Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Uza nyumba we mzee mbona mzito hivyo

Yaani unasubiri mpaka mgawane?

Dah Mungu aliumba
Connection aliyonayo na mchepuko ni hiyo nyumba, akiiuza, anajua ndiyo kampoteza mchepuko kimoja, hatomuona tena! Na hatamani hili litokee, thin line between love & hate!

Wala watoto hawajawaunganisha, kilichowaunganisha ni hela na nyumba.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Ahaahhahahaahahahhaahhaah
 
Bimdogo ndo nani? Bimdogo ama mchepuko? Mbona Heaven Sent nimeaona anamuulizia mke na si mchepuko. Wewe ndo hujaelewa mada. Ameuliza analia nini angali mke yuko na anadai wanabond vizuri..
Exactly nilimuuliza mke halali. Maana sielewi una mke na mpo vizuri ila unaishi kwa stress kisa mtu mwingine asiyekutaka
 
Siku ambayo hao watoto wangenitamkia hivyo mimi haijalishi ni wangu au sio wangu wangepata adhabu inayokwenda sambamba na mama yao na kutokea hapo ningewatuma wakatafute baba yao
 
Hakuna heshima wala upendo kwa bi mkubwa kadanganye wengine

Usingeteseka hovyo namna hii
Wenye upendo, heshima au hekima na wake zao, wana michepuko, ila hawana ulimbukeni huo wa mapenzi,

Hutosikia anapigana na mchepuko, au wanatoana ngeo, au wamepelekana polisi sijui ustawi wa jamii au wanashinda kutwa kujaza watu wa mtaa wakigombana,
Hiyo nyumba wangeiacha wangesonga mbele, hakuna mwenye busara anayejijua ana mali za 500M na atapokea pension 250M, atakubali ajidhalilishe katika mazingira hayo.
Especially kama watoto wa mke mkubwa wapo tiyari vizuri, NEVER!
Ni zaidi ya kurogwa!

Everyday is Saturday.............................. 😎
 

Sehem nyengne alieka vipande vidogo dogo sana nafkir hukupitia humo mimi nimeelewa vizuri
 
Mi hapo ndo nabaki na maswali inawezekanaje yani
 
Mkuu rudia kusoma huyu bwana sasa hivi yupo kwa mke mkubwa toka yule kimeo wake aondoke kwaiyo hichi kisa anasimulia akiwa kwa mke wake halali
Sio kweli kuna mahali anasema watoto wake mpaka sasa wamemtumia 120000 tu lakini mkewe anasikia tu mara nguo mpya mara nini
 
Yaan halina kitu kabisa kichwani.. ndo maana unaambiwa chagua marafiki bora. Hivi umewahigi kuona show off za mtu ambaye hana shule?[emoji23]
Mzee ni empty set huyu jinsi alivochezea bahati ya maisha huyu na mchepuko wake standard seven wamekutana akili sawa
 

Ile nyumba nani ana hati na zina majina ya watoto bado na viwanja vya hapo karibu kumaliza mzozo wa nani ana mwenye nyumba bac ataipiga bei yeye nyumba hiyo urudi hakuna chako au ataiombea mkopo bank ibaki na deni aondoke na pesa yeyote atakayopata hana hasara yeye baada ya hapo nyumba itapigwa mnada
 
Kuna mahali uligusia kuna mchepuko umeamua mpaka kunpangia chumba unajilia zako vyako alimaliza form four sijui mchepuko namba 2. Nakushauri usiongeze matatizo

Halafu wewe soma vizuri uzi wote acha kusumbua watu. Unaonekana mmbea mmbea mtu wa kudandia dandia vitu. Sijui unasoma kuanzia huku chini,katikati,yani hueleweki.
 
afu mwitore kaficha tu.
ukwel n kwamba kwa mke mkubwa alipakimbia hakanyag kabsa huko.

kumbukeni kuna siku alituambia,ngoja aingie jikoni kwanza,ina maana anaishi peke yake kwenye hyo nyumba wakat huu ambapo watoto wako shule
Huu ni ukweli kabisa. Kuna uwezekano mkubwa wakawa walishatengana na mke mkubwa.
 
[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
 
Fanya hivi uza nyumba halafu kila mtu akajenge upya anapopataka.na kama amekuzidi nguvu gawaneni kati kwa kati baada ya mauzo.
Watoto waamue wakae na wewe kwa bi mkubwa au mama yao.au kihostel hostel hata baada ya kumaliza masomo yao.

Huyo mwanamke hajachangia kitu kwenye hiyo nyumba hivo hajamzidi kitu Yani ni mapenz tu pesa za ujenzi zote ni nguvu ya baba[emoji16]
 
Lakini unanichamba bure kabisa, tena kwa kuziamini hisia zako,
Umekasirika sana kwa kitu ambacho sio kweli kabisa

1,mimi sikuwahi kumuacha mke wangu hata kidogo,
2. Mimi sijawahi kugombana na mke wangu kiasi hata cha kukataliana tendo la ndoa
3.haya amekuja kuyajua kwa uhakika zaidi watoto wakiwa form na std 7
4 ukiangalia miaka hiyo ndio kipindi nimeanza kusumbuliwa huko nje,kwa hiyo ndio upendo ulizidi sana kwa bi mkubwa
5. Watoto kunitumia hiyo laki, kwanza huwa najiuliza wanitumie zaidi ili nifanyie nini
Mimi nina pesa yangu, viwanja natoka na mama, na anachangia kununua kinywaji ingawa mimi sio mywaji sana, bia mbili tu chali,

Najua wanamtumia mama yao, na uzuri wakati mwingine akitumiwa ananiambia,

Na akisha tumiwa nitaona nguo mpya hapo
Na mwenyewe anafurahi na mimi natafurahi kumwona mke wangu kapendeza na anakuwa kijana zaidi

Sijawahi kununua boxer wala fulana za ndani, vyote nashtukia zipo kabatini, na zile za zamani anatupa, tena wakati nakasirika anatupa zikiwa bado nzuri kabisa

Kiujumla hajawahi nichukia wala sijawahi mchukia
Turudi kwa watoto kutonitumia pesa, walishaona sizishobokei pesa zao, kwa sababu hawajui wanitumie kiasi gani ili nilizika, mimi nina pesa yangu ya kunitosha
Lakini wakati mwingine wadogo wanawapiga mizinga huko, unaona tu dogo karudi nyumbani na shati jipya , hapo si wanakuwa wamesaidia,

Mimi ninachohitaji kwao ni usafiri tu, na wameshaniahidi kunako majaliwa kama hawajajenga wanisuprise na usafiri,

Kwa hayo machache kuwa na amani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…