Charles piere
Senior Member
- Mar 29, 2012
- 157
- 40
Sorry kwa kuchelewa kujibu, unaweza kama eneo uliopo jirani kuna mafundiKiongozi samahani kwani spare kwa kuanzia huwezi kuanza bila kuweka fundi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry kwa kuchelewa kujibu, unaweza kama eneo uliopo jirani kuna mafundiKiongozi samahani kwani spare kwa kuanzia huwezi kuanza bila kuweka fundi?
Yeah!unaweza kunipata 0678804442mkuu kwema? nahitaji kuonana na wewe chief nawezaje kukupata?
Hiki ndo kipengele lazma ujue spareHongera kwa UTHUBUTU... Nadhani mpaka sasa utakua na uzoefu walau wa yule mtu anaetaka kuanza biashara hiyo, naomba ushare kwenye haya:
1: Ulianza kudeal na Uuzaji wa vipuri vya Kampuni zipi za pikipiki?(zitaje kwa majina)
2: Je, Ulianza kuuza spea na oil kwa pamoja hapo mwanzo? Ni spare zipi na/au oil zipi ulianza nazo?(zitaje kwa majina)
3: Chimbo ulilokuaunatoa/unalotoa spea na/au oil? Ni lipi
4: Gharama TRA zimekaaje?
AHSANTE...
Naomba kuwasilisha.
U tagKuna uzu humu kama huu ulikua na madini ya kutosha
Vipi kuhusu uboraTumia alibaba mkuu unaagiza mzigo unakufikia fresh
Kipindi unaanza hii biashara ulikuwa na ufundi wowoteMi nilisomaga Uzi wa hii biashara humu humu nikaanza na mtaji wa milioni 6 mwaka 2018.Hii biashara Ni nzuri sn mpk ss imenisaidia nimejenga nyumba 2 mpk ss.Kwa changamoto yyt utakayopata unaweza kuuliza karibu
Ulinunua shi ngapi compressorNauza spare zote za pikipiki, compressor na banda vyote kwa jumla nipo kibamba, sababu nimepata kazi mkoani nataka kuondoka bei itakua chini zaidi ya kariakoo.
Mkuu naomba mawasiliano yako inbox, natamani nianze biashara hii naomba nijifunze kwako!Hello lucy, me ndo nimeanza rasmi hii biashara, mtaji nimeanza na 10m duka ni kigamboni dar es salaam, mzigo nimechukua kariakoo duka linaitwa sayuni lipo cate hotel.. hili duka lauza spea kwa bei nzuri, na kwa mtaji wa m10 kwa duka la spea za pikipiki na bajaji duka linakua linapendeza na unakua na spea zote za muhimu.
Pia dukan kuna kama gereji kwa ajili ya kutengenezea pikipiki(kumbuka hii biashara inabidi uwe na fundi mzuri unamuiba mahala anakua anafanyia ufundi wake dukani kwako.. fundi humlipi analipwa na wanaokuja kutengeneza vyombo vyao na kijiwe kikichangamka fundi anatakiwa akupe kiasi fulan kwakua gereji ni yako.
Nb; fundi wengi wanapenda duka lenye vitu vyote ili kuwe na uhakika wa kazi.
Pia inapendeza ukiweka na compressor ya kujazia upepo ili kazi za panja zifanyike.. mengine ntashare kadiri navo pata uzoefu.
Mkuu unaendeleaje? naomba mawasiliano yako natamani kuingia kwenye biashara hii!Kaka habari
Shukran kwa ushauri nimefanikiwa kuanza biashara na mtaji wa 5m ingawa kwa spare huu ni mtaji mdogo sana
Nimejaribu kwa msaada wa fundi kununua vifaa vichache vichache vya muhim sana
Na pia nimefanikiwa kupata fundi mzuri wa pikipiki Mungu ni mwema
Safari ndio inaanza Mungu atusaidie kufika malengo
Nitaleta mrejesho wa biashara so far inaonekana ni biashara nzuri ukipata location nzuri na fundi mzuri wa kuaminika na bodaboda
Shukran
Hongera kaka unapatikana wapiMi nilisomaga Uzi wa hii biashara humu humu nikaanza na mtaji wa milioni 6 mwaka 2018.Hii biashara Ni nzuri sn mpk ss imenisaidia nimejenga nyumba 2 mpk ss.Kwa changamoto yyt utakayopata unaweza kuuliza karibu
Upo kigamboni sehemu gani mkuuuHello lucy, me ndo nimeanza rasmi hii biashara, mtaji nimeanza na 10m duka ni kigamboni dar es salaam, mzigo nimechukua kariakoo duka linaitwa sayuni lipo cate hotel.. hili duka lauza spea kwa bei nzuri, na kwa mtaji wa m10 kwa duka la spea za pikipiki na bajaji duka linakua linapendeza na unakua na spea zote za muhimu.
Pia dukan kuna kama gereji kwa ajili ya kutengenezea pikipiki(kumbuka hii biashara inabidi uwe na fundi mzuri unamuiba mahala anakua anafanyia ufundi wake dukani kwako.. fundi humlipi analipwa na wanaokuja kutengeneza vyombo vyao na kijiwe kikichangamka fundi anatakiwa akupe kiasi fulan kwakua gereji ni yako.
Nb; fundi wengi wanapenda duka lenye vitu vyote ili kuwe na uhakika wa kazi.
Pia inapendeza ukiweka na compressor ya kujazia upepo ili kazi za panja zifanyike.. mengine ntashare kadiri navo pata uzoefu.
Namba zao tafadhari Mkuu.Nachukulia kkoo kwenye maduka ya sinoray,haojue na ht hon lg.Wana maduka yao pale kkoo ht ukitaka namba ntakupa