umerogwa wewe
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 417
- 566
aaaaaah usiangalie muonekano wa tax mkuu...Naipenda ila kinachonichanganya jamaa angu mmoja kaniambia imekaa kama tax
Haha haaaa
And IST naiona kama ina mabati malaini sana kuimili ukata wa magu wa kukaa nayo hadi 2025
D4 is not good engine mkuu kwa mtazamo wangu.Nashukuru mleta mada, naomba na mimi nisaidiwe kuhusu Toyota Brevis D4 engine, Je ziko vipi
Sawa, je zina tatizo ganiD4 is not good engine mkuu kwa mtazamo wangu.
Consider vvti engine
Hazipeform vizuri, zinachoka mapema, gari inakuwa less powerfull compare to vvti na it's outdatedSawa, je zina tatizo gani
Unazungumzia kwenda na fashion ya magari kwa Magu ??!!!!Chukua yoyote kwakuwa gari zinatoka fashion mpya kila wakati don't tell me kwamba unataka uzeeke nayo
Haha haaaaa uuuwiiii!!!!! Ahsante mkuuCarina TI roho ya Paka ... Acha kufananisha Carina TI na Vitu vya Kijinga...
Go For Carina ... Mimi nikimuona mwanaume mzima amejipinda ndani ya KiVitz, Ist na vibaby walker vingine Huwa natamani niwe " I WISH I COULD BE TRAFFIC "
[emoji23] [emoji23] [emoji23] 2025 mbali sana herfickUnazungumzia kwenda na fashion ya magari kwa Magu ??!!!!
Hilo neno nimelifanananisha na maneno miezake kama kuita elfu buku, laki sii pesa, kuita mia tano jelo, yameshatolewa kwenye list yetu kitambo.
So nishauri gari ya kutumia hadi 2025!!!!!! Kati ya IST na carina T.I
Haha haaaaaa
T.I sio D4 engine mkuuMbona I.T siyo vvti? Fafanua mkuu sorry lakini kwa faida ya jamaa na mimi
Wat!? Escalade Cadillac [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Jiongeze nikuuzie escalade cadillac ya 2005
Sema i wish I cudu beCarina TI roho ya Paka ... Acha kufananisha Carina TI na Vitu vya Kijinga...
Go For Carina ... Mimi nikimuona mwanaume mzima amejipinda ndani ya KiVitz, Ist na vibaby walker vingine Huwa natamani niwe " I WISH I COULD BE TRAFFIC "
Kuna child safety lockMkuu Raum inaniboa ule mlango wa noah na watoto wakishika shika huwa unazinguaga