Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

Naendelea Vyema kaka nilianza mapema February na mtaji wa 5m na maendeleo ni makubwa sana namshukuru Mungu,,,ingawa hapo kati changamoto kubwa nimekumbana nayo ni mafundi tu ila nimejifunza sana na kuadvance
Pia muda huo nimejifunza kukisoma na kuelewa kila spea kwenye pikipiki zote kuanzia boxer,tvs,haoujue,gn za kawaida n.k spea zake, inavyofanya kazi na mahali inapofungwa.

Kiufupi biashara ni nzuri sana ila inahitaji umakini sana na eneo zuri lenye mzunguko wa kutosha faida lazima uione.
mkuu kwema? nahitaji kuonana na wewe chief nawezaje kukupata?
 
Mkuu nahitaji kuanza hii biashara huku Mkoani tunaweza kuonana ukanipa mawili matatu? Nitashukuru
 
Nina mwaka nimeanza biashara hii kiukweli ni nzuri faida unaiona japo changamoto zipo nyingi hasa kwa mafundi na bodaboda wenyewe, huwezi kukaa dukani siku zote so mda unatoka ukimuacha fundi kama sio muaminifu lazima akupige ukija kwa bodaboda ukimkopesha ndo umemfukuza ukimnyima pia ndo umempoteza. Wanaoanza hii biashara inabidi mtafute sehem wanayouza spare kwa bei rahisi kama hilo duka la sayuni alilolisema mchangiaji vifaa vyake ni bei rahisi kiukweli ndio duka langu ninalonunulia spare zangu kwa sasa.
NAOMBA KUULIZA MKUU!!!

HAO SAYUNI WANAUZA SPARE ZA PIKIPIKI AINA ZOTE... AU WAMESPECIALIZE KWA BAADHI YA MAKAMPUNI???

BINAFSI NATAFUTA CHIMBO ZURI KWA SPARES ZA KINGLION, T-BETER, BOXER NA TVS

NAOMBA KUJUA KWA KARIAKOO, DUKA LIPI LINABEI NAFUU???
 
Naendelea Vyema kaka nilianza mapema February na mtaji wa 5m na maendeleo ni makubwa sana namshukuru Mungu,,,ingawa hapo kati changamoto kubwa nimekumbana nayo ni mafundi tu ila nimejifunza sana na kuadvance
Pia muda huo nimejifunza kukisoma na kuelewa kila spea kwenye pikipiki zote kuanzia boxer,tvs,haoujue,gn za kawaida n.k spea zake, inavyofanya kazi na mahali inapofungwa.

Kiufupi biashara ni nzuri sana ila inahitaji umakini sana na eneo zuri lenye mzunguko wa kutosha faida lazima uione.
NAOMBA KUULIZA MKUU!!!

HAO SAYUNI WANAUZA SPARE ZA PIKIPIKI AINA ZOTE... AU WAMESPECIALIZE KWA BAADHI YA MAKAMPUNI???

BINAFSI NATAFUTA CHIMBO ZURI KWA SPARES ZA KINGLION, T-BETER, BOXER NA TVS

NAOMBA KUJUA KWA KARIAKOO, DUKA LIPI LINABEI NAFUU???
 
NIMETARGET KUFUNGUA OFISI HII MBEYA/SONGWE (SPARE ZA PIKIPIKI)

KWA YEYOTE MWENYE UZOEFU/ IDEA YOYOTE
NAOMBA KUJUA MACHIMBO YA KUJUMILIA MZIGO YENYE BEI ZA CHINI KWA HAPA TZ... NA KAMA NI K-KOO, NAOMBA KUYAJUA MADUKA KWA MAJINA

HASA KWA SPARE ZA KINGLION
 
Habari wana jamvi,

Nahitaji msaada na ushauri biashara ya spare za pikipiki.

Kuna uzi huku wa mda mrefu kuhusu hii biashara ila nimeshacoment hakuna majibu...naomben kama kuna anayefanya hii biashara.

Ningependa kujua hasa kwa wauzaji wa vifaa vya kutoka china kwa k.koo walio na bei nzuri( bei ya chini)

Pia wauzaji wa vifaa Og vya boxer na Tvs kutoka india kwa kariakoo wanapatikana wapi?
Ngoja brina_ aje akusaidie
 
