Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Tupo irrational sana, 50yrs ni kibabu?, labda kama kwao lishe ni duni ila umri huo kama mtu yupo healthy hawezi kuwa kibabu. Najua wengi wanaongea hivyo ili kumpa psychological torture na hivyo wanajisikia furaha...

Watoto wa single maza, au nyumba za wake 9 unategemea nini, wamejaa chuki balaa na wazee kama hawa.
 
Iam happy to read this, out of all negativity, mtu anakuja kupata msaada ndiyo anasukumiwa shimoni afe kabisaa
Hawa wenye negativities wana,matatizo ndio maana wanamshambulia,kaka,ila kama baba amefanya kazi yake vizuri,alimo teleza ni mapungufu yetu sote kana,binadamu.kila MTU yake yangeanikwa ingekuwa tunahama dunia.
 
Ukiona mitala haina Amani jua mwanaume maskini huyoo!ishu sip amani au furaha hapa kutambulika km mke rasmi halali na haki zote za msingi apate.Kingine hao wenye ndoa za mmoja na kama hivi watoto michepuko kama yotee na mwingine ana ndoa kanisani na ana mke kimila mpk watatu hapo furaha iko wapi.

Sisemi wenye mitala kua hawachepuki ila wakichepuko ni ukahaba na hulka maana wamehalalishiwa kuoa wanne kabisaa.huko kumchuna si akili pia uwe nayo..huyo alinogewa akazaa na tena akijipa moyo ataolewa mke wa pili.

Hakuna mume wa mke mmoja tukubali tukatae!Ingawa tunajipa moyo kua miye ni mke wa kanisani siachiki lakini wengi wanaishi for the sake of watoto tu!Kinaaafiki mnooo au Mali maana wakiwaza kugawana mtu anaona kuanza moja itakua jau!Au ndo Mme anakukimbia anadaaanga anarudi akizeeka anasubiri kufa kanisa lisimtenge.
 
Huyu kadaganya umri Hadi hayo mapicha picha ni baada ya kiunua mgongo kuisha, by the way I'm not judging that's was my opinion kwanini nyie wanaume mnakuwa wakali kwa ujinga wa huu mwanaume mwenzenu ni vile mna michepuko inawanyima raha so msinimalizie Mimi hasira kwa starehe zenu, tena huyu mzee ajakomeshwa vizuri sioni Cha huruma kwa maamuzi yake na starehe zake.
 
Hahaaaa....mzeee asante kutupa ukweli wadada
 
Umekuja[emoji849]
 
Pole Sana ndugu,ndoa zinachangamoto nyingi,ila huyo mama kazidi .Amekuchezea mchezo mbaya sana ,unamachungu makubwa Sana ya moyo.Pia hao watoto wa kike tunaozaa kipindi hiki,nao ni stress mojawapo yaani hii dunia hiii .Mungu akulinde ndugu na pia akutetee cha msingi jiepushe nae asije akakupa na maradhi Tena
 
Kadanganya unamjua?

Makasiriko ya maisha yako unaleta kwenye uzi wa watu....
 
[emoji1][emoji1] Bado na wewe unajipooza jinsi mchepuko unakutesa sasa Mimi sio single mother so tulia. Tena wajitetea kwa I'd tofauti
Sijawahi kuwa na ld mbili,am not a Coward kama watu wengine.Mchepuko sina hata mmoja,nimeanza likizo Jana nipo nyumbani na wife,nimetulia.Dini yangu inaruhusu kuoa wake zaid ya mmoja,lakini nafsi yangu haijawahi kuwaza kuishi na wake wawili.Moyo hauwezi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…