Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Nimesoma karibu visa vyote ulivyoandika na nimeshawishika kuandika hivi vimstari vichache.

Kimoja kati ya haya yafuatayo huenda ikawa sawa

1. Una zile wanaaita laana za ukoo au umechezewa/Umetekwa akili kimazingara ama na huyo unayemuita mke mdogo au mtu mwingine tu (ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki tu).
Mwanadamu mwenye ufahamu wa kawaida hawezi fanyiwa hayo uliyoyaandika umefanyiwa au fanya hayo uliyoandika umefanya na akaendelea kuona ni sawa tu.

2. Hiki ni kisa tu umeamua kufanya utunzi kwa nia ya kuelimisha. Kama nimesoma vizuri zile sehemu za mwanzo umeeleza kuwa mke mkubwa hana taarifa kama una mpango wa kando, lakini ukifuatilia mtirirko wa matukio ni kama maisha yako kwa kiasi kikubwa umetumia muda mrefu kuishi nyumba moja na huyo mpango wako wa kando.
Na kuna mahali umeeleza ya kwamba mpango wako wa kando wafahamika kwa nduguzo nawe kwa nduguze, sasa napata wakati mgumu kuelewa iweje taarifa hizi zikose mfikia mkeo wa kwanza.

3. Mkuu kama wewe unaona ni sawa kuwa na mpango wa kando, iweje umzue mpango wako wa kando kuwa na mpango wake wa kando?

4. Mwisho, hizi mambo za mipango ya kando hebu waachie watu wako na discpline ya kudeal na hizi mambo.
Nakubaliana na
2. Anasema mmoja kati ya watoto anasoma huko nyumbani kwawazazi
Bi mkubwa siyo mpumbavu hivyo, huyu jamaa inaonekana alihama kabisa nyumbani. Na chanzo cha yeye mpaka leo kupokea 120,000 tokea kwa watoto walioajiriwa anakielewa!

4. Kweli kabisa mambo haya yana wenyewe wanaoweza kuyamudu, hii michezo haihitaji hasira, akili nyingi nguvu kidogo, na siyo vice versa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mimi huyu sijamuonea huruma ni ujinga wake wanaume huwa Wana roho nyepesi ila hawakomi kuhangaika na ningekuwa mke wa ndoa namtenga na watoto afie mwenyewe huko. Huyu mzee kastaafu kiinua mgongo kimeisha na mchepuko umemkimbia ndio anashtuka na mbaya zaidi Hana mahusiano na mkewe mkubwa kwanini ahurumiwe kwa ushenzi wa kudhulumu familia Halali, Mimi namjua mstaafu mmoja wa ofisi ya Raisi mchepuko michafu imemufilisi Hana hata kumi na mke wa ndoa kamwacha hana hata ya kula. Mwanaume muendekeza michepuko ni laana na uzeeni huishia pabaya Bora hata mwanaume mnunua michepuko, sijui Wana akili gani loh
Akili hawana
Mimi siwezi kumuonea huruma mtu mjinga kama huyu...Sina huruma za kijinga namna hiyo...
Eti naye anajidai kichwa Cha moto!
Nashangaa hata wanaompa pole sijui wanampa pole za nini!

Dawa ya hawa Wazee wanaojitoa ufahamu ni kuporwa kila kitu huko nje wanakomangamanga.
Na akirudi nyumbani kwake halali ni kufukuza tu...haiwezekani jitu limezurura huko mwisho mzigo abebe mkewe asiye na hatia.
 
Hapana rumande nimela siku moja, na ni siku ambayo wife, anajua huwa sirudi
Ila bahati nzuri, siku hiyo vile vile wife alikuwa amesafiri kwao siku tatu zilizopita, kwa hiyo hakuwepo Dar,

Kuhusu wife kujua kama ni watoto nje
Alishajua, hili mbona tayari nimelisemea humu

Ila kiufupi aliumia sana.
Na kukataa kabisa kuwatambua watoto, na

Alisha niambie kama ni hao watoto basi niwajengee huko huko, lakini home NO
Wakati mwingine vaa viatu vya bi mkubwa.
Ungeweza? Naamini mbunye zote ziko sawa tu, au Kuna kipya ulikikuta kwa bi mdogo ?
 
