Naomba ushauri kutokana na changamoto ninazopitia ofisini ninapofanyia kazi

Naomba ushauri kutokana na changamoto ninazopitia ofisini ninapofanyia kazi

Hao workmate ndio wachawi wanakufanyia fitina.
Kamata mmoja kichochoroni mtie mtaroni, huku harakati za kumtafuta zikiendelea wataachana na wewe
😜😜😜😜
Aanze kwanza kujiuliza yeye tatizo lake ni nini? Kwa nini hapendwi na kila mtu? Binadamu tunapenda kuwaona wengine ndio wenye mapungufu huku tukishindwa kutambua mapungufu tuliyonayo sisi. Na kwa urahisi zaidi tafuta work mate mmoja muulize hivi mimi nina shida gani mbona watu hawanipendi? Ukishajua jirekebishe.

Pia kuna makabila ambayo naturally huwa hayapendwi makazini. Find out unaweza kuwa umetokea kwenye makabila hayo
 
Ingia ofisini fanya majukumu yako, yasiyokuhusu achana nayo

Watu ni mtaji fika wasalimie wajulie hali - kisha endelea na yako

Mtu akihitaji msaada mpe ushirikiano wa 💯 % itawafanya na wao wawe tayari kukusaidia na kuwa karibu
 
Back
Top Bottom