miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Huo MCHEPUKO tutaupa hadhi ya MZAZI MWENZA pale tuu utakapouacha na kusimama imara. Or else utabaki kuwa MCHEPUKO tu.
Ila jamani uko very innocent kuface haya yote. Yaan you are too nice to under go all these circumstances. Huyu dada alizidisha mahaba ama ni nini jamani... nakushoutia lakini deep inside nakuhurumia sana. Kiukweli mimi hapa shetani wako ni mchepuko. I wish ungekua hata umeomba ushauri from the scratch kwa watu wako wa karibu enzi hizo. I have seen multiple michepuko wakikimbia wanaume walioko nao baada ya waume kuumwa ama kufilisika kisha waume kurudi kwa wake zao na kupokelewa jinsi tulivyo na huruma.
Ila jamani uko very innocent kuface haya yote. Yaan you are too nice to under go all these circumstances. Huyu dada alizidisha mahaba ama ni nini jamani... nakushoutia lakini deep inside nakuhurumia sana. Kiukweli mimi hapa shetani wako ni mchepuko. I wish ungekua hata umeomba ushauri from the scratch kwa watu wako wa karibu enzi hizo. I have seen multiple michepuko wakikimbia wanaume walioko nao baada ya waume kuumwa ama kufilisika kisha waume kurudi kwa wake zao na kupokelewa jinsi tulivyo na huruma.