Naomba ushauri kuhusu mwanangu

Naomba ushauri kuhusu mwanangu

Ushajiona unaishi Ulaya eenh?

Hizo fani unazotaka mwanao asomee, ushaona kuna mtu katusua bongo?
 
Bila shaka Wote Mpo salama.

Naomba ushauri wenu, Mwanangu kwa sasa ana miaka mitatu na nusu ila nimeamua nisimpeleke shule hizi za kawaida kusoma Darasa la kwanza Hadi la Saba na kuendelea.

Nimeona ikiwezekana nimpeleke akasomee ufundi moja kwa moja Kwa vitu ambavyo ataweza kuvifanya hata akiwa na umri mdogo.

Mfano naweza kumpeleka chuo cha Urembo, au Music, ama Video and productions au mapishi ama Utangazaji.

Nyie wakuu Mna lipi la kumshauri Je inawezekana? Nini faida na hasara zake.

NB: anajua kusoma na kuandika.
Inasikitisha mtoto bado mdogo na haujui ndoto zake ni nini jamani!!! Jamani!!!!!
 
Back
Top Bottom