MsLisa
Member
- Nov 20, 2023
- 32
- 101
- Thread starter
- #21
Labda alipata majeraha kwenye ubongo . Akienda kwa madaktari bingwa anaweza kusaidikaDaah kuna dogo sema yeye alikuwa mzima kabisa mpaka miaka 11 baaadae akajaga kupata tatizo anakuwa hawezi kuongea vzuri ila maneno yanatoka, na anakumbuka kila mtu,
Mpaka shule ikabidi astop hili tatizo linaweza kuwa nn mkuu?