Naomba ushauri kuhusu kujiunga na kazi ya jeshi

Naomba ushauri kuhusu kujiunga na kazi ya jeshi

Marchella

New Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1
Reaction score
1
Habari za kazi wapendwa...

Mimi ni binti nna umri wa miaka 24 Elimu yangu nina Degree ya maendeleo ya jamii. Natamani kujiunga na jeshi kwasababu napenda kua mwanajeshi sana

Kabla sijajiunga nna hofu kutokana na story za mitaani kuhusu kazi au mafunzo ya jeshi kuwa magumu wengine wanasema sitaweza wengine wanasema sijui mateso sana. Kwa muonekano mimi ni mnene sana ila sina magonjwa yoyote, afya yangu ni njema kwasababu huwa na desturi ya kucheki afya mara kwa mara.

Naelewa kua kazi ya jeshi sio rahisi lakini najikuta natamani

Naombeni ushauri kwa walio kua katika hiyo sekta au hata kwa sio kua katika hiyo sekta.
 
Sikiliza moyo wako mkuu hope utatoboa and i hope ulipitia jKt kabla ya kwenda chuo utakuwa umejifunza baadhi ya tuvitu vitu twa jeshi.
 
Kama watoto wa Dada zangu wawili wa kike niliowapeleka Depo mmoja Polisi na mwingine TAKUKURU na wote wamemaliza Depo mwaka huu basi naamini na wewe utamaliza tu,watoto walikuwa Mayai hao hatari,yaani mpaka chupi zao nyumbani kwao walikuwa wanafuliwa na Mashine,kuosha vyombo tu shida anaweza kunywa Chai kikombe akakiacha hapohapo kisa Dada wa kazi yupo wa kukisafisha[emoji134]hatari sana
 
Siku hizi diploma, degree hazina faida tena kwa sababu hakuna ajira watu wanakimbilia jeshini


Usiogope kwa wanawake mambo sio magumu kivile huwa wanawabeba tu



Jeshi ni la wanaume
We kweli mlevi mmoja
 
Habari za kazi wapendwa...

Mimi ni binti nna umri wa miaka 24 Elimu yangu nina Degree ya maendeleo ya jamii. Natamani kujiunga na jeshi kwasababu napenda kua mwanajeshi sana

Kabla sijajiunga nna hofu kutokana na story za mitaani kuhusu kazi au mafunzo ya jeshi kuwa magumu wengine wanasema sitaweza wengine wanasema sijui mateso sana. Kwa muonekano mimi ni mnene sana ila sina magonjwa yoyote, afya yangu ni njema kwasababu huwa na desturi ya kucheki afya mara kwa mara.

Naelewa kua kazi ya jeshi sio rahisi lakini najikuta natamani

Naombeni ushauri kwa walio kua katika hiyo sekta au hata kwa sio kua katika hiyo sekta.
jeshi sio gumu ,ngumu connection tu ya kuingia huko

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kila la kheri, ngoja waje kukupa muongozo...
 
Wenzako wanarudi nyumbani baada ya miaka 4..

Ndugu yangu, Jeshi lazima upite JKT kwa kozi yako ya Maendeleo ya Jamii, na kule ni Risk

Maisha ni risk pia
 
Kama watoto wa Dada zangu wawili wa kike niliowapeleka Depo mmoja Polisi na mwingine TAKUKURU na wote wamemaliza Depo mwaka huu basi naamini na wewe utamaliza tu,watoto walikuwa Mayai hao hatari,yaani mpaka chupi zao nyumbani kwao walikuwa wanafuliwa na Mashine,kuosha vyombo tu shida anaweza kunywa Chai kikombe akakiacha hapohapo kisa Dada wa kazi yupo wa kukisafisha[emoji134]hatari sana
Mhaya utamjua tu [emoji2][emoji2][emoji2] lengo lako tujue kwenu Kuna mashine ya kufulia nguo mna house girl kumbe we tapel mmoja
 
Kama watoto wa Dada zangu wawili wa kike niliowapeleka Depo mmoja Polisi na mwingine TAKUKURU na wote wamemaliza Depo mwaka huu basi naamini na wewe utamaliza tu,watoto walikuwa Mayai hao hatari,yaani mpaka chupi zao nyumbani kwao walikuwa wanafuliwa na Mashine,kuosha vyombo tu shida anaweza kunywa Chai kikombe akakiacha hapohapo kisa Dada wa kazi yupo wa kukisafisha[emoji134]hatari sana
Sasa utaje na bei kabisa ya kumpeleka huko depo, sio tena yawe mambo ya kufatana pm
 
Back
Top Bottom