Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

Hongera kwa UTHUBUTU... Nadhani mpaka sasa utakua na uzoefu walau wa yule mtu anaetaka kuanza biashara hiyo, naomba ushare kwenye haya:

1: Ulianza kudeal na Uuzaji wa vipuri vya Kampuni zipi za pikipiki?(zitaje kwa majina)

2: Je, Ulianza kuuza spea na oil kwa pamoja hapo mwanzo? Ni spare zipi na/au oil zipi ulianza nazo?(zitaje kwa majina)

3: Chimbo ulilokuaunatoa/unalotoa spea na/au oil? Ni lipi

4: Gharama TRA zimekaaje?
AHSANTE...
Naomba kuwasilisha.
Hiki ndo kipengele lazma ujue spare
 
Mi nilisomaga Uzi wa hii biashara humu humu nikaanza na mtaji wa milioni 6 mwaka 2018.Hii biashara Ni nzuri sn mpk ss imenisaidia nimejenga nyumba 2 mpk ss.Kwa changamoto yyt utakayopata unaweza kuuliza karibu
Kipindi unaanza hii biashara ulikuwa na ufundi wowote
 
Niko Mafinga-Mufindi, napambania kufungua Ofisi,duka lipi Ntapata spare za boxer na TVS?
 
Hello lucy, me ndo nimeanza rasmi hii biashara, mtaji nimeanza na 10m duka ni kigamboni dar es salaam, mzigo nimechukua kariakoo duka linaitwa sayuni lipo cate hotel.. hili duka lauza spea kwa bei nzuri, na kwa mtaji wa m10 kwa duka la spea za pikipiki na bajaji duka linakua linapendeza na unakua na spea zote za muhimu.

Pia dukan kuna kama gereji kwa ajili ya kutengenezea pikipiki(kumbuka hii biashara inabidi uwe na fundi mzuri unamuiba mahala anakua anafanyia ufundi wake dukani kwako.. fundi humlipi analipwa na wanaokuja kutengeneza vyombo vyao na kijiwe kikichangamka fundi anatakiwa akupe kiasi fulan kwakua gereji ni yako.

Nb; fundi wengi wanapenda duka lenye vitu vyote ili kuwe na uhakika wa kazi.

Pia inapendeza ukiweka na compressor ya kujazia upepo ili kazi za panja zifanyike.. mengine ntashare kadiri navo pata uzoefu.
Mkuu naomba mawasiliano yako inbox, natamani nianze biashara hii naomba nijifunze kwako!
 
Kaka habari
Shukran kwa ushauri nimefanikiwa kuanza biashara na mtaji wa 5m ingawa kwa spare huu ni mtaji mdogo sana
Nimejaribu kwa msaada wa fundi kununua vifaa vichache vichache vya muhim sana
Na pia nimefanikiwa kupata fundi mzuri wa pikipiki Mungu ni mwema
Safari ndio inaanza Mungu atusaidie kufika malengo
Nitaleta mrejesho wa biashara so far inaonekana ni biashara nzuri ukipata location nzuri na fundi mzuri wa kuaminika na bodaboda
Shukran
Mkuu unaendeleaje? naomba mawasiliano yako natamani kuingia kwenye biashara hii!
 
Kwa yeyote anayepatikana maeneo ya KAHAMA na anajihusisha na hii biashara naomba kujua yafuatayo kuhusiana na hii biashara:

1. Location ambayo ukiweka biashara hii unaweza kupata walau faida japo kidogo

2. Kiasi Cha chini Cha mtaji ambao mtu anaweza kuanza nacho

3. Maduka ya jumla yanayouza spare za pikipiki Kwa bei nafuu

4. Changamoto zisizokwepeka katika biashara hii

5. Ushauri wowote juu ya hii biashara Kwa maeneo ya KAHAMA

Hakika nimekusudia kuanzisha hii biashara KAHAMA mwaka 2025 .
 
Mi nilisomaga Uzi wa hii biashara humu humu nikaanza na mtaji wa milioni 6 mwaka 2018.Hii biashara Ni nzuri sn mpk ss imenisaidia nimejenga nyumba 2 mpk ss.Kwa changamoto yyt utakayopata unaweza kuuliza karibu
Hongera kaka unapatikana wapi
 
Hello lucy, me ndo nimeanza rasmi hii biashara, mtaji nimeanza na 10m duka ni kigamboni dar es salaam, mzigo nimechukua kariakoo duka linaitwa sayuni lipo cate hotel.. hili duka lauza spea kwa bei nzuri, na kwa mtaji wa m10 kwa duka la spea za pikipiki na bajaji duka linakua linapendeza na unakua na spea zote za muhimu.

Pia dukan kuna kama gereji kwa ajili ya kutengenezea pikipiki(kumbuka hii biashara inabidi uwe na fundi mzuri unamuiba mahala anakua anafanyia ufundi wake dukani kwako.. fundi humlipi analipwa na wanaokuja kutengeneza vyombo vyao na kijiwe kikichangamka fundi anatakiwa akupe kiasi fulan kwakua gereji ni yako.

Nb; fundi wengi wanapenda duka lenye vitu vyote ili kuwe na uhakika wa kazi.

Pia inapendeza ukiweka na compressor ya kujazia upepo ili kazi za panja zifanyike.. mengine ntashare kadiri navo pata uzoefu.
Upo kigamboni sehemu gani mkuuu
 
Back
Top Bottom