Kwa vile watoto ni wako hamna,shida,kama walikuomba usiwaache ni sawa kaka.kumbuka,kuzaa sio kupataNiandikie hiyo hiyo, namshurutisha abadili jina lake aweke langu kama baba, anaenda kubadili anaweka la watoto,
Nikavuta muda kutafakari na kujirudhisha
Mkuu usiwe na haraka ya kupost2- january hiyo kwa pesa mabaki ya pesa ya viwanja nanunua matofari na kuanza msingi kwanza, nimemwambia tujenga nyumba ndogo, anakataa kwa nini ndogo wakati bi mkubwa ya kwake kubwa,
Tunaamua kuchukua ramani ya ile tuliyouza, lakini kwa maboresho kidogo
Ndoa hizi😀😀Heri huyo hajui chochote na hamjui bimdogo kama yupo, wengine wanakuletea hukohuko ndani.... mtoto anazaliwa na mnasaidiana kutunza kumbe mtoto wa mume wako mwenyewe😅😅😅
Wale wale, mko stressed mnalipukia watu bure.Ila we fala mwanzo mwisho yaani shida yote hiyo ni mbunye tu,
Na akupe ugonjwa tu ila Mungu amwepushe bi mkubwa.
Yaani an educated man uko hivyo, I hate you.
Mkuu kwa uandishi huu unaharibu stori nzima. Utafanya watu wengi wasiifuatilie tena maana inabore sana. Tulia uandike kisha tumwagie mkeka wa kutosha.3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3
🙆🙆 miaka 50 muda wa kukusanya kodi we ndio una chimba msingi wa nyumba ndogo mzee una majanga2- january hiyo kwa pesa mabaki ya pesa ya viwanja nanunua matofari na kuanza msingi kwanza, nimemwambia tujenga nyumba ndogo, anakataa kwa nini ndogo wakati bi mkubwa ya kwake kubwa,
Tunaamua kuchukua ramani ya ile tuliyouza, lakini kwa maboresho kidogo
Good things happen to good people, jikaze,kaka.3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3
Ila mapenzi yana ujinga sana, mtu umeshaambiwa, umeshaona, umeshajibiwa hovyo, umeshanusurika kupigwa mawe bado upo tuuuMwache ajidai ana juwa kupenda pressure ikipanda apo Leo tu wana mpeleke mloganzira akapigwe oxygen maana watasema hii ni yenyewe ile kitu kumbe kachanganywa tu na kabinti mzee wa zaidi ya miaka 50 anasema kabisa anajuwa kupenda yani muda wa kutafuta usingizi ndio anataka kupenda!!
We mzee tafuta usingizi
So far so good.5- feb mwanzoni tunapata pesa yetu ya mwisho,
Ujenzi unaendlea tena, mpaka kwenye lenta,
Tunasubiri kidogo ikauke,
6- March, tunaenda kununua mbao na fundi anaanza kupiga bati, namshauri tuchimbe na kisima kwa sababu ni makao na jirani yetu mmoja kuna gari inachimba hapo, tunaambiwa ni 2.8 m,
Pesa haitoshi,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Itatakiwa tufungue tred kila mmoja atoe aliyopitia na yaliyowahi kumsibu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16] oyaaa tuletee story hiyo tucheke
Hapo ndo nashindwa kuelewa kwann hataki tukosoe pa kukosoa. Au ndo mkubwa hakosei?[emoji16][emoji16][emoji16] naimani now anakiri kuwa alifanya mistake ndio maana akaja hapa ... So Akubali tu kuwa kupata negative comments katika situation Kama hi nikawaida awe mvumilivu tu
Ahahaaaaaa....! Ni yupi?Hahahah hivi ni wewe kumbe
Ndoa hizi😀😀
Nina aunt yangu mke wa mjomba wangu yule mwanamke ana Moyo Aisee..tena moyo wa kipekee sijapata kuona..yule mumewe anazaa nje na mtoto anapelekewa yeye alee..na si ile bahati mbaya labda mtoto mmoja la hasha..!!..watoto watatu..juzi juzi hapa kataka kuletewa wengine wawili wadogo kaona imetosha kagoma kuwapokea..wanaume Hawa😂😂😂
Samahani lakini mzee pimbi kweli ujuwe asipo ambiwa ukweli atazidi kuwa pimbi miaka 50 ni miaka ya kukusanya kodi yeye ndio ana chimba msingi wa nyumba ndogoIla mapenzi yana ujinga sana, mtu umeshaambiwa, umeshaona, umeshajibiwa hovyo, umeshanusurika kupigwa mawe bado upo tuuu
Condom hawataki [emoji16][emoji16][emoji16]
Tuwe wakweli mamanzi wengi condom hamtaki dadeki zenu ... Uongo Shunie ?
Halafu condom ya Nini wakati P2 zimejaa kibao pharmacy unataka nikose utamu halisi au sio ...acha roho mbaya [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
2- january hiyo kwa pesa mabaki ya pesa ya viwanja nanunua matofari na kuanza msingi kwanza, nimemwambia tujenga nyumba ndogo, anakataa kwa nini ndogo wakati bi mkubwa ya kwake kubwa,
Tunaamua kuchukua ramani ya ile tuliyouza, lakini kwa maboresho kidogo