Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Fanya hivi uza nyumba halafu kila mtu akajenge upya anapopataka.na kama amekuzidi nguvu gawaneni kati kwa kati baada ya mauzo.
Watoto waamue wakae na wewe kwa bi mkubwa au mama yao.au kihostel hostel hata baada ya kumaliza masomo yao.
 
Bado unampenda mmnooo tena sana si rahisi km unavyodhani kumtema.Unamchukia kwa kua unampenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Ray,
Kipindi cha nyuma alikuwa akiondoka nilikuwa mpaka naumwa, sio message hizo sio simu hizo, mpaka ananizimia simu,
Lakini mimi nipo tu,
Toka alivyoondoka ile mwezi wa nne mwaka jana sikuwahi kumpigia simu wala message, hata kumuulizia tu kwa watoto na ndugu zake sikuwahi,
Alirudi mwenyewe,

Safari hii kaondoka ana mwezi, sijampigia simu wala msg,

Nasema tena, nitaendelea kmkumbuka na kumuwaza, huwezi kuishi a mtu miaka 20 usimuwaze, hapo itakuwa uongo

Ila kwangu tena Hapana, ndio maana namwomba mungu aendlee kuwa huko ili nizidi kumsahau
 
afu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.

kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
Hsta mimi nimehisi hivyo kwakweli..anakwepa sana kila swali analoulizwa kuhusu bi mkubwa...ni dhahiri hawako katika good terms ndio maana aliweza kuwekeza muda na mali kwa bi mdogo..hakuna mwanamke mwenye akili timamu asiyajue mahusiano ya nje ya mume kwa miaka yote hiyo
 
afu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.

kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
Hata mimi naona huyu mzee alitelekeza bi mkubwa baada ya pesa kuchanganya na penzi la bi mdogi kuwa zito akakimbia.

Kwa sasa kinachomtesa ni kumkosa bi mdogo sababu hana tena hela na kule nyumba kubwa alishaharibu.

Angekuwa yuko poa na bimkubwa kusingekuwa na mateso haya nayopitia mpk kumfuatilia bi mdogo yupo mkoani anaenda.
Ila mkuu pole sana rudi kwa bi mkubwa kamuombe msamaha na hiyo nyumba umpe atakupokea.
 
Ndugu yangu unakwepa sana suala la bi mkubwa.
1. Je anafahamu kua una mtu nje
2. Je mko katika hali gani kwa wakati huu
 
afu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.

kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah hiyo siku naikumbuka hahahah mkuu una kumbu kumbu mno
 
Bila Shaka huyu 'Mke mdogo' ni wa kutoka Morogoro (lakini sio Mlugulu au Mkutu) au Kanda ya ziwa - Mara
Atakuwa Mkaguru au Msagara au Mpogolo?? 😂 😂 😂

Wote tu watu wa Morogoro, lazima wakuchezeshe ngoma, wakuneme!
Watani zangu waluguru ausindile, anogaah!

Everyday is Saturday................................😎
 
Kwa Mwamposa akagalagazwe kwenye mafuta tena wayapashe moto kidogo yawe ya uvuguvugu!

Everyday is Saturday................................😎
 
Naomba ukamweleze mkeo tafadhali achana na hiki kirambasi. You are too innocent jamani kupitia haya yote.
Yaani kwa heshima niliyonayo kwa mke wangu na upendo Anaonionyesha, ni nguvu tu za Roho mtakatifu ndio zitaniongoza nimtamkie hilo neno, Mimi mwenyewe kama binadamu, naona siwezi
 
Hii stori kuna mambo yamefichwa, kwanza upande wa bi mkubwa hatujaambiwa ukweli
Pili yawezekana huyo sio mchepuko
Angekuwa mchepuko wachungaji wangefuata nini kusuluhisha?
Kama ni mchepuko mama mzazi wa mleta mada angefikaje kwa uhuru nyumbani hapo?

Unapotaka ushauri eleza jambo kwa uhalisia wake maana watu watakushauri kwa kile ulichoeleza, ukidanganya utashauriwa kwa kitu ambacho hakipo na ushauri hautasaidia
 
Nakubali
 
Kama ulisha invest kule kama mimi nilivyoinvest ingukuwa wewe ungefanyaje?
Halafu kumbuka serikali ipo na sheria zipo!
 
Umechelewa kugundua mkuu, huyu mzee ajui hajielewi.
 
Mzee wangu kwanza naomba nikutukane kidogo ila samahani kwa hilo tusi..

WEWE NI LIJINGA SANA TENA DHAIFU( tayari nimekutukana samahani lakini)

Hivi hao watoto ni wako? kweli kabisa wanakutamkia maneno mabaya mpaka watoto wako?

Kama haujastafu nakuomba mafao yako uyafaidi wenyewe.

Hiyo nyumba waachie watoto kama urithi then wewe baada ya kupata mafao yako ni rudi kwa mke mkubwa au tafuta sehemu nyingine ununue nyumba, uvute mkoko maisha yaendelee

Unaonekana ni mtu wa huruma sana na huyo mwanamke ameshajua udhaifu wako, anza kuwa mbabe na kwanza hata siku akirudi kwako usimruhusu hata akupigie goti najua muda sio mrefu ataharibikiwa.


Kama huwezi kuwapa watoto hiyo nyumba kama urithi ni bora ufanye kama anavyotaka kuwa mgawane bcoz baada ya hapo hatokuwa na kigezo cha kukusumbua tena kama mali mmeshagawana.


NB: angalia hata pension yako usije ukaipoteza kwa huyo mwanamke na ukaja kuwa chizi, najua ukivuta mafao yako huyo mwanamke atakuja analia kuwa umsamehe na ukikubali kusamehe umeisha hayo mafao yatapotea bcoz anajua udhaifu wako...

Nyongeza nenda kawapime DNA hao watoto maana wanavyokufanyia naona kama wana baba yako mwingine..

KUPANGA NI KUCHAGUA

1. mafao yapotee Au
2. Ufaidi mafao yako


Mwisho: Vipi mke mkubwa mna maelewano?
 
Ukashindwa kuwa mwanaume??🤔🤔
Daah! Ulipenda mpaka kero, hiyo ni dhambi. Kila kitu ni kwa kiasi

Everyday is Saturday................................😎
 
Kweli mie nimekuelewa na nikweli unavyo simulia, ila madhaifu yako yafanyie kazi:

1.Usipende mwana mke kupitiliza hatakama umezaa nae

2.Never ever trust a woman hata kama umekanae miaka 20.

3.Umezidisha kutumia logic na common sense kwa mkeo some Time ujinga na ubabe ni suluhisho kwa wana wake.

Usimuachie nyumba wala usiiuze acha tu hiyo ni mali yako labda akuue.
4. Anza maisha mengine (move on) upya wewe bado mdogo at 50yrs tafuta mke mgine ila usimjengea wala usimuonyeshe mali zako panga umueleza una mke lazima alijue hilo.
5. Watoto wako wasimamie wakileta dharau achana nao watajirudi wenyewe
6. Acha kusimulia watu wanao kujua visa vyako wanakuenjoye tu. Pambana kama mwana umme we only live once here usiogope mahakama au usitawi it will buy time for you to settle huwezi kufungwa kwa civil suite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…