Nimesoma story yako karibia kila kipengele ila Kuna maelezo sijaelewa vzr
Picha linaanzia Dar means maisha yenu yote ni Dsm!!
Watoto wanakua umri wa kwenda shule unawatafutia shule nje ya dar ambayo nauli inagharimu karibia 200k kwa wote wawili, means muda mwingi hawapo nyumbani siku ile unataka kumpiga mama yao watoto nao wanakushikia mawe wanakuambia uende kwenu let's say walikua likizo
Wasiwasi wangu unaanzia hapa👇👇👇

Graduation; sijui Ni ya kumaliza darasa la 7 au form 4 muda huo huyo mchepuko wako hakuepo nyumbani anakuja dar bila kufika nyumbani kwako mnaenda kwenye graduation unamsalimia anauchuna unataka kuongea nae anagoma muda wa kulishwa keki unataka kulishwa na mwanao unagoma swali je watoto walihamia Dar au shule ilikua nje ya dsm ila graduation ilifanyikia dsm (chai).
Swali lingine penye utata je watoto hawako Tena boarding school make Kuna mmoja Yuko Kwa mama yako anasomea huko japo hapataki

Anyway story yako ni nzuri inafunza lakini maswali ya sintofahamu ni mengi kuliko kawaida natamani niseme Ni chai lakini members wa Jf watanimeza jumlajumla!!!
Pengine hiki Ni kisa kilikutokea lakini Kuna mambo umeongeza mpk umepoteza content nzima.

Jamiiforums; we dare to talk openly.😆😆😆

cc: Mwitore
 
HuYu mzee yuko kwenye dennial stage. Bado hajaweza kumove on. Apelekwe kw wanasaikolojia. Lakini akubali hapakua na mapenZi toka mwanzo.
Nimewaza nafikiri huyu bwana kuna uwezekano mkubwa kuwa alitelekeza familia kubwa labda ndio maana hii ya huyu bi mdogo inamuuma sana haweza move on.
 
Kaonane na msaikolojia haraka iwezekanavyo akusaidie dada
Dah kama kuandika yanayowaumiza na michepuko ni tatizo Basi nyie mnaosoma na kuumia mtafte wataalamu kwanza Wala, Mimi mzima yangu kuandika huo ushauri wa wataalamu fanyeni nyie kwanza. Pole ukweli huuma
 
Watoto wake sasa ndio wamemaliza la saba, nikawatafutia shule nzuri huko kanda, nauli kwenda tu ukihumuisha vikorokoro vyote tokea hapa mpaka afike shule kwa mmoja sio chini ya 200000, bado ada ambayo kwa mmoja kila baada ya miezi 3 ni sh500000 na mwingine kila baada ya miezi 3 ni 450000, na wakirudi unatuma pesa kama 100000, kwa mmoja

Sio kwamba nina pesa nyingi kiasi hicho lakini waswahili wanasema maji ukishayavulia nguo huna budi kuyaoga,

Sasa umeshawaingiza huko inabidi tu waendelee na mimi meenyewe umri ndio nnasogemea, na kustaafu Ndio huko kunapiga hodi,

Vijana huko makazini ndio kila siku wanakuuliza ‘utastaafu lini ‘ wakikuona unakopa hata sh 100000 wanakushangaa kweli, maana wanajua una mabillion bank.

Hata ukiwaambia jamani nasomesha, wanakuuliza mpaka sasa hivi una somesha tu? Ee ulichelewa kuzaa, na anayekuuliza hivyo ana miaka 30 hata mke hana, sasa anafikiri mpaka apate mtoto wa 3 tu atakuwa na umri gani?
Mpaka mtoto wa mwisho amalize chuo,

Mimi sasa mwaka kesho mtoto wa tatu anamaliza chuo, na nitakuwa na 51 Mungu akijalia huyu wa form 4 naye amalize chuo nitakuwa na 55, sio mbaya sana

Ok
Sasa pesa ndio hiyo imepotea kwenye kuku,

Wazo lililoniijia haraka baada ya kutafakari sana ni KUPIGA BEI ILE NYUMBA,

Sasa nitamshawishi vipi mwenzangu? Ikawa sasa ni ishu.
Ukitilia maana pale ameshakaa zaidi ya miaka kumi, na ameshajenga mtandao wa kutosha na akina mama wenzake wenye nyumba na kulinga juu,

