Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

We jamaa umeyabanyanga mwenyewe kulikuwa na sababu gani iliyokufanya umwambie mkeo akakae arusha eti watoto wasome huko, ilo ndio kosa lako kubwa ulimpa uhuru wewe mwenyewe kwa mikono yako ona sasa katombw*a sebuleni kwako
 
Hiyo ni kesi nyingine kabisa mkuu!! Na ina sababu zake! Dont relate kwa sababu hii sinario yake mwanaume ndiye mwenye makosa! " kaeni na wake zenu kwa akili" ameshindwa kuelewa hii kauli na kuitendea kazi! Swali amewahi kumcheat akiwa naye lindi??? Kama hajawahi maanake shida ni mwanaume kumpeleka mke wake arusha akisahau kuwa mke naye anahitaji muda wote! Hivyo ni wajibu wa mwanaume amsamehe mkewe na amchukue warudi lindi hiyo ndio dawa pekee! Asizingizie sijuhi uhamisho kwani angehamishwa watoto ingeshindikanaje kuhamisha watoto?? Mwanaume naye ni mchepukaji sana
Kabisa mkuu umeongea pointi sana, sababu iliyomfanya amrudishe lindi ni nini, hapo ndio kosa kubwa alilofanya eti watoto wakasome arusha Ina mana lindi hakuna shule kabsa? mambo mengine wanaume tunataka wenyewe
 
Ndoa ni agano! Ukiona mwanamke ametoka nje ya ndoa kosa ni la mwanaume! Kabla hajahamia arusha aliwahi kumfania??? Maanake mwanamke amechoka kuvumilia kikubwa ni kumsamehe alafu arudi naye lindi! Hivyi nawezaje kumwacha mke wangu mbali kiasi hicho! Mimi siwezi napenda bila kumbatia mke wangu sipati usingizi! Kosa ni la mwanaume! Amsamehe maisha yaendelee! Yeye mwenyewe yamkini mchepukaji mzuri tu! Wewe utakaa miezi miwili bila kuchepuka wanaume hapana !
Haya mambo hayana formula mkuu. Unaweza kuwa unalala na mke kila siku na anachapwa nayo kila siku mchana wewe unakula makombo usiku. Siku ukijua bidiii yote ya kuhakikisha upo kwa ajili yake akikuhitaji yalikuwa mahangaiko ya bure utajinyonga.
 
Pole kaka mkubwa, mpishe na umwachie familia......uwe unatoa matunzo, relax fanya mambo yako, enjoy maisha yaliyobaki duniani.
 
Umeonyesha ukomavu sana, hujukurupuka baada ya kuhisi kuna kitu kwa mkeo, ulifanya uchunguzi kwa utulivu na ukajiridhisha kuwa mkeo alikuwa anakusaliti. Ushahidi umeupata Sasa hapo kinacho fuata ni kufanya taratibu za kuachana na kugawana mali mlizo chuma kwa pamoja.
malezi ya watoto yataendelea.
 
Acha mama apigwe paipu, unamuacha 2 months without service, vp wew hunaga service za mara kwa mara huko ulipo ndani ya hizo miezi miwili mkuu?
 
Huyo hana akili, yaani anachepuka kimwili na kihisia kabisa. Huyo kajinajisi kabisa - for the sake ya watoto na msiwasumbue kwa uzinzi wa mama yao - wewe piga kimya - mwambie yuko huru kuishi hapo nyumbani kwenu na yuko huru kuendeleza umalaya - sharti moja tu - asifanyie nyumbani hapo.
Jingine mfanye just kama house girl wa watoto wako - tuma chakula, walee - wakue wakimuona mama yao.
Lkn usikutane naye kwimwili tena - tulua jenga mji wako kwingine upya.
 
Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Usimwamini mwanamke hata robo, wewe huyo kahaba piga chini pokonya kila ulichompa mwambie aelekee kwao asichukue hata mtoto mmoja, baada ya hapo fanya taratibu za kuivunja hio ndoa narudia tena huyo kahaba ukimsamehe umekula kwako huyo franc umeshtuka sababu kaingia vibaya ila kuna wanaomfumua malinda ambao wewe hauwajui
 
Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja
Na asikwambie mtu mke wa mtu hua anatoa yaan nyuma na mbele
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Pole ila Usisahau Watoto katika maamuzi yako! Mtoto hajali baba ni mhuni au mama anaitoa nje. Ustawi wa Watoto ni mama na baba kuwa katika ndoa, hata kama vikojoleo havigusani.

Kama anajutia, msamehe mlee Watoto, kwa makubaliano mapya ingawa hili ni kovu huwa halitibiki hadi unaingia kabirini. Nasema haya maana yalinitokea miaka 10 iliyopita na sikumuacha.

Je, itakuwaje kuwa mke wako si mwaminifu? Kuna Red Flags mbili:-
1. Atakuwa anakutuhumu kila mara kuwa unatembea nje, na
2. Ukitaka kula tundra anakuwa mkavu hata baada ya kumuandaa (hakupendi tena)!

Haya ndiyo maisha na ifike wakati tukubali kuwa K zinagawiwa kama njugu na wenye nazo. Wivu kwa k ambayo huna mwilini mwako ni upumbavu.
 
Back
Top Bottom