Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Haya Mambo hayashauriki ,ila kama huna kamchepuko basi tafuta mchepuko anaejali uendee na life ,ila usimuamin kivile we uwe unaipiga na kujiliwaza tuu.. Mke kashapata hofu kama anayo akili ila katika akili yako mtoe kabisa lakin Usimuache. Kuna kipind huko uzeen utahitaj msaada zaid kutoka kwa mtu mlozoena na mnaehurumiana na Siyo uliyempenda sana
 
Huwa hawashauri haya lakini mm nakushauri achana nae... wengne wanasema eti kwani ww haucheat?aisee..wanaume tunacheat kwa tamaa ila wanawake wanacheat kwa hisia...na akicheat at once,anaweza kurudia na mara nyingine nyingi, references zipo nyingi Sana

Mfano dude lako ww mkeo halimtoshei Yani haliendani na size yake, do you think ukimsamehe utabadilisha hiyo fact?

Pia kama mikito yako alikuwa haielewi au haumkuni kama huyo dereva alivomkuna ko ukimsamehe unadhani hatakuwa na memories za jamaa?

Mwanamke akishacheat mzee na Kwa mara nyingi na Hadi sebuleni kwako,huyo sio mke wako Tena

Relax jipe muda,ni mambo tu utakuja kusahau...then ukiwa na mwanamke usimuamini sana kupitiliza,Hawa viumbe ni hawatabiriki....enjoy mzee kula maisha
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Ukimsamehe msaliti basi kwisha habari yako
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Hahaha
 
Bro nakuelewa unachokipitia kwakua pia ni muhanga... Laiti ungeniahirikisha kabla ya kugundua ningekwambia usimchunguze ili ubaki na nusu amani.

Now nimeachana na mke wangu sababu kama hio but I still have no peace in my life, watoto wananisumbua na wanawake wanasumbua pia (ma wakambo) now natamani ningerusisha siku nyuma nisingumchunguza mke wangu nikagundua uchafu wake maana niliishi nao bila kugundua na sikua na shida hii.

Nakupa pole saana Mungu akufanyie wepesi ukiweza kusamehe na kukubali kwamba mkeo ni malaya tu ka wengine ni tiba uishi nae tuu
Uchafu gani huo
 
Natamani sana wanawake mtoe comnents zenu nizitathimini, lakini wapi!
Ni mwendo wa pole ama emogy za masikitiko.
Kwa nini hamtaki kusema chochote jamani?
Mada hii inawahusu mjue!
Waseme nn wakati wao ndo wanaogawa kama mchele kila kukicha.

hawataki waonekane malaya kwenye kadamnasi hivyo huishia kusema " pole" ila under ground sio poa mkuu tena huyo uliyem quote eeeh '' '' '`' '' '' '' acha nikaushe
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Distance relationship haijawahi kuacha mtu salama hata uwe na rundo la pesa.

Kuanzia sasa hutampenda kama mwanzo, hutakuwa na hisia naye, hutampa maneno mazuri ya mahaba, utaishi kwa wasiwasi, hutamwamini kuanzia sasa mpaka mmoja anatoweka duniani. Kwa sasa mtaishi kama ng'ombe kwa ajili ya uzazi. Hata kama utamsamehe ila hutakuwa umemsamehe. Wanaume tunaongoza kusaliti ila hatusamehi kusalitiwa hata siku moja.

Ushauri wangu mbovu kama unaamua kusamehe basi hakikisha yule mchepuko wako wa porini anayekupenda na anajua una mke unamfanya kuwa mke pia. Usimjulishe kuwa mmekosana na mke. Ajue na kukubali kuwa yeye ni sidekick au mke wa pili. Ila usijali kama mke wako atajua. Ni muhimu hili pigo alipate pia. Kumsamehe kinyonge atakusumbua sana na utakuja kujidhuru huko mbeleni.

Usisahau kufunga biashara mliyoanzisha. Uza kila kitu pesa kazihifadhi UTT wakati ukiendelea kutafakari hatima ya ndoa yenu. Hiyo biashara itampa kiburi kuwa anaweza kuishi peke yake na kuzitumia pesa hizo kumhudumia jamaa wa Hiece.

Sichunguzi simu ya mke wangu kwa faida ya watoto maana najua kuchepuka kupo. Hapa nilipo nina foleni ya wake za watu wa kutosha wakitaka niwasukumie nyama. Wapo ambao jamaa zao wako porini kama wewe na wengine wanaishi nao ndani. Haya mambo hayaihitaji kuchunguzana.
 
mwanamke mSaliti kamwe hapaswi kusamehewa hata hivyo bora angekuwa msaliti halafu hisia zikabaki kwako maana ake tuseme amechepuka kisa upwiru umezidi bahati mbaya hata hisia hazipo kwako na kingine na wewe hisia hutakuwa nazo juu yake ,sasa jipe muda ustoe masmuzi yoyote ukiwa na hasira ila baada ya muda basi utapata nini moyo wako umeamua,japo hata mandela hili jambo lilimshinda
Unaamibiwa hata Mungu baba alipogundua shetani anataka kumsaliti na kumpindua hakumsamehe alipiga chini mazima. Uko sawa mwanamke mzinifu hana nafasi ya kusamehewa hadi mbinguni
 
Back
Top Bottom