Ila sasa kabla ya yote hayo kuna mambo yalikuwa yananiudhi mimi binafsi mpaka nikawa naona wazo la kijana linapata nguvu, alikuwa anapenda sana kusifisifia nyumba za watu, kuanzia nyumba imeisha vizuri, ina garden, mala gari nzuri, ingawa hata mimi nilikuwa na gari ya kutembelea baadaye nikaipiga bei,

Mala watu wanamsema kwa kuwa yeye ni binti mdogo kwa nini anakubali kuwa nyumba ndogo, na hivyo vyote ananieleza,
Mimi nikawa namjibu wewe angalia familia yako, kama ni watoto unao, kama shule nzuri hata watoto wako wanasoma shule nzuri, wakati meingine hata kuwazidi wakwao, una as vizuri, mimi nakupenda, unakula vizuri, na hili la kula kuna hata ndugu waliolewa kabisa makanisani , wakija kumtembelea pale Ndio huwa kipindi cha kubadili mboga,

Sasa nikiona amezidi namuuliza niambie hapa wanaokusema wewe, alivyonitajia mpaka nikashangaa, mmoja mme kwa mwaka anakaa hapo nyumbani kwa wiki mbili tu, mwingine mmewe alishafariki muda mwingi yupo baa, mwingine na mume wake wapo wanauza genge la nyanya pamoja. Watoto hata nguo za kushindia shida Mwingine kila siku na mumewe ugonvi, sasa namuuliza wanakuzidi nini hao mpaka uumie na maneno yao,

Nikamwambia PENDA MME NA WATOTO WAKO, hayo mengine ni mwembwe tu za hapa duniani, maisha ni wewe mwenyewe unayachukuliaje, ukiwa wanazidi waambie mimi nampenda huyu huyu.

Lakini nikaona tena yanazidi, mala mume wa mama fulani anasema wewe mbaya sana mbona umekutana naye bars Arabia hukumsalimia, nikamuuliza mbona yeye hakunisalimu, hata hivyo kama ni yule mimi nimemzidi umri yeye ndio alitakiwa anisalimie, lakini hili sio tatizo, kumbe huyo bwana kaniona njiani narudi nyumbani usiku wa 3 mimi akili yangu yote ipo nyumbani,

Nikamwambia ukionesha dalili ya kunidharau hata hao watu watatudharau,

Ila kwa ufupi, yule aliyekuwa na nyumba nzuri na garden sasa hivi yupo gerezani, yule mama mmewe wanaonana kwa mwaka wk mmewe kafariki, yule chapombe naye hatunaye, wale genge ni choka mbaya majuzi nilipita huko,

Hizo taarifa kila alipokuwa akinipa nikawa na Namuuliza umejifunza nini hapo kuhusu maisha,
Lakini haelewi kitu,

Maamuzi niliyochukuani kuuza nyumba na kama nilivyowaeleza hapo mwanzo kile kiwanja kilikuwa eneo linalolipa, kwa hiyo sikupata shida kuuza, na kwa kilikuwa kimeendelezwa sana, kuanzia nyumba kubwa iliyoishia lenta, ile nyumba ya nyumba vitatu tuliyokuwa tukiishi, pamoja na Banda kubwa la kuku, na eneo kubwa tu Kinabalu kwa ajili ya garden na parking hata ya gari ndogo 6

Baada ya yeye kukubali lakini kwa mabishanomakali ,

Tulimpata mteja wa 80M lakini kwa malipo ya 40M kila baada ya miezi 2

Hiyo ilikuwa 2016 November, na ilitakiwa baada ya miezi miwili baada ya kukamilisha malipo tuondoke, ambayo ingekuwa ni April 2017

Kwa ufupi mteja alikuwa muungwana sana,
By December malipo ya kwanza yalikamilika (40,000,000) CASH

nini kilitokea, kumbuka nilikuwa na madeni yanayokaribia mil 15M,
Hapo nyumba imeshauzwa na bado installment 1 ambayo by February lazima ilipwe na sisi tuwaachie wenye nyumba yao, maana sisi hatuna chetu tena, nikama tunarudi kwenye kile chumba kimoja,

JE WEWE KAMA BABA UTAANZA KUFANYA NINI?
Kumbuka kuna katabia fulani nilianza kukaona kwa mke wangu, hasa hasa ka kunidharau na kuwa karibu na vijamaa jamaa.

