lakini mbona ameonesha bado anaupendo kwa mke wake hilo haujaliona mpaka hata amekataa kumuoa huyo mwanamke.
mmhKwani mkeo anasemaje? Mshirikishe anaweza akakushauri vzr.
Habari zenu wadau wa Jamiiforums.
Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.
Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.
Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae asiolewe.
Mimi niliona sio vema kumkataza asiolewe maana mimi nina mke, lakini huyu mdada tulielewana sana, aliheshimu ndoa yangu sana, alikua mshauri mzuri mpaka kwenye masuala yangu ya kifamilia na kikazi.
Kuna wakati alikua akinishawishi nimuoe awe mke wa pili, lakini sikuwahi kuwaza kuwa na mke zaidi ya mmoja hivyo nilikataa, akasema sio shida anataka tuendelee kuwa wapenzi no matter what.
Sasa baada ya kumshauri akubali kuolewa, kweli jamaa mwezi Januari akaleta barua, kisha taratibu zote zikafuata.
Sasa leo ndio siku wapo wanafunga ndoa, kuna bonge la sherehe, dada zake (shemeji zangu) wamenipigia simu niende, rafiki zake wa karibu wa kazini kwao wamenipigia simu niende lakini moyo umeshindwa kabisa japo zawadi nilinunua nikampa rafiki yake akapeleka.
Wakuu huyu mwanamke ameolewa kwa ruhusa yangu lakini nimepata stress tangu juzi kila ninachofanya hakiendi, kila ninachoshika hakiendi, yaani nahisi kama akili zangu zimesimama kufanya kazi.
Nisadieni namna ya kukabiliana na hali hii ndugu zangu. Naomba msinitukane, msinihukumu wakuu, nisaidieni natokaje kwenye huu msongo wa mawazo.
Hivi wanaume si ndo mnasemaga hamchepuki kwa mapenzi bali mnachepuka kwa tamaa na mapenzi yanabaki kwa mke tu? Sasa wewe huyo mchepuko mbona inaonekana umempenda kabisa hadi unaumia yeye kuolewa? Ndo maana wake zenu hawataki na hawapendi mchepuke
Ila mnajitahidi kutafuta kila sababu ambazo hazina hata vichwa wala miguu za kutetea uzinzi wenu kumbe hamna lolote wote wale wale tu siku hizi hamna cha mwanaume wala mwanamke jinsia zote wapo ambao wakichepuka wanahamisha upendo na wapo ambao wakichepuka hawahamishi upendo tusidanganyane
Muhadithie mkeo akupe ushauriHabari zenu wadau wa Jamiiforums.
Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.
Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.
Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae asiolewe.
Mimi niliona sio vema kumkataza asiolewe maana mimi nina mke, lakini huyu mdada tulielewana sana, aliheshimu ndoa yangu sana, alikua mshauri mzuri mpaka kwenye masuala yangu ya kifamilia na kikazi.
Kuna wakati alikua akinishawishi nimuoe awe mke wa pili, lakini sikuwahi kuwaza kuwa na mke zaidi ya mmoja hivyo nilikataa, akasema sio shida anataka tuendelee kuwa wapenzi no matter what.
Sasa baada ya kumshauri akubali kuolewa, kweli jamaa mwezi Januari akaleta barua, kisha taratibu zote zikafuata.
Sasa leo ndio siku wapo wanafunga ndoa, kuna bonge la sherehe, dada zake (shemeji zangu) wamenipigia simu niende, rafiki zake wa karibu wa kazini kwao wamenipigia simu niende lakini moyo umeshindwa kabisa japo zawadi nilinunua nikampa rafiki yake akapeleka.
Wakuu huyu mwanamke ameolewa kwa ruhusa yangu lakini nimepata stress tangu juzi kila ninachofanya hakiendi, kila ninachoshika hakiendi, yaani nahisi kama akili zangu zimesimama kufanya kazi.
Nisadieni namna ya kukabiliana na hali hii ndugu zangu. Naomba msinitukane, msinihukumu wakuu, nisaidieni natokaje kwenye huu msongo wa mawazo.
Kuna kuchepuka ile mara moja moja (one night stand) hapo hamna feelings za mapenzi ila tamaa, na kuna ule mchepuko wa kudumu, huu kusema ukweli kuna mapemzi flani yapo hapo ndio maana tunahonga n.k ila mke anabaki kuwa mke hamna namna mwanaume atamchagua mchepuko wake badala ya mke ikitokea anatakiwa kifanya maamuzi
Hahahahah anataka tumfariji,kila Leo wanasema michepuko ni kwaajil ya tamaa,ni wa kutumiwa na kusepa,sasa sijui mwanaume huyu yamemsibu yepi ama yeye sio kama hawa wanaume wa jf ambao wanawatumia michepuko,wanapiga na kusepaaa?hahahahUnataka tukuambie nini?
Shost eeh utajipa stress bureee,wengi wanaokoment humu nimegundua ni vitoto vya sekondari na vyuo,wanapass time to, that's y hata kushiriki minakasha humu nimepunguza kwa asilimia 90,nimeona ntajipa kisukari buleee kusoma ama kujadil mada za kisekondari kila leoHivi wanaume si ndo mnasemaga hamchepuki kwa mapenzi bali mnachepuka kwa tamaa na mapenzi yanabaki kwa mke tu? Sasa wewe huyo mchepuko mbona inaonekana umempenda kabisa hadi unaumia yeye kuolewa? Ndo maana wake zenu hawataki na hawapendi mchepuke
Ila mnajitahidi kutafuta kila sababu ambazo hazina hata vichwa wala miguu za kutetea uzinzi wenu kumbe hamna lolote wote wale wale tu siku hizi hamna cha mwanaume wala mwanamke jinsia zote wapo ambao wakichepuka wanahamisha upendo na wapo ambao wakichepuka hawahamishi upendo tusidanganyane
Hapana hawateseki bana,wanawake wengi wenye ndoa wanaishi kwenye paradiso ndogo kama malkia Elizabeth,hawateseki kamwe (kwa mujibu wa waume zao walioko huku jf)Mmmh wanawake walio kwenye ndoa weng wanateseka jmn. Hpo hasira zote utahamishia kwa mke
Hahaha labda kajisahau kajua yuko Facebook. Amesahau kuwa wanaume wote wa Jf hawababaishwi na wanawake hata wakiachwa hawaumii sana sana wanakuwa wamepewa nafasi ya kuvuta chombo kipya, na hata wakitaka mchezo kutoka kwa ma ex wao ni fasta tu hata kama wameolewa. Mkaribishe mgeni JfHahahahah anataka tumfariji,kila Leo wanasema michepuko ni kwaajil ya tamaa,ni wa kutumiwa na kusepa,sasa sijui mwanaume huyu yamemsibu yepi ama yeye sio kama hawa wanaume wa jf ambao wanawatumia michepuko,wanapiga na kusepaaa?hahahah
Ni kweli aisee mimi siku hizi sijisumbui kubishana na mtu kwa facts, kama nitatoa fact basi ni kwa ufupi maana nimegundua kuna watu wapo kwaajili ya kutujaza upepo na mimi kujaa nimegomaShost eeh utajipa stress bureee,wengi wanaokoment humu nimegundua ni vitoto vya sekondari na vyuo,wanapass time to, that's y hata kushiriki minakasha humu nimepunguza kwa asilimia 90,nimeona ntajipa kisukari buleee kusoma ama kujadil mada za kisekondari kila leo
Huyo mwanamke atakuwa kichaaaUsijali
Ataendelea kukupa mchezo kama kawaida