Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Nilete kisa changu hapa ili mnishauri thubuuu Bora mninyonge

Watu wenyewe mnamidomo mnaongea Kama kasuku [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimejifunza, ukileta story hapa ili upate ushauri, utakutana na judgements tu. Siku hizi watu hawatoi ushauri mkuu, you'll be judged juu chini mzee. Ni kama vile unawaandikia malaika wasiozini au wasiotenda dhambi yoyote. Mara mtu ana 50yrs ni kibabu, kizee kimeshajishindwa.

Tunachosahau ni kuwa hakuna asiyeteleza, dunia hii nani amenyoosha life lake lisiwe na makandokando.

Tujifunze kupitia changamoto alizopitia ili tusifike huko.
 
Well said indeed .. ila Mzee huyu baba yetu alikuwa na kaujinga fulani (sorry) Ambacho vijana tukiwaga navyo huwa tunaitana mazoba [emoji16][emoji16][emoji16] (kidding)
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]
 
[emoji119][emoji119][emoji108]
 
Yeah hizo ndio sababu zinazo tufanya wengine tutafute alternative nyingine ya kumaliza matatizo yetu bila kuleta thread za kuomba ushauri humu ... maana hizo abuse utakazo zipata humu Ni depression tosha [emoji16]
 
Watanzania watu wa ajabu Sana, JK alipogombea Urais 2005 aliitwa Kijana wakati alikuwa na 55yrs. ..
 
Ila wewe baba ni kiazi kweli kweli!
Imagine unahangaika na mtu hakutaki, anawanaume wengine anawaleta hadi nyumbani, bado unahangaika nae wakati umeacha mkeo nyumbani na watoto? Ukute mkeo ni mrembo mpole na anakupenda sana lkn kutwa kuhangaika na kunguru asiyefugika?

Ningekuwa mimi wala nisingefika huku, the minute ameniacha ameenda kwao ningepiga bei nyumba na viwanja vyote, pesa ningeenda kufungulia watoto akaunti nikarudi kwa mke wangu na wanangu niugulie maumivu!!

Bwana eeh pambana tu na hali yako mzee! Na hapo ukacheki afya kabisa
 
Duuuhh aisee nimetamani nikutukane lakini nafsi imeniambia sio sawa ... Mkuu pole Sana Huyo mwanamke alijua kukuburuza aisee Mioyo Kama hiyo huwa mnaitoa wapi mbona sisi wengine hatuko hivyo [emoji26][emoji26]
Dah, Huo moyo ni toleo la BC (Before Christ) ...Huko ni kukwaruza moyo na kisoda
 
Wanaume wa namna hii,mnachukiza sana, unamruhu mwanamke akutawale hadi pesa nyingi hivo anakaa nazo!
 
Yeah hizo ndio sababu zinazo tufanya wengine tutafute alternative nyingine ya kumaliza matatizo yetu bila kuleta thread za kuomba ushauri humu ... maana hizo abuse utakazo zipata humu Ni depression tosha [emoji16]
Hapana Kaka Mwitore is so strong, hawezi pata depression kutoka hawa low life bunch of imbeciles
 
Well said indeed .. ila Mzee huyu baba yetu alikuwa na kaujinga fulani (sorry) Ambacho vijana tukiwaga navyo huwa tunaitana mazoba [emoji16][emoji16][emoji16]
Naweza kusema alijisahau sana, side chick alichukua hisia zote Ila nakubali kitu kimoja, hakuacha familia nyuma, wengine hapa wametelekeza familia kabisa, watoto wameshindwa kusoma, mama amedevelop sonona lakini huyu kajitahidi pamoja na kuanguka hakusahau watoto, wamesoma na wana maisha yao. Hiyo ni point ya kuichukua, do whatever you do...usiache watoto kama yatima.

Tukumbuke tu kuwa wengi hapa dhambi ya uzinzi inatutafuna, nashangaa tukirusha mawe wakati tunaishi nyumba ya vioo.
 
Well said indeed .. ila Mzee huyu baba yetu alikuwa na kaujinga fulani (sorry) Ambacho vijana tukiwaga navyo huwa tunaitana mazoba [emoji16][emoji16][emoji16] (kidding)
Hapana ni vizazi tofauti. Lakini pia kumbuka amekaa na huyu mama kwa 20 years hivi. Basi tu ni kuwa jamaa alimpenda mwanamke, ila mwanamke kwakuwa siku zote aliona yeye ni nyumba ndogo na hakuwa na heshima hata ya kutambulishwa kwa bi mkubwa, ameamua kuandaa maisha yake. Uwezekano mkubwa kama alivyosema huyu bwana, mwanamke alifundishwa na wanawake wenzie ajitengezee masiah tofauti na haya ya huyu mzee.
 
Kuna watu wakiwa na misiba wakisikia na wewe rafiki yao una msiba wanapata faraja
 
Watanzania watu wa ajabu Sana, JK alipogombea Urais 2005 aliitwa Kijana wakati alikuwa na 55yrs. ..
Tupo irrational sana, 50yrs ni kibabu?, labda kama kwao lishe ni duni ila umri huo kama mtu yupo healthy hawezi kuwa kibabu. Najua wengi wanaongea hivyo ili kumpa psychological torture na hivyo wanajisikia furaha...
 
Kweli kabisa haisaidii chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…