Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na siku ukifikwa wote wayajua kuwa fulani kafikwaDude hilo kiboko ya matatizo ukifika watu wanajua fulani kafika.....
swadaktaaaNa siku ukifikwa wote wayajua kuwa fulani kafikwa
You are right!Carina TI roho ya Paka ... Acha kufananisha Carina TI na Vitu vya Kijinga...
Go For Carina ... Mimi nikimuona mwanaume mzima amejipinda ndani ya KiVitz, Ist na vibaby walker vingine Huwa natamani niwe " I WISH I COULD BE TRAFFIC "
I. S. T is more ladish (sorry to say this) you may opt for Carina after all ni more durableMshana jr
I.S.T. na carina T.I. ipi boomba? Naona unazurura zurura tu hapa halafu umekuwa nutro
Ndio maana yule jamaa kagoma kabisa kabisa. [emoji1]chukua lexus hii![]()
Hii gari muonekano wake unapitwa na wakatiKwanini mkuu?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] hhaahhahahNdio maana yule jamaa kagoma kabisa kabisa. [emoji1]
Wamesema wee
Wametukana lakini kavumilia.
Sorry ni maoni binafsi sio kejeli wala dharauLadish
Hah haaaa!!!!
Sawa mkuu
Acha ZAMBIYou are right!
Natamani nimuone lemutuz ndani ya vitz!
Kwa kuangalia magari niliyotaja unaweza jua uwezo wangu kirahisi mkuu. Sidhani kama ni vema nikasema nina sh ngapi ila kwa kuangalia magari niliyotaja unawezapata pichaHii gari muonekano wake unapitwa na wakati
Enz zake ilikuwa Chaser na mark II zile
Sahv nendana na wakati mkuu
Af zinaanza kupotea
Hiyo ndo kuna wa2 wanaziuza mpaka mil2 mitaan, ukiona2 hivi unajua kabisa wakati ushapititwa
Bora utafte gari nyingine nzr asee usikurupuke japo moyo unataka ukurupuke
Kuna gari kali nzri
We una sh ngap ya kununua gar kwanza
Japo ist nayo ni yakidem
Hiyo paragraph ya mwisho ndipo ulipo!Hii gari muonekano wake unapitwa na wakati
Enz zake ilikuwa Chaser na mark II zile
Sahv nendana na wakati mkuu
Af zinaanza kupotea
Hiyo ndo kuna wa2 wanaziuza mpaka mil2 mitaan, ukiona2 hivi unajua kabisa wakati ushapititwa
Bora utafte gari nyingine nzr asee usikurupuke japo moyo unataka ukurupuke
Kuna gari kali nzri
We una sh ngap ya kununua gar kwanza
Japo ist nayo ni yakidem
Chukua TIHapa ndipo palipo nichanganya
I dont know nichukue ipi
Ni kweli kabisaKwa factore hzo chukua carina TI.
Kuna watu nawajua wanazo tangu 2009 mpaka leo na bado zipo kwenye hali nzur. Carina imekaa mda mrefu sokon bila kupitwa na wakat.