Naomba ushauri kuhusu kufunga mfumo wa gas asili kwenye gari

Naomba ushauri kuhusu kufunga mfumo wa gas asili kwenye gari

Kidenga

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
233
Reaction score
676
Wasalaam Wakuu, Naomba kupata ushauri kuhusu kufunga mfumo wa gesi kwenye gari cc 2000.

Je, kuna changamoto yoyote ya ufanisi wa gari nitakayokutana nayo?

Je, ni kweli kwamba mfumo huu unaokoa gharama?

Ni wapi naweza pata huduma ya kufunga mfumo huu kwa gharama nafuu?

Pia kwa yoyote mwenye uzoefu au anaetumia mfumo huu naomba ushee na sisi hapa kwani kumekuwa na maneno mengi kuhusu mfumo wa gas.

Natanguliza shukrani.
 
Ni kupoteza muda tu. Kufunga huo mdumo ni around mil 2. Halafu utofauti wa utavyotumia gas na mafuta sio mkubwa kivile. Pia hata hii gesi yenyewe huko mbeleni huenda ikaja kupanda pia.
 
Kama una Uber return is within 2 month. Mtungi wa kujaza 17k unatembea zaidi ya 200km..now you do the math gari yako kwa 200km unatumia mafuta ya bei gani?
Dangote kafunga Gas and he is saving massively.
Initial cost ni kubwa which is true bt long run its worth it
 
Km una Uber return is within 2 month.
Mtungi wa kujaza 17k unatembea zaidi ya 200km..now you do the math gari yako kwa 200km unatumia mafuta ya bei gani?
Dangote kafunga Gas and he is saving massively.
Initial cost ni kubwa which is true bt long run its worth it

Mkuu ungedadavua kwa kiswahili tupu ungekua pow zaid

Ahsante [emoji1374]
 
Mkuu ungedadavua kwa kiswahili tupu ungekua pow zaid

Ahsante [emoji1374]
Wacha nitoe kwa mfano.
Uber wangu kwa siku anatia mafuta ya 45k, kwa mwezi ni 1,350,000 or milioni na laki 3 na nusu. Kwa miezi miwili ni 2.7m.
Gas anaweka ya 17k na anatumia siku 2 mpaka 3...means anaongeza gas kila baada ya siku 2 or 3...
Tukifanya kwa uchache kila baada ya siku 2 means anaongeza gas mara 15 kwa mwezi (17k × 15 = 255,000) kwa miezi mwili hii ni 510,000.
Gharama za kuunga ni 1.8m + Gas ya miezi miwili ni 510,000 jumla 2,300,000.

So ukichukua gharama zake za mafuta kwa miezi miwili 2.7 ukatoa gharama ya kufunga Gas na matumizi ya miezi mwili ni 2.3...anabaki na laki 4...hapa ndo nikasema kama ana uber Return of investment ni miezi miwili...kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia 1.3m kwa mafuta anatumia 255,000.
so na wewe unaweza fanya mahesabu kama haya kwa gari yako, ukajua kwa matumizi yako ya mafuta kwa mwezi na pesa yako itarudi kwa muda gani.
 
Wacha nitoe kwa mfano.
Uber wangu kwa siku anatia mafuta ya 45k, kwa mwezi ni 1,350,000 or milioni na laki 3 na nusu. Kwa miezi miwili ni 2.7m.
Gas anaweka ya 17k na anatumia siku 2 mpaka 3...means anaongeza gas kila baada ya siku 2 or 3...
Tukifanya kwa uchache kila baada ya siku 2 means anaongeza gas mara 15 kwa mwezi (17k × 15 = 255,000) kwa miezi mwili hii ni 510,000.
Gharama za kuunga ni 1.8m + Gas ya mwenzi mzima ni 510,000 jumla 2,300,000.

So ukichukua gharama zake za mafuta kwa miezi miwili 2.7 ukatoa gharama ya kufunga Gas na matumizi ya miezi mwili ni 2.3...anabaki na laki 4...hapa ndo nikasema km ana uber Return of investimeni ni miezi miwili...kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia 1.3m kwa mafuta anatumia 255,000.
so na ww unaweza fanya mahesabu km haya kwa gari yako, ukajua kwa matumizi yako ya mafuta kwa mwezi na pesa yako itarudi kwa Muda gani.
Ahsante mkuu
Be blessed!
 
Wacha nitoe kwa mfano.
Uber wangu kwa siku anatia mafuta ya 45k, kwa mwezi ni 1,350,000 or milioni na laki 3 na nusu. Kwa miezi miwili ni 2.7m.
Gas anaweka ya 17k na anatumia siku 2 mpaka 3...means anaongeza gas kila baada ya siku 2 or 3...
Tukifanya kwa uchache kila baada ya siku 2 means anaongeza gas mara 15 kwa mwezi (17k × 15 = 255,000) kwa miezi mwili hii ni 510,000.
Gharama za kuunga ni 1.8m + Gas ya miezi miwili ni 510,000 jumla 2,300,000.

So ukichukua gharama zake za mafuta kwa miezi miwili 2.7 ukatoa gharama ya kufunga Gas na matumizi ya miezi mwili ni 2.3...anabaki na laki 4...hapa ndo nikasema km ana uber Return of investimeni ni miezi miwili...kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia 1.3m kwa mafuta anatumia 255,000.
so na ww unaweza fanya mahesabu km haya kwa gari yako, ukajua kwa matumizi yako ya mafuta kwa mwezi na pesa yako itarudi kwa Muda gani.
Asante kwa mchanganuo mzuri
 
Kuna mtaalam hapa!? Nataka nijue gari ya diesel yenye cc 2200 ambayo wastani wake ni kilomita 13 kwa lita, kwa gesi ya kilo moja inaweza kwenda umbali gani?
 
Wasalaam Wakuu, Naomba kupata ushauri kuhusu kufunga mfumo wa gesi kwenye gari cc 2000.

Je, kuna changamoto yoyote ya ufanisi wa gari nitakayokutana nayo?

Je, ni kweli kwamba mfumo huu unaokoa ghara?

Ni wapi naweza pata huduma ya kufunga mfumo huu kwa gharama nafu?

Pia kwa yoyote mwenye uzoefu au anaetumia mfumo huu naomba ushee na sisi hapa kwani kumekuwa na maneno mengi kuhusu mfumo wa gas.

Natanguliza shukrani.
Mkuu kama haujafunga wewe nenda kafunge tu huu mfumo unaokoa pesa sana tena kama wewe ni mzee wa route nyingi itakusaidia sana 0712432619
 
Back
Top Bottom