Kosa pesa ujue tabia ya mchepuko wako14-tupo ndani mwetu, lakini sakafu ni mashimo tupu, vibarua wanajaza udongo,
Na mama anapika nje huko,
15- may naona mama kiburi kimeanza hata simuelewi, mala nyigune hataki hata kuongea na mimi namuona huyu, labda alishaingia ukichaa au kule tulipoondoka alikuwa na watu wake sasa hana ujanja wakuwaona
Duu nimetumia saa 3 kufuatilia huu uzi.
Kinacho onekana hapa kaka mkubwa alikuwa anajaribu kuokoa jahazi mkuu
YapKwa hiyo angejitoa kulea angefaidi zaidi?
Naona kwako burudani dada.Kosa pesa ujue tabia ya mchepuko wako
Siwezi yaweka wazi wala umri wangu sio kigezo chakuto kujuwa plan za kesho!!Una,umri gani?Una watoto wangap?wana umri/jinsia gani?Tuanzie hapo nijibu.
[emoji16][emoji16][emoji16]polekuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.
kuna kibinti nilianza nacho mahusiano kilipomaliza form 4
mwanzo nilikua nakala kwa mipira,baadae nkajua mzunguko wake wa hedhi
nikaanza kuwa navizia siku salama,napga mzigo nyama nyama
siku zimeenda sana,kuna muda nilikua nasafir kama miez 6 narudi,nakula mzigo
virafik vyake vingi vikawa vinapata ujauzito,vingne vna watoto hadi wawili,nkamuuliza mbona wew hupat mimba kama wenzio,maana niliamin sio mim tu ninae kula lazima kuna njemba tulkuwa tunashare.
kilnijibu kuwa kina matatizo hivyo hakiwez shika ujauzito(mwanaume nkajisemea kimoyo moyo kuwa haka katanifaa kuwa kamilele kwa matumizi ya kula raha).tena kakanihakkshia kuwa kuna kipind kalkuwa kananidanganya siku zake za hedhi nikawa nakula na siku hatari lakini hakakupata mimba.
kipindi fulan nikawa fresh kpesa,nkaona ili kukafaid zaid nkaona nkapangishie
nikakaweka gheto,nikaanza kula vitu kwa uhuru
kumbe chenyewe kkaona kmeolewa kabsa,kumbe kilikuja na dawa za kienyej za kusaidia kupata ujauzito
mwez mmoja tu,demu ananiambia ana mimba,nawakat anakuja alkuwa yupo kwenye siku zake kavaa na pedi kabisa
mwanaume nikachanganyikiwa,mwisho wa siku nikakubal matokeo,ila nmerudsha azae kwanza baadae nmrudishe aendelee kuwa mpango wa kando
ila kwasasa niko makini mno,hawa watu hawataweza tena nifanya nisiifurahie dunia
obama siyo mjinga kuwa na watoto wawili.
Kwahiyo ulitakiwa niseme nini hapo na umeona mchepuko umebadilika baada ya jamaa yake kutokuwa na pesaNaona kwako burudani dada.
Nimevumilia kutocomment ila nimeshindwa kwa hii comment yako. Wewe una uzoefu hakika. Hakuna mwanamke anayerisk maisha yake asilani. Mwanamke yeyote anaishi na mwanaume kama anajua kuna faida iwe leo au kesho (future). Mawanamke projector (projection) mzuri ingawa anaweza kuwa estimator (estimates) mbaya.Mimi bwana hata sitaki kukuelewa baba yangu. Nisamehe bure. Sijaitambua imani yako mpaka sasa inayoruhusu wewe kuhalalisha MCHEPUKO kuitwa mke. Kwangu atabaki kuitwa MCHEPUKO tu. Mke gani anafichwa kama gunia la bangi.
Halafu mzee wangu katika calculations zako naona kbs umeshapiga hesabu jinsi mambo yakishabumburuka utakavyoanza tengwa maana unatolea mifano hai ya wanafamilia jinsi wamtelekezwa na familia zao wamebaki mama na watoto zao. Binafsi siwezi kukutenga kabisa hata ungekua umetutengaje.
Nikusifie kabisa katika wababa na wewe ni baba. You seem to be a very nice man, friend and father. Nachosikitika akiguswa MCHEPUKO unafura tu.
Nionacho.. MCHEPUKO WAKO NI FUNGU LA KUKOSA. Na mambo yake anajilinganisha na mke halali. Hakuna mke mdogo hapo. Labda tupunguze makali kwa kusema mzazi mwenzako.
