Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

23- sep ananiambia ile biashara ya kuhifadhi mpunga anaona sio nzuri kwa hiyo anampango wa kufuata mchele Ifakara, yaani aende huko akae wiki moja akikusanya halafu apande gari arudi na mchere anaukuta kwa madalali Tandika,

Hilo wazo sikuliafiki kabisa,
Keshe yake akapanda gari akaenda huko narudi nyumbani sikumkuta mtu na ufunguo kampa jirani nikija anikabidhi,
 
Duu nimetumia saa 3 kufuatilia huu uzi.
Wanaume wenzangu....kama mwanamke hana mapenzi na mimi....watoto na mali kwangu si chochote.
Mwachie nyumba zake urudi kwa mke wwako mkubwa kumalizia uzee.
Hawa mabinti wanaringia kuloga na kugawana.
Anyway umepata cha kusimulia wajukuu
 
14-tupo ndani mwetu, lakini sakafu ni mashimo tupu, vibarua wanajaza udongo,
Na mama anapika nje huko,

15- may naona mama kiburi kimeanza hata simuelewi, mala nyigune hataki hata kuongea na mimi namuona huyu, labda alishaingia ukichaa au kule tulipoondoka alikuwa na watu wake sasa hana ujanja wakuwaona
Kosa pesa ujue tabia ya mchepuko wako
 
Una,umri gani?Una watoto wangap?wana umri/jinsia gani?Tuanzie hapo nijibu.
Siwezi yaweka wazi wala umri wangu sio kigezo chakuto kujuwa plan za kesho!!
Vyote ulivyo uliza havina uhusiano na ushauri!
Dr wa miaka 20 anatibu watu warika zote
 
kuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.

kuna kibinti nilianza nacho mahusiano kilipomaliza form 4
mwanzo nilikua nakala kwa mipira,baadae nkajua mzunguko wake wa hedhi
nikaanza kuwa navizia siku salama,napga mzigo nyama nyama

siku zimeenda sana,kuna muda nilikua nasafir kama miez 6 narudi,nakula mzigo
virafik vyake vingi vikawa vinapata ujauzito,vingne vna watoto hadi wawili,nkamuuliza mbona wew hupat mimba kama wenzio,maana niliamin sio mim tu ninae kula lazima kuna njemba tulkuwa tunashare.
kilnijibu kuwa kina matatizo hivyo hakiwez shika ujauzito(mwanaume nkajisemea kimoyo moyo kuwa haka katanifaa kuwa kamilele kwa matumizi ya kula raha).tena kakanihakkshia kuwa kuna kipind kalkuwa kananidanganya siku zake za hedhi nikawa nakula na siku hatari lakini hakakupata mimba.

kipindi fulan nikawa fresh kpesa,nkaona ili kukafaid zaid nkaona nkapangishie
nikakaweka gheto,nikaanza kula vitu kwa uhuru
kumbe chenyewe kkaona kmeolewa kabsa,kumbe kilikuja na dawa za kienyej za kusaidia kupata ujauzito
mwez mmoja tu,demu ananiambia ana mimba,nawakat anakuja alkuwa yupo kwenye siku zake kavaa na pedi kabisa
mwanaume nikachanganyikiwa,mwisho wa siku nikakubal matokeo,ila nmerudsha azae kwanza baadae nmrudishe aendelee kuwa mpango wa kando

ila kwasasa niko makini mno,hawa watu hawataweza tena nifanya nisiifurahie dunia
obama siyo mjinga kuwa na watoto wawili.
[emoji16][emoji16][emoji16]pole
 
Mimi bwana hata sitaki kukuelewa baba yangu. Nisamehe bure. Sijaitambua imani yako mpaka sasa inayoruhusu wewe kuhalalisha MCHEPUKO kuitwa mke. Kwangu atabaki kuitwa MCHEPUKO tu. Mke gani anafichwa kama gunia la bangi.

Halafu mzee wangu katika calculations zako naona kbs umeshapiga hesabu jinsi mambo yakishabumburuka utakavyoanza tengwa maana unatolea mifano hai ya wanafamilia jinsi wamtelekezwa na familia zao wamebaki mama na watoto zao. Binafsi siwezi kukutenga kabisa hata ungekua umetutengaje.

Nikusifie kabisa katika wababa na wewe ni baba. You seem to be a very nice man, friend and father. Nachosikitika akiguswa MCHEPUKO unafura tu.
Nionacho.. MCHEPUKO WAKO NI FUNGU LA KUKOSA. Na mambo yake anajilinganisha na mke halali. Hakuna mke mdogo hapo. Labda tupunguze makali kwa kusema mzazi mwenzako.