Na hata wakati mwingine kama simpigii simu anaweza kukaa hata siku nne bila kunitafuta

NGOJA NIONDOE MACHUNGU
ENDELEENI KUNIOMBEA
Pole sana mkuu kaka yaani duu, yaani jamani kaka zetu mngekuwa mnajua kidogo kwa bimkubwa huwa na huruma lakini ndiyo hivyo huwa hamsikii ngoja nikufuatilie japo nimechelewa
 
OMBI WAKUU NA USHAURI

hii nyumba niifanye nini, ni nyumba kubwa,
Ipo kwenye kiwanja cha eka moja,

Eneo ni ni zuri sana, sasa hivi nyumba ni nyingi, lakini ya kwangu kila mtu anaitamani,

Ila bado haijaisha,

Madilirisha nilishaweka ya aluminium bado matatu tu ya dining room
Kwa inavyoonekana Mali pekee iliyobaki kwa huyo mwanamke ni hiyo nyumba, mimi nashauri uiache nyumba Kama urithi wa watoto wako hao wawili yeye akiwa msimamizi, makubaliano haya inabidi uyafanye kisheria ili huyo mwanamke asiuze hiyo nyumba then watoto wakateseka hapo baadae. Kwa maana hiyo hao watoto utakuwa umemalizana nao kuhusu urithi.

Ili kuzuia migogoro ya baadae itakubidi uandike wosia, ndani ya wosia uelezee namna ulivyomalizana na hao watoto wawili ili wasipate chance ya kudai urithi kwa mke mkubwa. Ili ikitokea umetangulia kuwe na amani pande zote mbili.
 
Kusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,

Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,

Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko

Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,

Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,

Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,
Unadhani polisi ndiko uliko ulinzi wako?

Ngoja nikuambie baba yangu;
Unapofanya dhambi basi tambua unajitenga mbali na uso wa Mungu.

Salama yako ni kutubu na kuacha ili uso wa Mungu uwe karibu na wewe.

Uso wa bwana haukai na wenye dhambi.

Mithali inasema hivi;
"Mtu aziniye na mwamamke hana akili kabisa,Afanya Jambo litakalomwangamiza nafsi Yake"

Wewe kwa sasa akili hauna.siyo maneno yangu..ni Biblia inasema hivyo(samahani kama nitakuwa nimetumia lugha Kali...ila sina lugha nyingine ya faraja ninayoweza kuiandika zaidi ya hii)
Hivi hata ukijitathmini mwenyewe,unajiona uko sawa kweli??
Chanzo nini?
Chanzo ni dhambi.

Unafanya Jambo litakalokuangamiza nafsi yako.
Huyo mwanamke hujui anakuwazia nini.
Na lazima anakuwazia mabaya..
Wewe unaenda kuangamia kama unavyoona mwenyewe.
Na salama yako haipo polisi..salama yako ipo kwa Yesu.

Usipo kubali kugeuka basi upo njiani kuangamia.

Jumbe zangu nyingi huko juu umeziruka,ila hii usiiruke.
Na ikiwezekana rudi ukazisome japo zinaumiza ila kuna kitu utajifunza.
 
Pole sana mkuu kaka yaani duu, yaani jamani kaka zetu mngekuwa mnajua kidogo kwa bimkubwa huwa na huruma lakini ndiyo hivyo huwa hamsikii ngoja nikufuatilie japo nimechelewa
Nilshangaa kutokukuona mpaka kisa kinaisha my dear
 
Akili hawana
Mimi siwezi kumuonea huruma mtu mjinga kama huyu...Sina huruma za kijinga namna hiyo...
Eti naye anajidai kichwa Cha moto!
Nashangaa hata wanaompa pole sijui wanampa pole za nini!

Dawa ya hawa Wazee wanaojitoa ufahamu ni kuporwa kila kitu huko nje wanakomangamanga.
Na akirudi nyumbani kwake halali ni kufukuza tu...haiwezekani jitu limezurura huko mwisho mzigo abebe mkewe asiye na hatia.
Mzee sasa kapata frustration baada ya kumalizwa kiinua mgongo imagine mission za kijeshi alizofanya nje haja save alikuwa anahangaika na mchepuko usiokuwa na akili, ka invest nguvu nyingi biashara zinakufa tu maana huyu mchepuko ka kajifunza cherehani Basi ni standard seven kwa vitu alivofanyiwa Hadi umri huo hajaweza kusimama, ana kichwa kibovu na hafikirii mbele Wala, ni mtu wa kufuja, ingetakiwa asimame na aache kumsumbua huyu, sasa huyu mzee haja enjoy life yake ndoan na duniani maana most of the time ilikuwa migogoro, akashauriwa na mamake kuhusu huyo mchepuko kumbe ndo kaharibu. Maskini nguvu na hela kafulia na side chick wa ndoa ya kimila kaanza kumkimbia, loh inasikitisha ila ndo akome hyo karma, Sasa watoto hawamtaki wa mke mkubwa na mchepuko kamkimbia, wanaume jifunzeni kujihurumia kwanza aisee, Mimi simhurumii akome Tena achanganyikiwe kabisa
 