Sijui ndo tuseme uchawi, sijui mahaba ama nini sijui. Sijui ni akili zako timamu uliamua iwe hivi sielewi. Ila ulikosea toka mwanzo. Na angeenda kusema kwa mke mkubwa ndo ingekua ahueni kwako. Ilivyo siri hivi ndo inazidi kuharibu. Ndo unazidi mpa nafasi huyu MCHEPUKO azidi kupata nguvu.
Kwa upeo wangu, huyu mchepuko amekua na wewe since day one kwa tamaa. Ulienda na gari ukiwa na nduguye. Akajuona na akajua una uwezo kumzidi nduguye sijui shemeji. Akaja kwako akajolengesha. Alishapiga mahesabu hapa ndo pa kuponea. Wewe unaamini anakupenda[emoji23][emoji23] this is so FUNNY... nakuhakikishia mnaishi kimazoea tu. Fulia mkose hela ya kula ndo utaelewa. Yaan mchepuko una nguvu hivi?
Halaf unakua mkali ukiulizwa juu ya mke mkubwa unampa muda saa ngapi kwanini. Hapa unaulizwa ili watu wabalance story wajue namna ya kukusaidia. Haijawahi kuwepo balance kwenye mapenz asilani. Hapa usituongopee. Kulipa ada na matumizi si kila kitu. Hapo uko hai. Ukadondoka kama leo watoto ndo wanapeleka vurugu na mchepuko kwa mke juu ya mali. Nasema tutauaanaaa...
Kabla hujamalizaaa... chukua mke.. nenda nae vaccation mwambie una mambo wataka mweleza. Mwambie A to Z. Sisi wanawake tukipenda huwa tunakua waelewa sana tukiambia ukweli. Mweleze kila kitu ili uwe huru. Najisikia huruma sana juu yako hakika maana kuhandle mambo makubwa hivi hapana.
Nilichogundua pia mke wako ana mkono wa baraka sana ndo maana Mungu anamjalia anapata sana. Zaidi nasikitika watoto qa mchepuko kukwambia eti si uende kwako. Kwahiyo wanaelewa kila kitu. Kama wangekua wanakuheshim wasingekua na la kusema asilani juu yako. Mama yao pia anawajaza ujinga.
Naomba ukamweleze MKEO kabla hayajamfikia kupitia watu baki usije jutia.
Nakuombea Amani ya moyo sana mzee wangu. Pole sana. Kuna mambo hukutokea na usijue yametokea aje. Kama ametumia nguvu za giza na alijua una ndoa Mungu adeal naye sawasawa na mapenz yake kwa kuvuruga mji wa mwenzake.
ACHANA NA MCHEPUKO. GHARAMA INAZIDI KUPANDA.
Nilete kisa changu hapa ili mnishauri thubuuu Bora mninyongeP2 hazimezwi Kama pipi wewe ni mademu gani hao unawapata hawajijali hata afya zao wanazimeza tu
P2 kutumia zikizidi sana ni mara mbili kwa mwaka inaitwa emergency contraceptive sasa nyie mna njunjana kila siku hizo ni emergency kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]afu wabongo bana
Wewe endelea kwenda kavu siku uje utusimulie hapa tukushauri sawa eeh baba
Unaweza kuwa una miaka 35 mtoto wako wa kwanza ana mwaka mmoja ,je miaka 50 utakuwa unacheza na wajukuu?Siwezi yaweka wazi wala umri wangu sio kigezo chakuto kujuwa plan za kesho!!
Vyote ulivyo uliza havina uhusiano na ushauri!
Dr wa miaka 20 anatibu watu warika zote
Hizi p2 sitaki hata kuzisikia nilimeza siku moja zilivyonitenda nikasema mimi tena nije kutumia p2 labda nizaliwe tena
[emoji16][emoji16][emoji16]aisee Mzee umepitia mazito Sana3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilete kisa changu hapa ili mnishauri thubuuu Bora mninyonge
Watu wenyewe mnamidomo mnaongea Kama kasuku [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wana wa Adam bwanaKilikukuta nini embu tuambie
Yaani huyu Mzee apewe tuzo ya uvumilivu Mimi siwezi [emoji16][emoji16][emoji16]Ila mapenzi yana ujinga sana, mtu umeshaambiwa, umeshaona, umeshajibiwa hovyo, umeshanusurika kupigwa mawe bado upo tuuu
Fanya hivyo haraka tupate Cha kujifunza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Itatakiwa tufungue tred kila mmoja atoe aliyopitia na yaliyowahi kumsibu mkuu