Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Da samahani wapendwa nilishaandikamwendeleza mkubwa tu bahati mbaya sijui umepotelea wapi,

Huyo mdada nimemsamehe bure, hata hivyo namwomba msamaha nilipomkera,

Au tulikuwa pamoja mpaka mwisho, pamoja na kwamba ameshatoa conclusion,
Sihitaji msamaha hii ni forum huru kila mtu ana mtazamo tofauti vile sikuandika ulichotaka ukasema na chuki na blah blah so it was my clarification nothing personal na sihitaji msamaha au kukereka na jinsi mwingine snavofikiri msitake kukuza Ili jambo eboo
 
Duuh..cjaona umuhim wa Kum'attack mzee wa watu
 
Wewe akili zako siyo nzuri,daima nitakwambia ukweli. Either huna malezi mazuri au kaelimu ulichonacho kanakufanya ujione unajua sana
Wewe mwanaume suruali utahangaika Sana na Mimi humu JF kwa I'd tofauti utachoka, hyo akili nzuri sijui elimu blah blah ndilo uliwazalo akilini mwako. Kilichobaki ni kukuweka ignore list, maana sio Uzi huu tu kila nyuzi tofauti unakuja na ushubwada wako tu, sijui una matatizo gani.
 
Naaam
Nipo nyuma yako kwenye hili
 
Naendelea tulipoachia pale, alipopata zile pesa,

Tulipo tulia kidogo, nilimuuliza kwa utaratibu sana kuwa ni biashara gani anataka kufanya?

Hakunijibu kitu, alichagua kukaa kimya,

Baadaye nikawaita watoto na kuwasimulia, kilichosababisha tugombane na mama yao,

Na nini wazo lao, je wanakubaliana na mimi au mama yao,sasa sielwe labda ni umri au mama yao tayari alishawapa matumaini ya biashara yake mpya au italipa sana.

Nikawaambia umuhimu wa kuwa na kiwanja kwanza na biashara ifate baadaye kwa kuwa huo ni mwezi December 2016 na fungu la kwanza ndio hilo tunapigana,

Mwezi wa kwanza au wa pili tunapata fungu la pili, na hapa sio kwetu tena, sisi ni wapangaji, muda ukifika mwenye nyumba anahitaji kwake,

Sikuona jibu lolote la kueleweka.

Baaday kabisa tena nikamuuliza mmama aniambie ni biashara gani anataka kufanya,

Akanijibu anahitaji biashara ya kupeleka nguo mikoani,
Mimi nikamjibu hiyo biashara mimi sitaiafiki,
Na sababu ninazo.

NATUMA HII KWANZA ISIJE IKAPOTEE NA YENYEWE HALAFU NAENDELEA
 
We nawe utulie,tuko wengi tunaomsikiliza mleta mada tunataka kujifunza. Kama haikuvutii angalia mada zingine huko.
 
Duuh..cjaona umuhim wa Kum'attack mzee wa watu
Yeye kaanza sasa chuki zetu wanawake Zina relate nini na uzi.
Acheni unafiki yeye comment yangu kaanza kuingiza wivu na chuki blah blah, sasa uliteke nimwache tu hivi hivi,maana anavoeleza vingi vimefamywa na vijana wadogo.
Soma hyo screen shot ya comment yake
 
Nikwambie kitu, yafanye kuisha sisi ni binadamu hakuna aliyekamilika. Funga mjadala kuhusu hili.
 
Duh
 
We nawe utulie,tuko wengi tunaomsikiliza mleta mada tunataka kujifunza. Kama haikuvutii angalia mada zingine huko.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kunywa maji u relax sijanyima mtu mimi acha kiherehere Basi kah
 
Amesema "Ila tatizo lingine kubwa ni nalo liona nyinyi wanawake mna chuki na husuda kwa wenzenu wenye maisha mazuri, na hayo maneno yenu ndio chanson cha kuwaingiza chaka na kuharibu kabisa maisha yao" ambapo kwa asilimia kubwa ni kweli.

