Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu umeongea pointi sana, sababu iliyomfanya amrudishe lindi ni nini, hapo ndio kosa kubwa alilofanya eti watoto wakasome arusha Ina mana lindi hakuna shule kabsa? mambo mengine wanaume tunataka wenyeweHiyo ni kesi nyingine kabisa mkuu!! Na ina sababu zake! Dont relate kwa sababu hii sinario yake mwanaume ndiye mwenye makosa! " kaeni na wake zenu kwa akili" ameshindwa kuelewa hii kauli na kuitendea kazi! Swali amewahi kumcheat akiwa naye lindi??? Kama hajawahi maanake shida ni mwanaume kumpeleka mke wake arusha akisahau kuwa mke naye anahitaji muda wote! Hivyo ni wajibu wa mwanaume amsamehe mkewe na amchukue warudi lindi hiyo ndio dawa pekee! Asizingizie sijuhi uhamisho kwani angehamishwa watoto ingeshindikanaje kuhamisha watoto?? Mwanaume naye ni mchepukaji sana
Haya mambo hayana formula mkuu. Unaweza kuwa unalala na mke kila siku na anachapwa nayo kila siku mchana wewe unakula makombo usiku. Siku ukijua bidiii yote ya kuhakikisha upo kwa ajili yake akikuhitaji yalikuwa mahangaiko ya bure utajinyonga.Ndoa ni agano! Ukiona mwanamke ametoka nje ya ndoa kosa ni la mwanaume! Kabla hajahamia arusha aliwahi kumfania??? Maanake mwanamke amechoka kuvumilia kikubwa ni kumsamehe alafu arudi naye lindi! Hivyi nawezaje kumwacha mke wangu mbali kiasi hicho! Mimi siwezi napenda bila kumbatia mke wangu sipati usingizi! Kosa ni la mwanaume! Amsamehe maisha yaendelee! Yeye mwenyewe yamkini mchepukaji mzuri tu! Wewe utakaa miezi miwili bila kuchepuka wanaume hapana !
Samahani kwa upande wa elimu umeishia level gani?Walishaimbiwa na Diamond kwamba kugongewa na siri ya ndani hawataki kusikia! Sasa linakuja kutaka ushauri JF litapata majibu gani kama siyo dhihaka tu!
Ni mbinafsi tuu mchepuko anaoWewe huna mchepuko?
Usimwamini mwanamke hata robo, wewe huyo kahaba piga chini pokonya kila ulichompa mwambie aelekee kwao asichukue hata mtoto mmoja, baada ya hapo fanya taratibu za kuivunja hio ndoa narudia tena huyo kahaba ukimsamehe umekula kwako huyo franc umeshtuka sababu kaingia vibaya ila kuna wanaomfumua malinda ambao wewe hauwajuiSasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..
Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Umerogwa? Huyo atatombwa kila kona ya hio nyumba akikaa hapokuendeleza umalaya - sharti moja tu - asifanyie nyumbani hapo
Piga chini hio malaya kahaba isiyo na akiliUsimuache mkeo nduguyangu baki na mkeo kwa manufaa yako na watoto waku,
Kwan umalaya ni nn?Uchafu gani huo
Wewe pia nimeona kuna uzi unalalamika demu wako amekulazimisha kunywa pombe, huna tofauti na mtoa mada, nyie wote ni ma simpWe jamaa uliye anzisha uzi .. kuna jamaa anakutafuta kule jukwaa la mapishi....
Na asikwambie mtu mke wa mtu hua anatoa yaan nyuma na mbeleKesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja
Unalala na mwanamke analiwa nyuma na wanaume wengineKwan umalaya ni nn?
Madam wakupokonye simu walio karibu yako😁😁😁Sasa k yenyewe kavuu amuachie nani
Pole ila Usisahau Watoto katika maamuzi yako! Mtoto hajali baba ni mhuni au mama anaitoa nje. Ustawi wa Watoto ni mama na baba kuwa katika ndoa, hata kama vikojoleo havigusani.Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.
Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.
Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho
Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.
Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.
Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.
Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.
Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja
Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..
Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto
Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..
Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Kama Mimi simli nyuma Kuna shida gani na mwili wakeUnalala na mwanamke analiwa nyuma na wanaume wengine