Naomba ushauri kuhusu ofa ya mshahara

Tulia kwenye kazi yako ya sasa. Tafuta namba nzuri yakuongeza mapato kwenye hiyo kazi yako. Mshahara wa wahindi bado mdogo achana nao.
 
Hata hiyo 500k ni kidogo sanaa.
Maisha ya huko mjini is still hard than Kibaha.



Wahindi ni watu wa kukaa nao mbali mkuu nakushauri maana naona bado wewe ni mdogo ,
Utaishi kwa tabu sanaa bora wabongo wenzetu.
Shukrani mkuu
 
Mbona hesabu inakubakisha kwa ulipo una laki sita hadi saba...

Ni vipi uende kwenye laki nne, tano hadi sita?, na makato juu🤯🤯🤯🤯!????
 
Shukrani nitazingatia ushauri
 
Yeah mkuu jamaa ni zaidi ya ndugu na tuliunganishwa kariakoo na kampuni fulani ambayo mimi nilikuwa nachukua mafunzo hapo ila bado sikuwa nimepata ajira ndio jamaa alivyokuja akataka kuingia nao mkataba wakamwambia kama huna mtu ambae ayupo trained bac sisi tutakupa mtu wetu mtakubaliana nyinyi wenyewe ndio tukakutana na jamaa tukaanza kufanya kazi pamoja sasa hv ni miez kama 10 na tayari kaniamini mpaka kaniachia pesa za kuzungusha huo mradi nikae nazo mimi yeye nampa report tu jamaa ni sana kwa sasa ni zaid ya ndugu
 
Sawa mkuu nitazingatia hili
 
Duuh inawezekana bro siwez bisha pia
 
Wewe bibi una matatzo sio bure
 
Yani mshahara unashuka, kazi ni kwa Mhindi bado ni Masaki.
Dogo achana na mambo ya wahindi kwanza kazi utaiona Chungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…