Naomba ushauri kuhusu kilimo, nilime matikiti au nyanya?

Naomba ushauri kuhusu kilimo, nilime matikiti au nyanya?

Wanasema ukiona mtu ni masikini, sio masikini wa pesa pekeake ni masikini wa fikra na maalifa.
sorry mkuu. nilikuwa tu naongelea changamoto za kilimo. sometimes hunifanya nisiamini kama kinaweza kunitoa. nimeona wengi kinawaliza japo wachache hutoka.
Ndyo maana nikakuambia wewe ni ********. Hebu tafta kams ujue maana ya upumbavu.

Yani huna uelewa wa mambo yoyote zaidi ya kushinda JF na kutafta likes.

Hujui nini maana hta ya kulima kwa GH. Umeclame kuwa et GH ni zile zenge air controller cjui ventilatio sijui nini?

Dis is africa condition za hpa huwezi zilinganisha na za ulya.


Wee ni masikini wa kila kitu endelea kutafta likes wenzio wanapiga pesa wewe wasema wanatapeliwa.
relax mkuu. nia yangu ni kuzungumzia changamoto za kilimo. ili tusiwe na matumaini hewa kudhani kilimo ni kama kile wazungu wanaita deus ex machina wa umasikini wetu. kilimo kinachangamoto nyingi ila kinaweza kulipa. mi mwenyewe nalima Ushauri wa kanuni bora za kilimo cha Migomba na Soko lake
BTW: kilimo cha kwenye mahema ni utapeli.
 
Kwanza nikupongeze! Kwa wanaoziona opportunities kilimo kwa awamu hii kitakuwa na faida. Tofauti na wafanyabiashara na wafanyakazi, wakulima tumepewa upendeleo.
Narudi kwenye mada; nashauri heka mbili panda nyanya na mbili panda tikiti ili uweze kujipatia faida ikiwa msimu utakaovuna zao moja likiwepo saturated then lingine litakuokoa
Mimi nalima tikiti. Wiki ijayo napanda . Napingana na watu wanaosema eti tikiti linalimwa sana hasa kwa kuzingatia Siko bado ni kubwa. Watanzania tunakaribia mil.50 na wote hayo wakulima tunahitaji kuwalisha. Kwa hiyo usivunjike moyo na mijitu ya humu jamvini itakayokukatisha tamaa

Hiyo avatar yako inaekezea kazi yako

kazi gani?
 
Haaaah haaaah mkuu kilimo kina changamoto sana. Anza na nyanya ..maana tikiti kila mtu analima, so demand ni ndogo kuliko supply kwa kipindi hiki. So km vp subiri kidogo au ulime nyanya. Na mahesabu yake ni tofauti na maelezo ya vitabuni...
Nyanya nazo ziko nyingi sana msimu huu
 
Iko hivi, nimejipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji msimu wa kiangazi. Nina shamba ekari 4. Natarajia kiangazi kikianza nichimbe maji then nifunge pampu. Nitakuwa napandisha maji kwa generator kwenda kwenye simtank alafu namwagilia kwa mipira (drip irrigation). Sasa kuna mambo yananichanganya kiasi.
  • Je, nilime nyanya au tikiti maji.? Nimekuwa nikifuatilia mahitaji ya haya mazao, na kwa eneo langu zao lolote kati ya haya linakubali. Swali langu, nahitaji kulima zao ambalo litakuwa cost effective lakini liwe na uzalishaji mkubwa kwa kila ekari. Naomba wazoefu mnisaidie, Je, kwa ekari moja nikilima nyanya nitapata mkwanja kiasi gani, na nikilima tikiti nitapata kiasi gani. Tupieni na uzoefu wa marketing, ipi ni rahisi kuuzika. Tukadirie kwamba other factors remain costant.
N.B: Sitalima kwenye Green house kwa sasa, nitatumia open system, lakini nitazungushia shamba langu fence kwa ajili ya usalama. Pia kwa sasa nimelima mahindi kwa sababu nilikuwa nasafisha shamba na kutoa visiki. Natanguliza shukrani.
kwa jinsi nyanya na tikiti zilivyoingiza loss mwaka huu nadhani mtoa hii mada utakuwa umepata somo tosha pole sana
 
Na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri na hata elimu uliyonayo.

Hujui hata maana ya kazi.

Wewe ni kati ya wale ambao mnakufa masikini mkidhani kazi ni kuamka saa 12 kukimbia ofisini na kusubir kuwekewa mshahara mwisho wa mwezi. Baada ya kustaf ndiyo mnakimbilia kilimo wakati mmesha kuwa over used.
Tell him
 
Yani 20000 unaona ni hela ndefu sanaaaa? Hebu nitafute nikuoyeshe kijana mkulima analipa wafanyakazi wake 6 iyo 12,000 kwa siku. Yani kwa mwezi ni 360,000. Vijana 6 ni 2,160,000 na bado anawalisha. Anaingiza hadi 30,0000,000 kwa mwezi kwa shamba lenye heka 15 tu.

Sasa hapo mwenye kazi kwa akili yako na nani?
Tell him
 
Ndyo maana nikasema only in Tanzania maana 95% ni wapumba.vu kama wewe.

Yani unazidi kuonyesha upumbavu wako. Kwamba wakulima hwakopesheki?????

Hebu angalia kwenye nch kama kenya ambapo wapumbavu kama wewe wamepungua hadi 40%. Angalia GDP kutokana na Agribsness.

Vijana wanamaliza uko chuo wanachukua mikopo kutumia vyeti vyao wanafanya wonders in agriculture wewe unashinda JF et unalalamikia Moods wamekupunguzia likes????

JF nirudishieni likes zangu.

