Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyo rafiki yako alikuambia ukweli yaani na elimu yako hiyo uliyonayo pa1 na exposure Kubwa uliyonayo kupitia career yako imekuwaje ukaenda kuchukua mwanamke ambaye Ni low minded kiasi hicho ..yaani fundi cherehani anakuburuza hivyo mtu una exposure kubwa ya maisha na kwa level ya elimu yako na status uliyonayo kikazi unaweza ukang'oa mwanamke yeyote yule unayempenda ...... Sorry I have to say this Mzee wangu umepata nafasi nzuri kikazi na kimaisha lakini kwa muktadha wa hii simulizi unayo tupatia nashawishika kusema kwamba haujawahi kuenjoy maisha yako vile inavyo stahili ... Ulishindwa kuilinda brand ............... " Binafsi siwezi kumpa mwanamke wa hovyo hovyo nafasi ya kutawala maisha yangu hata siku 1 ..... Yaani kwanza siku ambayo atakayo nijibu shit tu ndio siku hiyo hiyo naachana nae hanioni mazima ktk maisha yake' nachukia violence Kama navyo ichukia Corona
 
Bro hii n zaidi ya uvumilivu..
Unadhani Yesu alipoingia Hekaluni na akatembeza "mkono" alikosea? WHY, wewe ujipendekeze kiasi hicho?
Binafsi, naona una tafuta kupewa SUMU !!
 
[emoji1][emoji1][emoji1]huyu babu anakaribia 70 anatuzuga na Sasa kafulia kumfuraisha mchepuko
50yrs mnamuita babu? You guys are not serious hata kidogo. Amefanya makosa kweli, lakini who are we to judge him, kila mtu ana namna yake amekosea sehemu, msiniambie hadi umri mliofikia hakuna sehemu mlibugi, yaani nyie yamewanyookea katika angle zote za maisha, iwe elimu, afya, mahusiano nk.

Let's not be quick to point fingers coz hata sisi kuna mahali tumeanguka kabisa.
 
Bosi mapenzi ukisha zama, hata kufikiria tu kuachana nae miguu inakuishia nguvu, ukiwaza ndo milele raha atampa mtu mwingine basi homa inakuopanda unakosa hata hamu ya chakula
Heri nusu Shari kuliko Shari kamili !
 
Eeenh humu tunakuja tu kusoma ya watu kama hivi na kushauri basi

Yani jf tunakuja kufurahisha nafsi zetu na kupunguza stress zetu jamani
Naam kwa mfano nikiwa na manzi ananisumbua nafungua Uzi Kama huu nasoma comments za wachangiaji najua lazima nitapata majibu ya Nini Cha kufanya halafu nachukua huo ushauri nakwenda kuufanyia kazi katika matatizo yangu ..lakini sio eti Mimi nije nifungue Uzi humu [emoji16][emoji16][emoji16] watu humu mnavyo chamba sisi wengine tuna mioyo midogo nitakufa kwa pressure [emoji16][emoji16][emoji119]
 
Jan mwanzoni wanarudi tena naamua ngoja tu wakae,
32-Jan hiyohiyo wote wanarudi shuleni kwao

33- January nasikia amerudi analadhimisha apewe funguo, akakataliwa mpaka mimi niwaambie kwa mdomo wangu hao majirani zangu akagombagomba hapo mwishoe aondoke
34 - kesho yake mchungaji akaniita na mke wangu kuomba arudi ndani,

35,-baada ya mazungumzo marefu, anatamkia mchumgaji hii nyumba ni yake, mimi nilishachukua fungu langu, yaani ile mil 15
 
Aiseee!
 
Wengi ni toxic,ni single mother's, wanahangaika kuumiza watu coz wanetelekezwa.But l can't imagine a world without such people.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…