Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Watu viherehere Kaka,Mwitore wasikuharakishe,hawana ushauri wanataka umalize wakushambulie na,kukucheka.
Shunie
Epsy
Carha
Maya ETC
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]dawa hata ikiwa chungu shurti umeze Ili upone
 
[emoji1666][emoji1666][emoji1666] anataka kuhalalisha mchepuko. Huyo mchepuko alimtega na jamaa akaingia lwenye 18. Wala hakuna mapenzi hapo
 
Acha kumdhihaki mwenye uhitaji wa ushauri,kuna siku utakuwa muhitaji utadhihakiwa na wewe
[emoji1][emoji1]life is too short to be serious that's why pressure zinawaua wallah, mi enjoying my life why should I bother kwa choice ya mtu alochagua na alijua matokeo yake
 
Kwa jinsi elimu nzuri ya sasa ilivyo ghali kama unayapenda mabao yako,ni heri kuwa na watoto wachache maana ukiwa nao wengi utakamuliwa hatari.

Yaani mtoa Uzi atateseka mpaka siku anaondoka duniani.
Usijifariji eti utastafu na utapata 250 mil hili sahau,kumbuka huyu fala wetu ametengeneza utaratibu Mpya,kuanzia 2023 watakaostafu watapewa kidogo kidogo.
Utauza viwanja mpaka basi.

Kuhusu watoto utawalea wao na wajukuu mpaka unaondoka duniani.
Kumbuka ajira zimekuwa ngumu,watazaa na kulelewa hapo hapo hao wajukuu.
Hata uwafungulie biashara,zitakuwa zinakufa tu,maisha ya sasa sio mchezo hasa ukiwa baba ambae atawajari sana watoto na kutaka kuona wanaweza simama wenyewe hapa lazima utatumia nguvu ambayo hata hukuwah itumia hapo kabla.

Kila la kheri mkuu
 
Agiza chochote kwa mangi hapo nakuja kulipa.

Kamwe mchepuko hauwezi kuwa halali kisa tuu mmezaa.

Mimi nimemshauri kama anataka awe official basi ni mpaka mke wake aridhie, tofauti na hapo huo utabaki kuwa mpango wa kando tuu.
 
Hii comment ina lengo gani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…