yako na usimamie misingi yako ya kukataa utumwa huo ,kwanza epuka picha za kushawishi na kupenda kusoma majarida zaidi kuliko kutazama hizo crip za ovyo
 
Hiyo tiyari ni Roho ya shetani ilishakuvaa huwezi kuacha kwa nguvu zako, unahitaji nguvu za Mungu, Ouky naomba nitext wasap 0672363681 nitakusaidia namna ya kuondokana na tatizo hilo na wewe utawafundisha wengine
 
Tafuta mrembo. Acha kuangalia movies zitakozo kuvuta uzifikirie,au acha kabisa kuangalia movie ya Aina yoyote.
 
Hayo ni madawa ya kulevya, once ur in there is no way out my friend!!
 
mzee unataka kukikana chama cha CHAPUTA??
 
Nakushauri,kila unapopata hamu ya kutizama picha za ngono jitie kidole cha mku ndu,huku anajipiza kuwa hutatazama ngono tena
 
Endelea kupiga nyeto mpaka utakapopata mwenza wa kukukata kiu ndio mbadala wa nyeto bila hivyo unatafuta kubaka au kutongoza hata usiotakiwa kuwatongoza.binafsi ni mpiga nyeto mzuri tu maana nilikuja kugundua kwamba nisipopiga nyeto nafanya vitu vya ajabu sana sababu nyege zinanituma kutongoza mpaka ndugu au wanawake ambao niliachana nao na kuapa sirudiani nao kwa faida yangu,napoteza pia pesa nyingi kutafuta malaya nk,nimeamua kuwa mwanachama muaminifu wa CHAPUTA nikibanwa natafuta porn nzuri ya kibongo ya mdada mwenye mitako akiliwa namimi navuta picha nakitupa kimoja akili inakaa sawa nafanya maamuzi sahihi mambo yanaenda.nyege mbaya sana kaka kama hauna njia ya kuitoa mfano ndoa au demu wa karibu.
 
Shukrani sana kwa maandiko matakatifu

Mt 11:28-30​

Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
 
Njia sahihi ya kukufanya uache hiyo nakushauri kisaikolojia.

Kila ukianza kujichua muweke kwenye fikra Mama yako mzazi au dada yako mudi utakata, kila ukitaka kugusa vuta hisia za mama basii hutarudia tena.
Dah! Kwa haya mawazo huyo mdau asipompigia mama yake nyeto sijui [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…