Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Bwana mitala huwa shida tu vile watetea ume grow hyo environment na dini inakuruhusu, wengine tumekuwa haya mapicha nyumba ndugu twasoma huku mitandaoni tuna Bibi na babu, ba mkubwa na uncle's wanazeeka bila mitala na familia imara na wanazeeka Hadi uzeeni. To me multiple partners ni janga linalonyima watu wengi furaha ingawa watajidai mara mila, sijui Imani sijui blah blah, so mtu KWA hyo issue sioni huruma maana yalikuwa maamuzi dont Make people wakuhurumie kwa uamuzi wako wa maisha
 
Ahsante
 
Jamani mambo na visa ni vingi sana kuliko mnavyo fikiri, naona comment nyingine zinachoma haswa,
Niombe nikate story short, nasubirie tu ushauri wenu,lakini toka huo mwaka 2018,
Alirudi nikamkubiria kukaa ,

Lakini visa nivikubwa zaidi, zaidi sana, mpaka nahisi kama ameheuka,

Nimeshaitisha Vinson’s zaidi ya nane,

Nimeshampiga mpaka jicho likataka kutoka

keshanipeleka polisi

Nimeshampleka ustawi wa jamii,
Ambapo alitaka tugawane nyumba baada ya kuuzwa

Nimeshafungua kesi mahakama ya wilaya

Tumehudhuliamala nane, nikaifuta baada ya kuona, mwenendo wake kama gakutegemea nitaanda mahakamani ili tuachane, ingawa keshanieleza mala kibao tuachane, nilivyofanya kweli akapooza sana

Ameendelea kwenda kwenye huko polini kwa nguvu bila ruhusa yangu zaidi hata mala 20

Ameshatangaza kwa majirani sana kwamba mimi sitaki wageni ingawa ni uongo, mpaka hapa nyumbani napachukia

Baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu, hata mama yangu alishakuja kwake na akalala

Kutokana na visa vyake ndugu zangu hawampendi

Nilishawapeleka watoto nyumbani kwa bibi yao yaani mama yangu wakakaa huko kama wiki moja, na mmoja anasoma huku huko

Kila dalili hawapendi kukaa kule

Majina ya watoto niliyafuta kwa hati nikaweka yangu
 
Andika kama mwazoni aise
 
Ni sahihi unacho kisema Mimi simlaumu Mzee kwa hayo aliyoyafanya kwa sababu Huyo mwanamke tayari alikuwa ameshafika nae mbali na kuwa na familia nae ...nacho mlaumu Ni kuendelea kumng'ang'ania Huyo mama hata pale ambapo Huyo mwanamke alipoanza kuonyesha dalili za kuwa adui wa maisha yake' .. hii Ni mbaya Sana kwa ustawi wa afya yake' na maisha yake' yote kwa ujumla
 
Khaaaaaaaaaa

Ni upendo au Nini?
 
Kwanin wewe kila post unakua mtu wa kupinga tu oppose au negative why kama unaumia acha kusoma lazima? Dingilii yupo njema tu matunzo anatoa ata mungu awez muhukumu labda kwa matendo mengne ya tofauti we vipi ulitaman we ndo uwe mke mdogo uzitwange izo pesa
 
Mbona hujaja na I'd yako wanaume huu Uzi umewa touch you have to learn bila hvo uzeeni mtakufa siku si zenu,mna invest kwa michepuko mara wake mnajisahau nguvu zikiwaisha na mkifulia ndo janga
Hii yangu mbona, mi huwa mara nying msomaji hivo najua timbwili lako, hivo jiskie huru bibie!! Jiskie upo sebleni chumbani[emoji28]
 
SIO MKE WAKO MKUU

NA NI KWELI KWA HAYA MATUKIO SIJUI HATA NGUVU YA KUMUITA MKE UNAIPATA WAPI!!!??

KUZAA HATA PANYA WANAZAA (MNISAMEHE WANAWAKE WENZANGU)
 
Nimeipenda hii episode
 
Na hiyo ndiyo Raha ya uislamu..

Viongozi wa kikristo wakosee siku Mona waseme mwanaume wa kikristo aoe mke zaidi ya mmoja utaona vurugu lake [emoji23][emoji23]
Mama weweeee....mjini hapatakalikaa utashangaa mke mkubwa analetewa wake wanne na watoto wawili kila mmoja yaani![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16]!!!Wanaume wa kikristoo wana watoto njee!na wanachepukaa haswaaa na wanaoa siku Hizi wake wawili wawili mpk watatu!hyo sheria wanatamaani iondolewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIO MKE WAKO MKUU

NA NI KWELI KWA HAYA MATUKIO SIJUI HATA NGUVU YA KUMUITA MKE UNAIPATA WAPI!!!??

KUZAA HATA PANYA WANAZAA (MNISAMEHE WANAWAKE WENZANGU)
Mkiw kuna Mali sehemu huwa mnasema sheria ukiishi na MTU miezi 3 mfululizo ni mkeo,huyu kaishi naye yangu yuko 22 hadi sawa yupo 42 ni nani?
 
Ona sasa mmemvuruga mheshimiwa imepelekea mtiririko mbaya mwishoni na story imekatwa dah!!.
 
Achana na huyo mwanamke na elekeza mapenz kwa bi mkubwa ili upate mtu wa kukusitiri uzeeni..

Umri ulio nao sio wa kukimbizana na mapenzi..

Kwa kweli mzee pole sana ila jitaid kurud kwa bi mkubwa muombe msamaha mmalize uzee wenu salama..
 
Mwanamke hajitambui hata Kama alikuwa anajiona kuwa yeye Ni nyumba ndogo but the way huyu baba alivyojitoa kwake alipaswa kumshukuru umejengewa nyumba .umepewa mtaji wa biashara Mara kibao .. amemsaidia kunyanyuka hata pale alipokuwa anafeli still alikuwa nae pa1 ... Amemkuta na maisha magumu anaishi ktk Hali ambayo Ni low class kabisa akamuheshimisha ...

The way alivyokuwa amemuweka vizuri ktk position ya kimaisha Huyo mama alikuwa anaishi ktk nafuu kubwa ya maisha kuliko wanawake wengi wa kitanzania Kuna Wanawake wengi wakitanzania wameolewa lakini Wana maisha magumu yaliyokosa sinto fahamu lakini Huyo dada ijapokuwa hakuwa na ndoa but alibahatika kuishi ktik maisha yenye nafuu kubwa..

So alipaswa kushukuru kwa kile Ambacho dunia imemjaalia na kumshukuru baba wa watu kwa kumtoa ktika dhiki na kumpatia dira ya maisha yake' ''' Hiki Ambacho amemlipa huyu Mzee Ni ushetani mkubwa Sana huyu Mzee hakustahiki kulipwa hivi hata kwa bahati mbaya ...... Imagine Mimi tu ikitokea Nika muhonga mwanamke 500k usiku nalala naota mazimwi Yana nikimbiza sembuse Huyo Mzee wa watu ........ Aahhh mamaeee some women are [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…