Fanya hivi uza nyumba halafu kila mtu akajenge upya anapopataka.na kama amekuzidi nguvu gawaneni kati kwa kati baada ya mauzo.Yaani nimwachie nyumba kweli? Nikiwa hai naona anafaidi nyumba yangu na wanaume wengine!?
Kweli? Hapana hapo sasa mnataka ndio mniue,
Kabisa au mimi niue mtu, sipo tayari kumwachia nyumba yangu, labda kama mimi ndio ningeonyesha simtaki, ningemwachianyumba ili apunguze machungu, lakini yeye anifanyie vituko vyote hivyo halafu nimwachie nyumba, hapana,
Ray,Bado unampenda mmnooo tena sana si rahisi km unavyodhani kumtema.Unamchukia kwa kua unampenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hsta mimi nimehisi hivyo kwakweli..anakwepa sana kila swali analoulizwa kuhusu bi mkubwa...ni dhahiri hawako katika good terms ndio maana aliweza kuwekeza muda na mali kwa bi mdogo..hakuna mwanamke mwenye akili timamu asiyajue mahusiano ya nje ya mume kwa miaka yote hiyoafu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.
kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
Hata mimi naona huyu mzee alitelekeza bi mkubwa baada ya pesa kuchanganya na penzi la bi mdogi kuwa zito akakimbia.afu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.
kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
Nilibadili nakaweka majina yangu,
Ndugu yangu unakwepa sana suala la bi mkubwa.Ray,
Kipindi cha nyuma alikuwa akiondoka nilikuwa mpaka naumwa, sio message hizo sio simu hizo, mpaka ananizimia simu,
Lakini mimi nipo tu,
Toka alivyoondoka ile mwezi wa nne mwaka jana sikuwahi kumpigia simu wala message, hata kumuulizia tu kwa watoto na ndugu zake sikuwahi,
Alirudi mwenyewe,
Safari hii kaondoka ana mwezi, sijampigia simu wala msg,
Nasema tena, nitaendelea kmkumbuka na kumuwaza, huwezi kuishi a mtu miaka 20 usimuwaze, hapo itakuwa uongo
Ila kwangu tena Hapana, ndio maana namwomba mungu aendlee kuwa huko ili nizidi kumsahau
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah hiyo siku naikumbuka hahahah mkuu una kumbu kumbu mnoafu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.
kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
Atakuwa Mkaguru au Msagara au Mpogolo?? 😂 😂 😂Bila Shaka huyu 'Mke mdogo' ni wa kutoka Morogoro (lakini sio Mlugulu au Mkutu) au Kanda ya ziwa - Mara
Kwa Mwamposa akagalagazwe kwenye mafuta tena wayapashe moto kidogo yawe ya uvuguvugu!Nyie Wote hapa mnapiga kelele tu,huyu mzee wetu amelogwa sio amelogwa ila kapikwa na kaiva.
Dawa yake kumkamata kinguvu afungwe kamba na kumpeleka kwa mwamposa au mganga.
Hii sio akili ya kawaida,marufuku kuoa mwanamke masikini,acha masikini waoane wenyewe kwa wenyewe'ukioa masikini utalishwa kila Haina ya uchafu
Akigundua hapo baadaye atarudi na kukana kuwa hakuwahi kupewa kituKaka mwitore,uza nyumba ila Mnunuaji uwe we we umzunguuke iwe yako shem yeye umlipe aondoke.
Yaani kwa heshima niliyonayo kwa mke wangu na upendo Anaonionyesha, ni nguvu tu za Roho mtakatifu ndio zitaniongoza nimtamkie hilo neno, Mimi mwenyewe kama binadamu, naona siweziNaomba ukamweleze mkeo tafadhali achana na hiki kirambasi. You are too innocent jamani kupitia haya yote.
Hii stori kuna mambo yamefichwa, kwanza upande wa bi mkubwa hatujaambiwa ukweliIla nlichokigundua we jamaa una ufala fulani, mtu ni mchepuko, viwanja ulinunua wewe ili umpe hifadhi saivi unahangaika sjui mpelekane ustawi mara unamuogopa jamaa anayemkaza mchepuko wako, mara una bond na watoto lakini mkizinguana na mchepuko nao waja juu eti toka kwetu khaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu unaogopa mchepu adi unaenda polisi
Anko unalalamika madeni halafu unamwaga mapesa hivi kwa mtu mwenye shughuli zakeUna uhakika sikuwa na pesa, pesa ilikuwepo na nilikuwa nampa ya kutosha 400000 kwa mwezi ndogo hiyo
NakubaliMwitore ni muongo! Alimpata huyo mchepuko akiwa na miaka 20, wameishi miaka 18 na sasa ana miaka 42. Hapo piga hesabu angalikuwa na miaka 38. Pili fumanizi zote tangu watoto wanamwambia rudi kwenu, yupo tu. Tatu analala kwa bi mdogo bila bi Mkubwa kusituka miaka yote 18. Huyo ni mke au jini. Hii story ya kubumba akina Shunie cariha Espy angalieni anawachota
Kama ulisha invest kule kama mimi nilivyoinvest ingukuwa wewe ungefanyaje?Ila nlichokigundua we jamaa una ufala fulani, mtu ni mchepuko, viwanja ulinunua wewe ili umpe hifadhi saivi unahangaika sjui mpelekane ustawi mara unamuogopa jamaa anayemkaza mchepuko wako, mara una bond na watoto lakini mkizinguana na mchepuko nao waja juu eti toka kwetu khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 afu unaogopa mchepu adi unaenda polisi
Umechelewa kugundua mkuu, huyu mzee ajui hajielewi.Ila nlichokigundua we jamaa una ufala fulani, mtu ni mchepuko, viwanja ulinunua wewe ili umpe hifadhi saivi unahangaika sjui mpelekane ustawi mara unamuogopa jamaa anayemkaza mchepuko wako, mara una bond na watoto lakini mkizinguana na mchepuko nao waja juu eti toka kwetu khaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu unaogopa mchepu adi unaenda polisi
Ukashindwa kuwa mwanaume??🤔🤔Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,
Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo
Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)
Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo
Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo
Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana
Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia
Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,
Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba
Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,
Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000
Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,
Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema
MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.
Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,
Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu
Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,
Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,
Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote
Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?
Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,
Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
Kweli mie nimekuelewa na nikweli unavyo simulia, ila madhaifu yako yafanyie kazi:Ray,
Kipindi cha nyuma alikuwa akiondoka nilikuwa mpaka naumwa, sio message hizo sio simu hizo, mpaka ananizimia simu,
Lakini mimi nipo tu,
Toka alivyoondoka ile mwezi wa nne mwaka jana sikuwahi kumpigia simu wala message, hata kumuulizia tu kwa watoto na ndugu zake sikuwahi,
Alirudi mwenyewe,
Safari hii kaondoka ana mwezi, sijampigia simu wala msg,
Nasema tena, nitaendelea kmkumbuka na kumuwaza, huwezi kuishi a mtu miaka 20 usimuwaze, hapo itakuwa uongo
Ila kwangu tena Hapana, ndio maana namwomba mungu aendlee kuwa huko ili nizidi kumsahau
Bila shaka mchaga, maana mila yao ina kuchinjiwa mbuzi kama heshima.🤔Pote umekosa