Hivi watanzania tumelogwa na nani? Yani limtu lizima linasema kilimo sio kazi lenyewe linaona kazi ni kutafta likes JF?????????!!!!!!!@ shiiiiiiiiittyiii
achana naye huyo anakukasirisha bure haelewi kuwa kilimo kinalipa sana tena kilimo ndo uti wa mgongo amefungwa huyo mpaka aje kufunguka atakuwa mzee na hana nguvu mwache aendelee na ujinga wake
 
Ndyo maana nikakuambia wewe ni ********. Hebu tafta kams ujue maana ya upumbavu.

Yani huna uelewa wa mambo yoyote zaidi ya kushinda JF na kutafta likes.

Hujui nini maana hta ya kulima kwa GH. Umeclame kuwa et GH ni zile zenge air controller cjui ventilatio sijui nini?

Dis is africa condition za hpa huwezi zilinganisha na za ulya.


Wee ni masikini wa kila kitu endelea kutafta likes wenzio wanapiga pesa wewe wasema wanatapeliwa.
Tell him
 
Kwanza nikupongeze! Kwa wanaoziona opportunities kilimo kwa awamu hii kitakuwa na faida. Tofauti na wafanyabiashara na wafanyakazi, wakulima tumepewa upendeleo.
Narudi kwenye mada; nashauri heka mbili panda nyanya na mbili panda tikiti ili uweze kujipatia faida ikiwa msimu utakaovuna zao moja likiwepo saturated then lingine litakuokoa
Mimi nalima tikiti. Wiki ijayo napanda . Napingana na watu wanaosema eti tikiti linalimwa sana hasa kwa kuzingatia Siko bado ni kubwa. Watanzania tunakaribia mil.50 na wote hayo wakulima tunahitaji kuwalisha. Kwa hiyo usivunjike moyo na mijitu ya humu jamvini itakayokukatisha tamaa
Tru that
 
achana naye huyo anakukasirisha bure haelewi kuwa kilimo kinalipa sana tena kilimo ndo uti wa mgongo amefungwa huyo mpaka aje kufunguka atakuwa mzee na hana nguvu mwache aendelee na ujinga wake
umeona nyanya zilivyokosa soko hadi wakapewa ng'ombe? umewahi lima lakini?
 
umeona nyanya zilivyokosa soko hadi wakapewa ng'ombe? umewahi lima lakini?
Wale unawaona ni wamekosa utaalamu wakimasoko kwahiyo unakuta suuply nikubwa kuliko demand angalia formula za masoko za green house uone wanavyokula pesa kila kitu kinahitaji mipango kama huna na hukipendi bac lazima utadondoka tu
 
utagundua nchi masikini raia wengi ni wakulima. ingekuwa kazi ya maana ingeshawatoa kwenye umasikini. wauza machungwa na mamalishe wana wastani mkubwA wa pato kuliko wakulima. kijana ukitaka kufa masikini na kuzeeka mapema nenda kalime.

Kuna tofauti kati ya wakulima unaozungumzia...kilimo biashara ndio jamaa anakiongelea na kuomba ushauri hapa ww unamuongelea yule mfanyakazi jamaa atakayemlipa kupanda mbegu shambani!
 
sasa baaaasi!! naona somo limeingia vizur kwa vijana wa sasa.... acheni uvivu nendeni shambani mkalime

including me though!!! bwahahahaha
 
ukikaa mjini ukiwa unatembeza viatu, tshirt, unachoma mihogo na kazi zinngine zisizo Rasmi utapiga pesa ndefu na maisha bora kuliko mkulima. kuna jamaa anatembeza viatu anaingiza faida 20,000 kwa siku. nashauri vijana waende mijini kuhaso. kilimo wawaachie wazee na wazembe. isipokuwa kama wanataka kufa masikini.
think critically ....................
 
kwanza kabisa zile siyo green house ni mahema. green house ni ile unaweza kucontrol joto, unyevu yaani hali ya hewa. kwahiyo kuita mahema greenhouse ni utapeli namba moja na wabongo wanaingia kama walivyoingia DECI. kwanini ulime kwenye hema wakati tuna mamilioni ya ekari yanafaa kwa umwagiliaji? pia greenhouse ulime nyanya ya kumpelekea dalali kariakooo ikashindane na ya kilosa ni ujinga mkubwa.
Unazngua ach dharau....hay maish huwez jua mung amepang nin mbele yko hat hivyo hay maish sio ya kuyaogop ni KUTHUBUTU 2
 
Wanasema ukiona mtu ni masikini, sio masikini wa pesa pekeake ni masikini wa fikra na maalifa.

Mkuu naona unamshambulia huyo jamaa lakini anasema ukweli japo anatumia lugha inayokukera. Asikudanganye mtu kilimo ndani ya nchi hii ni kujitakia umasikini wa wazi. Mimi nimelima na ninalima mpaka sasa lakini jasho ninalovuja na ninachopata ni vitu tofauti. Kama kilimo kinalipa ungekuta maafisa ugani wote ni wakulima, lakini unakuta wao wanafanya shughuli nyingine kabisa na sio kilimo. Jaribu kuangalia hata viongozi wanahimiza watu wakalime hawawahimizi watoto wao kwenda kulima wote wanalazamisha watoto wao wapate ajira katika ofisi za umma. Angalia pia signature yangu hapo chini utajua nini ninsema na mifano ninayo.
 
Wewe unaish kwa ndoto sana...kilimo wanafanya wazee na maskin.....kama unabisha tuambie.ww kilimo kimekusaidia viipiii
Kwa huu mchango wako inaonyesha wewe bado mtoto unanuka maziwa,nenda kwa mama ako ukanyonye
 
Back
Top Bottom