Mkuu nimefuatilia tangu mwanzo kimya kimya na ninaweza kusema machache kama ifuatavyo;
1. Katika mtiririko wa story yako ulisema uanonyesha una maisha ya huzuni sababu ya purukushani za mke mdogo, lakini bado unatuaminisha mke mkubwa hajui kitu. Hii inatafsiri moja kuwa inawezekana hata kwa mke mkubwa pia mambo sio mazuri ndio maana hakuzingatii kuijua saikolojia yako. Kumbuka awali ulisema mlikuwa na mizozo kabla mama mzazi hajakupa ushauri kiaina utafute mchepuko mbali na pale.
2. Mwishoni unakiri kuwa hii nyumba inayokunyima amani ina thamani karibu 300M endapo utaamua kuiuza,hata kama ukiamua kugawana na mke mdogo utapata karibu 150M na ukaanza maisha yako mazuri bila karaha za bi mdashi. Maisha yangu yote nimekuwa nikiamini amani ndio kitu namba moja kwenye maisha ya mwanadamu.
3. Niwakati muhimu kuwaunganisha wanao wajuana na automatically mzozo unaweza kuisha maana watakusaidia mawazo kuliko hapa JF kuliko na wajuaji wengi wapotoshaji.
Asante sana
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
 
Aahahahahaha haki nimecheka; nakutoa mawaidha kukaisha eeh. Na wakati mwingine unakuta mke mkubwa anaridhia kweli aletewe mwenzie; shida huyo mke wa pili anapokuja na hekaheka zake, mke mkubwa anaisoma namba.
Usiape mkuu ukewenza usikie tu, kuna mama yeye alikuwa mtoa Mawaidha mzuri kwenye shughuli za watu na kusisitiza ke wakubali uke wenza Kwa ayanna hadithi kumbe vile mumewe ni mlemavu wa miguu anatembelea bicycle akajua atakuwa mwenyewe na Kwa Bahati alikuwa ni mtu mzima yeye ana watoto ila si wa huyu mume aliyenaye. Jamaa kaletewa mke kutoka kwao binti mdogo [emoji3][emoji3] sekesek lilianzia hapo, Aya na hadithi akaweka pembeni, cha Kwanza ni kumtimua mke mdogo ndani ya nyumba akapangiwe chumba na hata watoto wa bi mdogo hataki kuwatambua [emoji3][emoji3], kwenye shughuli haongei tena watu wakimuuliza anachojibu ni uke wenza usikie kwa mwingine hana Raha kabisa. Mwisho kafukuza na mume ati "NENDENI mkalee watoto wenu huko msimsumbue", sipendi kukulinganisha na huyo mama labda utakuwa kama ulivyoandika.
 
Mzee sasa kapata frustration baada ya kumalizwa kiinua mgongo imagine mission za kijeshi alizofanya nje haja save alikuwa anahangaika na mchepuko usiokuwa na akili, ka invest nguvu nyingi biashara zinakufa tu maana huyu mchepuko ka kajifunza cherehani Basi ni standard seven kwa vitu alivofanyiwa Hadi umri huo hajaweza kusimama, ana kichwa kibovu na hafikirii mbele Wala, ni mtu wa kufuja, ingetakiwa asimame na aache kumsumbua huyu, sasa huyu mzee haja enjoy life yake ndoan na duniani maana most of the time ilikuwa migogoro, akashauriwa na mamake kuhusu huyo mchepuko kumbe ndo kaharibu. Maskini nguvu na hela kafulia na side chick wa ndoa ya kimila kaanza kumkimbia, loh inasikitisha ila ndo akome hyo karma, Sasa watoto hawamtaki wa mke mkubwa na mchepuko kamkimbia, wanaume jifunzeni kujihurumia kwanza aisee, Mimi simhurumii akome Tena achanganyikiwe kabisa
Anavuna alichopanda.
Alilima mahindi,anavuna mahindi.
Huwezi kulima karanga halafu utegemee kuvuna mpunga.
 