Safi sana mkuu na mimi nitakutafuta unipe maarifa zaidi nina mpango wa kufanya hii biashara ingawa lengo langu ni kufikia kuuza vipuri, urembo na matengenezo kwa magari lkn kutokana na mtaji pia na mazingira nimeona nianze kwa pikipik na bajaji nikiwa na weka spare za magari kidogo kidogo maana kwa sasa nimehamia mkoani tabora. Changamoto niliyokuwa nayo ni kupata location nzuri lkn namshkru mungu nimepata eneo ambalo tumelewana na mwenye kiwanja nijenge then niweke biashara yangu alafu tutakatana kwenye kodi . Tathimin ya fundi wangu leo kwa ujenzi wa chumba cha biashara (frame ) pamoja na store yake ambayo itatumika pia kulala mtu kwajili ya ulinzi ni 4.5m inakamilika kila kitu. 🙏🙏🙏 Tuombeane uzima
Safi sana mkuu na mimi nitakutafuta unipe maarifa zaidi nina mpango wa kufanya hii biashara ingawa lengo langu ni kufikia kuuza vipuri, urembo na matengenezo kwa magari lkn kutokana na mtaji pia na mazingira nimeona nianze kwa pikipik na bajaji nikiwa na weka spare za magari kidogo kidogo maana kwa sasa nimehamia mkoani tabora. Changamoto niliyokuwa nayo ni kupata location nzuri lkn namshkru mungu nimepata eneo ambalo tumelewana na mwenye kiwanja nijenge then niweke biashara yangu alafu tutakatana kwenye kodi . Tathimin ya fundi wangu leo kwa ujenzi wa chumba cha biashara (frame ) pamoja na store yake ambayo itatumika pia kulala mtu kwajili ya ulinzi ni 4.5m inakamilika kila kitu. 🙏🙏🙏 Tuombeane uzim

Safi sana mkuu na mimi nitakutafuta unipe maarifa zaidi nina mpango wa kufanya hii biashara ingawa lengo langu ni kufikia kuuza vipuri, urembo na matengenezo kwa magari lkn kutokana na mtaji pia na mazingira nimeona nianze kwa pikipik na bajaji nikiwa na weka spare za magari kidogo kidogo maana kwa sasa nimehamia mkoani tabora. Changamoto niliyokuwa nayo ni kupata location nzuri lkn namshkru mungu nimepata eneo ambalo tumelewana na mwenye kiwanja nijenge then niweke biashara yangu alafu tutakatana kwenye kodi . Tathimin ya fundi wangu leo kwa ujenzi wa chumba cha biashara (frame ) pamoja na store yake ambayo itatumika pia kulala mtu kwajili ya ulinzi ni 4.5m inakamilika kila kitu. 🙏🙏🙏 Tuombeane uzima.
Mrejesho wa jambo langu bado napambana mpaka sasa nimefikia hapa.
IMG_20230726_143022.jpg
IMG_20230728_144836.jpg
 
Nauza spare zote za pikipiki, compressor na banda vyote kwa jumla nipo kibamba, sababu nimepata kazi mkoani nataka kuondoka bei itakua chini zaidi ya kariakoo.
 
Hello lucy, me ndo nimeanza rasmi hii biashara, mtaji nimeanza na 10m duka ni kigamboni dar es salaam, mzigo nimechukua kariakoo duka linaitwa sayuni lipo cate hotel.. hili duka lauza spea kwa bei nzuri, na kwa mtaji wa m10 kwa duka la spea za pikipiki na bajaji duka linakua linapendeza na unakua na spea zote za muhimu.

Pia dukan kuna kama gereji kwa ajili ya kutengenezea pikipiki(kumbuka hii biashara inabidi uwe na fundi mzuri unamuiba mahala anakua anafanyia ufundi wake dukani kwako.. fundi humlipi analipwa na wanaokuja kutengeneza vyombo vyao na kijiwe kikichangamka fundi anatakiwa akupe kiasi fulan kwakua gereji ni yako.

Nb; fundi wengi wanapenda duka lenye vitu vyote ili kuwe na uhakika wa kazi.

Pia inapendeza ukiweka na compressor ya kujazia upepo ili kazi za panja zifanyike.. mengine ntashare kadiri navo pata uzoefu.
Uko na mawasiliano yao ya watsapp hilo duka kuna bidhaa au spea ya pikipiki aina ya bajaji na honda ace nahitaji
 
Hello lucy, me ndo nimeanza rasmi hii biashara, mtaji nimeanza na 10m duka ni kigamboni dar es salaam, mzigo nimechukua kariakoo duka linaitwa sayuni lipo cate hotel.. hili duka lauza spea kwa bei nzuri, na kwa mtaji wa m10 kwa duka la spea za pikipiki na bajaji duka linakua linapendeza na unakua na spea zote za muhimu.

Pia dukan kuna kama gereji kwa ajili ya kutengenezea pikipiki(kumbuka hii biashara inabidi uwe na fundi mzuri unamuiba mahala anakua anafanyia ufundi wake dukani kwako.. fundi humlipi analipwa na wanaokuja kutengeneza vyombo vyao na kijiwe kikichangamka fundi anatakiwa akupe kiasi fulan kwakua gereji ni yako.

Nb; fundi wengi wanapenda duka lenye vitu vyote ili kuwe na uhakika wa kazi.

Pia inapendeza ukiweka na compressor ya kujazia upepo ili kazi za panja zifanyike.. mengine ntashare kadiri navo pata uzoefu.
ASANTE
 
Mi nilisomaga Uzi wa hii biashara humu humu nikaanza na mtaji wa milioni 6 mwaka 2018.Hii biashara Ni nzuri sn mpk ss imenisaidia nimejenga nyumba 2 mpk ss.Kwa changamoto yyt utakayopata unaweza kuuliza karibu
Hongera sana aseeee
 
Back
Top Bottom