Sababu iliyopelekea bi mdogo akaishia kwa mtoa mada ni baada ya kubeba ujauzito na kuzaa mtoto wa kwanza. Unamshauri bora angemchuna halafu atafute mwanaume mwingine.

Sio kila mtu anaona ni vizuri watoto wake kuwa na baba tofauti tofauti hiyo ni moja.
Mbili, sio kwamba mtoa mada alikuwa hamlei vizuri, mtu kamchukulia kama mke wake halali kamjengea nyumba , watoto wamesoma, watoto wana pata haki zao zote za msingi halafu unamuona huyo mwanamke ni mjinga? Bora angemchuna huyu mwanaume wakaolewe akiwa tayari ana mtoto?

Ni wanawake wangapi wamezaa na wanaume za watu na wametelekezwa wanalea watoto wao wenyewe?

Ni wanawake wangapi wapo kwenye ndoa lakini waume zao hawalei watoto wao kwa mapenzi?

Kwanini huyo Dada afanye unyama wa kumchuna mtoa mada na kukimbia? Una uhakika gani huko ambapo angekimbilia angeenda kupata furaha zaidi ya anayoipata kwa mtoa mada?

Tena na vile angekuwa single mother angeteseka sana na kutamani kurudi kwa mtoa mada. Ushauri ambao ungemshauri huyo bi mdogo ungemwangamiza. Ni ushauri mbaya.
 
Wewe Cariha kweli una shida sehemu flani. Mbona jamaa yupo general sana kwenye hii comment yake. Hii comment yake haijakulenga wewe, alikuwa anaongelea in general attitude ya wanawake.
 
Unajua hapo penye chuki ulikuwa hujamuelewa mleta mada, alikuwa akimaanisha kumwelezea bi mdogo kuwa tamaa alizokuwa akiona kutoka kwa wenzie na maisha mazuri ndo yaliyochangia kumfikisha hapo alipo.

Nadhani hapo ilikuwa ni tafsiri tu ya paragraph.

Ok, tuyaache basi hayo yote, tuendelee na mada.
 
Kumbe hiyo biashara aliyoifikilia, mke wa yule rafiki yangu ndio anaifanya (yule shemeji nilipompatia huyu mke wangu)

Nikamkumbusha namna yule rafiki yangu anavyomtuhumu mke wake kutokuwa mwaminifu huko anapokwenda mikoani,

Na namna hawa dada zetu wanahadaiwa kwa unafuu wa gharama mbalimbali wakiwa huko, kuanzia nauli , malazi na hata chakula,

Na wanajikuta wanaingia mkenge either kwa bahati mbaya au kukusudia

Kipindi fulani huyu rafiki yangu aliwahi kunisimulia jinsi alivyopata taarifa kuwa kuna kamwona maeneo ya ubungo leo, lakini alishaaga anaenda mkoa siku tatu zilizopita, na kila akimpigia simu haipokelewi,

Hayo tutaache, huyo shemeji tumeite mama N,
Na kusema kweli alikuwa ni mke wa pili baada ya jamaa yangu kuachana mke wa kwanza.

Basi baada ya kumsomesha sana, nikakumbuka biashara fulani ambayo niliambia kuna mstaafu fulani anaifanya na haina plesha sana,

Biashara yenyewe kukusanya mpunga halafu baadaye bei ikipanda unaenda kuuza, kusema kweli wakati mwingine bei ikiwa nzuri unaweza uza hata mala mbili yake,

Bahati nzuri huyu mke wangu ana Baba mdogo maeneo hayo ambapo mpunga unalimwa, a yupo njema tu, ana eka zaidi ya 500 na ana godown lake mwenyewe la kuhufadhi mpunga wake na mipunga ya watu kwa malipo,

Bahati mbaya hana maelewano mazuri na kaka yake,

Hilo wazo naona alilifurahia na uzuri pale kwa Baba yake mdogo kuna binti vile vile wa umri wake,
Akaona ndio atakuwa anafikia hapo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…