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
Utaenda kushtakia kwa Mungu yupi?
Huyuhuyu Mungu aliyesema Usizini!?!

Mungu siyo wa mchezo namna hiyo aisee.
Huo ni mshahara wa dhambi...lazima uwe liable kubeba.
 
Ahsante sana, Mwenyezi Mungu akubariki sana, ni ushauri mzuri, kwanza niliogopa sana, kumfukuza nikijua kuwa, atasema labda nimemtumia vya kutosha sasa nimemchoka narudi kwa mke,
Lakini baada ya kugundua anaendelea na mwanaume ambaye, nilishamtuhumu miaka 10 iliyopita pamoja na visa vyote hivi na kiburi, kumbe naye ana bwana yake pembeni, hapana uzalendo umenishinda, potelea mbali , kama ataniraumu basi ni mwendelezo wa akili zake ndogo kutokujua makosa, kwa kipindi chote hicho,

Lingine nililogundua kumbe hata hizo biashara ya mchele huko Morogoro walikuwa wapo pamoja,

Ila mbaya zaidi pamoja na malalamiko yangu kwa wazazi wake, lakini hawaonyeshi hata kushtuka,

Mfano halisi ni sasa hivi, mtoto wao yupo kwao lakini hata kunipigia simu, kuniulizia kulikoni hakuna! Mpaka bajiuliza hii ni familia ya aina gani,

Mpaka nawaeleza waziwazi kabisa mbona mtoto wenu anatembea na aliyewahi kuwa mkwenu ( huyo bwana alishawahi kuoa binamu ya mke mdogo) wakagombana baada ya kufumaniana,

Na jamaa akataka kumuua mgoni wake kisu,
Akatoroka kijiji kwa muda fulani.
Lakini mpaka nafikia hatua ya kuwaambia wazi wazi, kuwa mlikuwa mnanidanganya kumbe mnajua mtoto wenu ana wanaume wawili halafu mkiendelea kuniomba vimisaada, na kuwakatia simu ambapo leo ni wiki ya tatu hawanipigia tena!
Bila Shaka huyu 'Mke mdogo' ni wa kutoka Morogoro (lakini sio Mlugulu au Mkutu) au Kanda ya ziwa - Mara
 
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!

Hebu mkuu tuambie wewe umeamua nini sasa?
 
Mzee sasa kapata frustration baada ya kumalizwa kiinua mgongo imagine mission za kijeshi alizofanya nje haja save alikuwa anahangaika na mchepuko usiokuwa na akili, ka invest nguvu nyingi biashara zinakufa tu maana huyu mchepuko ka kajifunza cherehani Basi ni standard seven kwa vitu alivofanyiwa Hadi umri huo hajaweza kusimama, ana kichwa kibovu na hafikirii mbele Wala, ni mtu wa kufuja, ingetakiwa asimame na aache kumsumbua huyu, sasa huyu mzee haja enjoy life yake ndoan na duniani maana most of the time ilikuwa migogoro, akashauriwa na mamake kuhusu huyo mchepuko kumbe ndo kaharibu. Maskini nguvu na hela kafulia na side chick wa ndoa ya kimila kaanza kumkimbia, loh inasikitisha ila ndo akome hyo karma, Sasa watoto hawamtaki wa mke mkubwa na mchepuko kamkimbia, wanaume jifunzeni kujihurumia kwanza aisee, Mimi simhurumii akome Tena achanganyikiwe kabisa
Maneno mengi umetunga, kama kufulia basi ni kumuacha huyo mwanamke labda ndio kufulia kwenyewe, lakini nipo njema, kazi ninayo,
Wala Watoto hawajanikimbia, wala wakubwa wananipenda kinoma,

Ila wakati mwengine kuwa Positive tu
Harafu uwe unatafakari ni nini binadamu wengine wanakuambia, huwezi kujua kila kitu hapa duniani, uwe unachukua na ya watu wengine,
Hasa hasa ukiona wamekuzidi umri,
Huwa wana jambo zuri moja hata kama yale 19 ni ya ovyo kwako
 
Back
Top Bottom