Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Piga chini
 
Hapo huyo dereva hiace anasubiri jibu kutoka kwa mkeo,kama utamsamehe,wabadili mbinu au itakuaje.
Kugongewa saa hizi imekua kawaida sana.Pole mkuu.
Mkuu ushatuma maombi ya ajira za ualimu kwanza??
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Hapa unataka tukupe ushauri gani mkuu?

Hebu chagua tu mwenyewe.
 
Sawazisha mkuu muanze sawa, na wewe chepuka halafu mrudiane,kila mtu akijua mwenzake anaweza kuchepuka kama yeye, atakua na adabu kidogo na hio ndoa...seriously best option ni kupeana talaka hapo constantly utakuwa unaumiza hisia zako kila mnaposex kuna mawili utakumbuka; jitihada zako zilizoshindwa za kuenjoy nae sex,na pili kitendo cha yeye kulala na mwanaume mwingine kitajirudia kila mnapotaka ku sex. Kubali tu ndoa yako imeingia mdudu mkuu haya mapicha picha/ mawazo ni unhealthy/toxic.
 
Kama wewe hujawahi kumsaliti usimsamehe ila kama wewe naye unachepuka msamehe maisha yaendelee! Mwenye kosa ni wewe hivyi wanandoa mnawezaje kukaa mbali hivyo na mili yetu inahitaji kila siku! Hapo tunadanganyana! Mimi na mke wangu kukaa tu wiki moja bila kuwa naye naona kama mwaka vile, nyie wenzangu mnawezaje??? Mwezi?? Miezi miwili???? Tusidanganyane! Raha ya ndoa mulale pamoja na kuamka pamoja!! Hayo mengine mnampa shetani nafasi kwenye ndoa zenu! Alafu mnakuja kulalamika hapa! Mwanaume ni mlinzi kwa mkewe na mwanamke ni mlinzi kwa mumewe! Mkikaa mbali kuaminiana tena hakupo
 
Sawazisha mkuu muanze sawa, na wewe chepuka halafu mrudiane,kila mtu akijua mwenzake anaweza kuchepuka kama yeye, atakua na adabu kidogo na hio ndoa...seriously best option ni kupeana talaka hapo constantly utakuwa unaumiza hisia zako kila mnaposex kuna mawili utakumbuka; jitihada zako zilizoshindwa za kuenjoy nae sex,na pili kitendo cha yeye kulala na mwanaume mwingine kitajirudia kila mnapotaka ku sex. Kubali tu ndoa yako imeingia mdudu mkuu haya mapicha picha/ mawazo ni unhealthy/toxic.
Kosa ni la mwanaume
 
Lakini amerudi ameshindwa ku sex na mke wake, hisia nae huyo mwanamke hana nae tena baada ya kuonja mgegedo wa nje, kuna ndoa hapo?????!!!
Ndoa ni agano! Ukiona mwanamke ametoka nje ya ndoa kosa ni la mwanaume! Kabla hajahamia arusha aliwahi kumfania??? Maanake mwanamke amechoka kuvumilia kikubwa ni kumsamehe alafu arudi naye lindi! Hivyi nawezaje kumwacha mke wangu mbali kiasi hicho! Mimi siwezi napenda bila kumbatia mke wangu sipati usingizi! Kosa ni la mwanaume! Amsamehe maisha yaendelee! Yeye mwenyewe yamkini mchepukaji mzuri tu! Wewe utakaa miezi miwili bila kuchepuka wanaume hapana !
 
Ndoa ni agano! Ukiona mwanamke ametoka nje ya ndoa kosa ni la mwanaume! Kabla hajahamia arusha aliwahi kumfania??? Maanake mwanamke amechoka kuvumilia kikubwa ni kumsamehe alafu arudi naye lindi! Hivyi nawezaje kumwacha mke wangu mbali kiasi hicho! Mimi siwezi napenda bila kumbatia mke wangu sipati usingizi! Kosa ni la mwanaume! Amsamehe maisha yaendelee! Yeye mwenyewe yamkini mchepukaji mzuri tu! Wewe utakaa miezi miwili bila kuchepuka wanaume hapana !
Amsamehe kisha kila wanapotaka kusex atumie ky jelly kumlainisha mwanamke sio??? Huo utumwa ni nyie mnauweza wafia ndoa....
 
Amsamehe kisha kila wanapotaka kusex atumie ky jelly kumlainisha mwanamke sio??? Huo utumwa ni nyie mnauweza wafia ndoa....
Sio kweli yamkini siku wanasex alikuwa mood haipo hayo mbona yanatokea mkuu, hawezi kuwa hivyo siku zote! Achana na roho za kishetani za kuvunja ndoa kwa sababu za kijinga
 
Sio kweli yamkini siku wanasex alikuwa mood haipo hayo mbona yanatokea mkuu, hawezi kuwa hivyo siku zote! Achana na roho za kishetani za kuvunja ndoa kwa sababu za kijinga
Sawa, mkeo siku zote mnasex vizuri tu haujawahi kukumbana na hilo tatizo, all of a sudden mkeo hana mood hautaubganisha dots kuwa kwa vile amecheat?
 
Sawa, mkeo siku zote mnasex vizuri tu haujawahi kukumbana na hilo tatizo, all of a suddenly mkeo hana mood hautaubganisha dots kuwa kwa vile amecheat?
Inatokeaga mkuu! Yamkini siku hiyo hayuko vizur huwezi kumlazimisha! Lakini kwa stuation ya huyo kaka yeye ndiye katengeneza tatizo! Huwezi kukaa na mwanamke mbali muda wote huo unategemea nini???? Mwanamke naye ana mwili anahitaji ok akihitaji au akiwa na hisia afanye nini???? Kama tumeamua kuishi kwenye ndoa basi tuache sababu zozote za kututenganisha kiumbali! Maana mwili haujui kama mmeo hayupo au mkeo hayupo! Huku mtandaoni kila sehemu ni mapenzi tu hivyo hisia muda wote zinakuja! Wewe umeoa kaa na mkeo akikusaliti ukiwa naye hiyo ndio kesi sasa sio hii ya kijinga kabisa! Mwanaume mwenyewe kachepuka hata na wanawake 20 kwa muda huo! Hapa anatuchora tu! Mimi ni mwanaume haya nayajua!
 
Na wale wanaoishi pamoja na bado mke/mume anacheat?
Hiyo ni kesi nyingine kabisa mkuu!! Na ina sababu zake! Dont relate kwa sababu hii sinario yake mwanaume ndiye mwenye makosa! " kaeni na wake zenu kwa akili" ameshindwa kuelewa hii kauli na kuitendea kazi! Swali amewahi kumcheat akiwa naye lindi??? Kama hajawahi maanake shida ni mwanaume kumpeleka mke wake arusha akisahau kuwa mke naye anahitaji muda wote! Hivyo ni wajibu wa mwanaume amsamehe mkewe na amchukue warudi lindi hiyo ndio dawa pekee! Asizingizie sijuhi uhamisho kwani angehamishwa watoto ingeshindikanaje kuhamisha watoto?? Mwanaume naye ni mchepukaji sana
 
Kulikuwa na ulazima gani kumpeleka Arusha eti ili watoto wakasome?! Huko Lindi hakuna shule?
Ni mambo ya kijinga kwa kweli! Analaumu nini wanaume tunawaonea sana wake zetu! Nina 100% huyu mwanaume ana wanawake kibao! Kama kweli unampenda mkeo huwezi hata kukaa mbali naye hata wiki moja bila sababu ya msingi! Sasa maana ya mke ni ipi kama unampeleka arusha wewe unabaki lindi???
 
Back
Top Bottom