Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa.... utakuja kujuta ukifuata huu ushauri...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa.... utakuja kujuta ukifuata huu ushauri...
Kwa nini mkuu, leta darasa kwa faida ya wengiHahahaa.... utakuja kujuta ukifuata huu ushauri...
Hizo gari wengi wanazikimbia kwasababu ulaji wake wa mafuta sio mzuri kaka..Kwa nini mkuu, leta darasa kwa faida ya wengi
Akhsante kwa ufafanuzi mkuu japo maneno mengi ya unywaji wa mafuta unaozungumziwa wa hiki chombo ni tofauti na uhalisia, ila kwa kwa kizazi cha Passo cha kuweka mafuta ya elfu tano lazima waiogope hii chombo[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hizo gari wengi wanazikimbia kwasababu ulaji wake wa mafuta sio mzuri kaka..
Carina T IWakuu nataka kuagiza gari kwakweli haya magari mawili nimeshindwa kuelewa lipi zuri
1. Kwa safari ndefu
2. Kudumu
3. Kutopitwa na wakati...
Carina T.I la mwaka ni zuri zaidiCarina is the best!
Kuna gari moja inadharaurika sana. Ni zaidi ya baby walker, na ina cc ndogo 1300 lakin barabaran wenzake ni VXR V8, Inaitwa RACTISI wish I could be Kamanda Mpinga....
Hivi vi Baby walker Sijui Ist,Porte na Vitz ningevipiga marufuku ni hatari kwa matumizi ya mwanaume lijali.... Na Mara uonekapo ukiwa umebunda ndani ya vigari hivyo utachapwa fimbo hadharani mbele ya wanaume wenzako kwa kutudhalilisha ...
Acha kujiaibisha basi ndugu,still a rookie.Kuna gari moja inadharaurika sana. Ni zaidi ya baby walker, na ina cc ndogo 1300 lakin barabaran wenzake ni VXR V8, Inaitwa RACTIS
Wenzako Tunanunua na kutumia Gari wanazo vutiwa wanawake kwasababu tunataka tukuchapie mkeo na vibinti vyako pamoja na dada zako maana wao wakiona ist wanakupa saruti wewe sijui unanunua hama sijui nini hayana mvuto Kwa wanawake ili wanaume wakusifie hapo kuna mawili utakuwa basha au utakuwa shogaCarina TI roho ya Paka ... Acha kufananisha Carina TI na Vitu vya Kijinga...
Go For Carina ... Mimi nikimuona mwanaume mzima amejipinda ndani ya KiVitz, Ist na vibaby walker vingine Huwa natamani niwe " I WISH I COULD BE TRAFFIC "
Hizo trick aliziweza baba yako kwa mama yako, you are nothing to get my wife.Wenzako Tunanunua na kutumia Gari wanazo vutiwa wanawake kwasababu tunataka tukuchapie mkeo na vibinti vyako pamoja na dada zako maana wao wakiona ist wanakupa saruti wewe sijui unanunua hama sijui nini hayana mvuto Kwa wanawake ili wanaume wakusifie hapo kuna mawili utakuwa basha au utakuwa shoga
Mngekuwa majiniasi mngewaeshimu sana wanaume wenye hivyo vigari mnavyo vidharauHaha haaaaa uuuwiiii!!!!! Ahsante mkuu