Naomba ushauri kuhusu usonji

mkuu usonji ni autism
na hutokana na changamoto wakati wa kujifungua.

nina mtoto ana hilo tatizo.
halina tiba.
haihusiani na ulichoandika hapo.
Ni sababu zipi wakati wa kujifungua zinaweza kupelekea hilo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…