Sijui ndo tuseme uchawi, sijui mahaba ama nini sijui. Sijui ni akili zako timamu uliamua iwe hivi sielewi. Ila ulikosea toka mwanzo. Na angeenda kusema kwa mke mkubwa ndo ingekua ahueni kwako. Ilivyo siri hivi ndo inazidi kuharibu. Ndo unazidi mpa nafasi huyu MCHEPUKO azidi kupata nguvu.

Kwa upeo wangu, huyu mchepuko amekua na wewe since day one kwa tamaa. Ulienda na gari ukiwa na nduguye. Akajuona na akajua una uwezo kumzidi nduguye sijui shemeji. Akaja kwako akajolengesha. Alishapiga mahesabu hapa ndo pa kuponea. Wewe unaamini anakupenda[emoji23][emoji23] this is so FUNNY... nakuhakikishia mnaishi kimazoea tu. Fulia mkose hela ya kula ndo utaelewa. Yaan mchepuko una nguvu hivi?

Halaf unakua mkali ukiulizwa juu ya mke mkubwa unampa muda saa ngapi kwanini. Hapa unaulizwa ili watu wabalance story wajue namna ya kukusaidia. Haijawahi kuwepo balance kwenye mapenz asilani. Hapa usituongopee. Kulipa ada na matumizi si kila kitu. Hapo uko hai. Ukadondoka kama leo watoto ndo wanapeleka vurugu na mchepuko kwa mke juu ya mali. Nasema tutauaanaaa...

Kabla hujamalizaaa... chukua mke.. nenda nae vaccation mwambie una mambo wataka mweleza. Mwambie A to Z. Sisi wanawake tukipenda huwa tunakua waelewa sana tukiambia ukweli. Mweleze kila kitu ili uwe huru. Najisikia huruma sana juu yako hakika maana kuhandle mambo makubwa hivi hapana.

Nilichogundua pia mke wako ana mkono wa baraka sana ndo maana Mungu anamjalia anapata sana. Zaidi nasikitika watoto qa mchepuko kukwambia eti si uende kwako. Kwahiyo wanaelewa kila kitu. Kama wangekua wanakuheshim wasingekua na la kusema asilani juu yako. Mama yao pia anawajaza ujinga.

Naomba ukamweleze MKEO kabla hayajamfikia kupitia watu baki usije jutia.
Nakuombea Amani ya moyo sana mzee wangu. Pole sana. Kuna mambo hukutokea na usijue yametokea aje. Kama ametumia nguvu za giza na alijua una ndoa Mungu adeal naye sawasawa na mapenz yake kwa kuvuruga mji wa mwenzake.

ACHANA NA MCHEPUKO. GHARAMA INAZIDI KUPANDA.
Nimevumilia kutocomment ila nimeshindwa kwa hii comment yako. Wewe una uzoefu hakika. Hakuna mwanamke anayerisk maisha yake asilani. Mwanamke yeyote anaishi na mwanaume kama anajua kuna faida iwe leo au kesho (future). Mawanamke projector (projection) mzuri ingawa anaweza kuwa estimator (estimates) mbaya.

Kwa kutambua wanawake walivyo, nilikataa kuoa binti nikaoa aliyemuita bibi kizee kwa vile tulipishana miaka 20.
 
P2 hazimezwi Kama pipi wewe ni mademu gani hao unawapata hawajijali hata afya zao wanazimeza tu
P2 kutumia zikizidi sana ni mara mbili kwa mwaka inaitwa emergency contraceptive sasa nyie mna njunjana kila siku hizo ni emergency kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]afu wabongo bana
Wewe endelea kwenda kavu siku uje utusimulie hapa tukushauri sawa eeh baba
Nilete kisa changu hapa ili mnishauri thubuuu Bora mninyonge

Watu wenyewe mnamidomo mnaongea Kama kasuku [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
24- sep hiyo hiyo, sasa biashara anafanya juu kwa juu, akitoka kupakia mzigo anapitia huko huko kwenda kwao, Dar harudi,
Nikimpigia simu anakata na matusi juu,
Nikiwapigia ndugu zake anawatukana,
Na hapa kwangu anasema hakanyagi,
Naamua kumfuata huko polini, nilipofika nikampigiasimu tena, akapokea akasema keshaondoka huko, yupo kwao,
Nikamtumia boda boda ampigia simu amwambie kuwa ana mchele anauza,
Naye akamjibu katoka huko labda amuunganishr na mtu, akamwambia tena kwani upo wapi dada, akamtajia kijiji cha jirani
Nikaenda huko huko
 
3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3
[emoji16][emoji16][emoji16]aisee Mzee umepitia mazito Sana
 
Nilete kisa changu hapa ili mnishauri thubuuu Bora mninyonge

Watu wenyewe mnamidomo mnaongea Kama kasuku [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwani unafikilia hatuna majanga yetu tunabaki nayo wenyewe

Eti nije jf niweke thread kutaka ushauri mimi huyu haitatokea hata siku moja
 
Back
Top Bottom